• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za ofisi |
Buhigwe District Council
Buhigwe District Council

Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi Mkuu
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo Wa Utawala
    • Idara
      • Utawala Na Utumishi
      • Mipango, Takwimu Na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha Na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Secondari
      • Maji
      • Mifugo Na Uvuvi
      • Ardhi Na Maliasili
      • Maendeleo Ya Jamii Na Ustawi Wa Jamii
      • Ujenzi Na Zimamoto
      • Kilimo,Umwagiliaji Na Ushirika
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi Wa Ndani
      • Habari Na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kiutalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
      • Kuonana na Mhe.Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayotarajiwa Kufanywa
    • Miradi Inayoendelea Kufanywa
    • New Planned Project
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Other Fomu
    • MpangoKazi
    • Baraza-Madiwani
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

VIJARUNGA WANG'ARA NA MAMA SAMIA

Posted on: March 25th, 2024

DC azindua mgao wa ruzuku wa cash plus VIJARUNGA WANG'ARA NA MAMA SAMIA
Mhe Col.Michael M.Ngayalina Mkuu wa wilaya Buhigwe amezindua mgao wa Ruzuku Kwa vijana wa Cash plus Buhigwe. Hata hivyo ameishukuru serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na mama shupavu kweli kweli kwa kutambua na kuthamini nguvu kazi ya vijana. Sio hivyo amewaasa vijana kujikinga na mambo hatarishi kama mahusianao hatarishi, mimba za utotoni na maambukizi ya magonjwa ya zinaa.

Akielezea kuhusu manufaa na lengo la mradi huo Afisa Ufatiliaji wa mpango wa Tasafu amesema Mradi huu wa ‘Cash Plus’ unahusu Ustawi na Mabadiliko Salama Yenye Afya kwa Vijana nchini Tanzania, kwa ufupi “Ujana Salama”, unalenga kuimarisha maisha ya vijana wa vijijini. Vijana hawa wa umri wa balehe wanatoka katika kaya maskini na wanakabiliwa na hatari nyingi za kiafya na kiuchumi. Mpango huo unawalenga vijana wa umri wa balehe miaka Kati ya 14 Hadi 19 katika kaya zinazonufaika na --Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini (ruzuku inayojumuisha uhawilishaji pesa, Ujenzi au ukarabati wa miundombinu na kuimarisha njia za kujiingizia kipato katika kaya). Msaada wa kiufundi unatolewa na UNICEF. Vijalunga hao kila mmoja Amepokea Tsh 186,400 Kwa kuandika maandiko ya biashara watakazozitekeleza kwenye maeneo Yao huko vijijini.

Akiongea na Vijana Bi. Utefta Mahega Katibu Tawala wa Buhigwe amewakumbusha kuwa bahati haiji mara mbili na kuwaomba waweke juhudi kubwa katika kutekeleza maandiko waliyoandika ili kuwa na matumizi sahihi ya fedha na kufanya vijana kusonga mbele na kujikwamua na umasikini

Naye mwenyekiti  wa chama cha mapinduzi amesema hakuna kitu kinafanywa na serikali bila kuwekwa kwenye mikakati hivyo amesema serikali ya awamu ya sita inatekelezaji ahadi ilizozitoa. Hata hivyo amewasihi vijana kutumia ujana wao vizuri ili kuwa na kesho iliyo njema kwao na kujikwamua na umasikini

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI - 04.07.2023 June 23, 2023
  • KILA KHERI DARASA LA SABA September 12, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA - OKTOBA 2023 October 09, 2023
  • TANZIA February 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DED BUHIGWE ATEMBELEA VITUO VYA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA.

    May 05, 2025
  • MATOKEO 2024 WALIMU NA WANAFUNZI WAPONGEZWA.

    April 17, 2025
  • BABA ASKOFU EMMANUEL BWATA AITIKIA WITO WA MKURUGENZI BUHIGWE.

    April 14, 2025
  • SHEREHE YA KUWAAGA WATUMISHI NA KUWAKARIBISHA WATUMISHI BUHIGWE YAFANA.

    April 13, 2025
  • Angalia zote

Video

Hospitali ya Wilaya ya Buhigwe kuanza kutoa huduma za Afya
Video Zaidi

Kurasa Za Karibu

  • Kuhamisha Mwanafunzi
  • Tovuti ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep Documentation
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • Wahe. Madiwani
  • BEMIS

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bunge La Tanzania
  • Ikulu
  • Bodi Ya Manunuzi na Ugavi
  • Wizara ya Ardhi
  • Wizara ya Elimu, Sayansi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Mji Mpya wa Bwega-Ofisi za Mkurugenzi

    Postal Address: P.O.Box 443 Buhigwe

    Simu Ya Mezani: 0282988460

    Simu ya mkononi: (+255) 782 500 333

    Barua Pepe: ded@buhigwedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Mwanzo

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Buhigwe. Haki zote zimehifadhiwa