Halmashauri ya wilaya ya Buhigwe imepata kuwakilishwa na Ndg. Mario Venance Kwenye Mashindano ya Maonesho ya Ubunifu na Makisatu 2022 yanayaotaraijiwa kufanyika jijini Dodoma kati ya Mei 15 - 20 mwaka 2022
Ndg. Mario ameshinda na tayari kuwakilisha Buhigwe na Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania kwa Ubunifu wake wa kubadili Mabibo (mabaki ya korosho) kuwa Juisi na au Snacks
>>
>>
Akimbariki kwa nafasi aliyopata Ndg. Essau Hosiana Ngoloka, Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Buhigwe amempingeza na kumtakia kila Kheri kwenye Mashindano
Kusikiliza sauti za mahojiano yetu na Ndg. Mario sikiliza hapa chini
Mji Mpya wa Bwega-Ofisi za Mkurugenzi
Postal Address: P.O.Box 443 Buhigwe
Simu Ya Mezani: 0282988460
Simu ya mkononi: (+255) 782 500 333
Barua Pepe: ded@buhigwedc.go.tz