• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za ofisi |
Buhigwe District Council
Buhigwe District Council

Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi Mkuu
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo Wa Utawala
    • Idara
      • Utawala Na Utumishi
      • Mipango, Takwimu Na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha Na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Secondari
      • Maji
      • Mifugo Na Uvuvi
      • Ardhi Na Maliasili
      • Maendeleo Ya Jamii Na Ustawi Wa Jamii
      • Ujenzi Na Zimamoto
      • Kilimo,Umwagiliaji Na Ushirika
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi Wa Ndani
      • Habari Na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kiutalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
      • Kuonana na Mhe.Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayotarajiwa Kufanywa
    • Miradi Inayoendelea Kufanywa
    • New Planned Project
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Other Fomu
    • MpangoKazi
    • Baraza-Madiwani
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

DED MBILINYI AUKATAA U-BOSS

Posted on: April 15th, 2024
  • Ataka kutumika kama kiongozi na si ‘boss’ kukidhi dhamira na imani ya Mhe. Rais kwake
  • Asisistiza UZALENDO, Kupenda Kazi,Mshikamano ,Umoja Na Uwajibikaji Kwa Watumishi
  • Awaonya vikali wazembe kazini na wasiowajibika na kuahidi kutowavumilia

  • Apigilia msumali mahusiano ya CMT na KU (Kamati ya Usalama) na baraza la madiwani
  • Awataka Watumishi kuacha kushirikiana na ‘wapigaji’ katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo
  • Kutambua na kuwapa motisha wanaokamilisha miradi kwa ubora, kwa wakati, na kwa gharama elekezi na kuwashughulikia ‘watakaovurunda’.
  • Usimamizi wa Miradi kukamilika kwa wakati na kwa ubora kuwa sehemu ya Kipaumbele
  • Usimamizi wa miradi jumuishi na shirikishi hadi ngazi ya jamii
  • Kufanya ziara kata kwa kata kusikiliza na kutatua malalamiko, kero kujibu hoja na kusikiliza ushauri na maoni ya wananchi.
  • Tabasamu la Watumishi lampa tumaini jipya la mabadiliko na ushirikiano.
  • Aagiza  wakuu wa divisheni na vitengo kukaa vikao na watumishi kila baada ya miezi mitatu.
  • Asisitiza hofu ya Mungu na kutaka watumishi kuwa baraka kwa wengine
  • Aamsha ari ya kufanya kazi na mabadiliko chanya

Ndg. George Mbilinyi, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Buhigwe Leo Aprili 15, amefanya kikao kazi na watumishi Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe baada ya kuanza kazi Rasmi ambapo ametoa Dira ya mabadiliko ya Utendaji katika kipindi cha Uongozi wake.

Awali aliyekuwa kaimu Mkurugenzi Mtendaji Ndg. Alphonce Haule amewashukuru watumishi kwa namna walivyoshirikiana kwa kipindi cha Miezi nane aliyokuwa akikaimu na kuwataka kuonesha ushirikiano kwa Mkurugenzi mpya.

Akiongea kwa msisitizo Mkurugenzi Mtendaji George Mbilinyi amesisitiza Uzalendo katika kuwatumikia watumishi na kuonya watakaojifanya Miungu watu na wenye Viburi katika kutumikia wananchi. Awali wakati wa kuongea alimshuruku Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa JMT kwa kuendelea kumuamini kumsaidia kuwatumikia wananchi wa Buhigwe

Akishukuru na kumkaribisha kwa niaba ya Watumishi wengine Ndg. Masau Koligo ameonesha matumaini makubwa katika uongozi mpya na kumhakikishia ushirikiano mkubwa.



Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI - 04.07.2023 June 23, 2023
  • KILA KHERI DARASA LA SABA September 12, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA - OKTOBA 2023 October 09, 2023
  • TANZIA February 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DED BUHIGWE ATEMBELEA VITUO VYA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA.

    May 05, 2025
  • MATOKEO 2024 WALIMU NA WANAFUNZI WAPONGEZWA.

    April 17, 2025
  • BABA ASKOFU EMMANUEL BWATA AITIKIA WITO WA MKURUGENZI BUHIGWE.

    April 14, 2025
  • SHEREHE YA KUWAAGA WATUMISHI NA KUWAKARIBISHA WATUMISHI BUHIGWE YAFANA.

    April 13, 2025
  • Angalia zote

Video

Hospitali ya Wilaya ya Buhigwe kuanza kutoa huduma za Afya
Video Zaidi

Kurasa Za Karibu

  • Kuhamisha Mwanafunzi
  • Tovuti ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep Documentation
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • Wahe. Madiwani
  • BEMIS

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bunge La Tanzania
  • Ikulu
  • Bodi Ya Manunuzi na Ugavi
  • Wizara ya Ardhi
  • Wizara ya Elimu, Sayansi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Mji Mpya wa Bwega-Ofisi za Mkurugenzi

    Postal Address: P.O.Box 443 Buhigwe

    Simu Ya Mezani: 0282988460

    Simu ya mkononi: (+255) 782 500 333

    Barua Pepe: ded@buhigwedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Mwanzo

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Buhigwe. Haki zote zimehifadhiwa