• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za ofisi |
Buhigwe District Council
Buhigwe District Council

Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi Mkuu
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo Wa Utawala
    • Idara
      • Utawala Na Utumishi
      • Mipango, Takwimu Na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha Na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Secondari
      • Maji
      • Mifugo Na Uvuvi
      • Ardhi Na Maliasili
      • Maendeleo Ya Jamii Na Ustawi Wa Jamii
      • Ujenzi Na Zimamoto
      • Kilimo,Umwagiliaji Na Ushirika
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi Wa Ndani
      • Habari Na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kiutalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
      • Kuonana na Mhe.Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayotarajiwa Kufanywa
    • Miradi Inayoendelea Kufanywa
    • New Planned Project
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Other Fomu
    • MpangoKazi
    • Baraza-Madiwani
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

WANANCHI PIGENI KAZI, DC KANALI MWAKISU.

Posted on: November 26th, 2025

Wananchi wa Wilaya ya Buhigwe wameaswa kufanya kazi kwa bidi ili kuunga mkono juhudi za Serikali za kuleta maendeleo kwa jamii.

Akizungumza na wananchi wa kata ya Kibande wilayani Buhigwe Mkuu wa Wilaya ya Kasulu kanali Isaac Mwakisu akimuwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Buhigwe leo tarehe 26 Novemba 2025 wakati wa kukabidhi soko la Kibande lililojengwa kwa ufadhili wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi (UNHCR) kwa kushirikiana na baraza la Wakimbizi la Denmark (DRC).

“kupitia ujenzi wa soko hili ambalo naamini litaongeza kasi ya biashara basi wananchi sasa tupige kazi kuhakikisha tunajikwamua kiuchumi”alisema Kanali Mwakisu

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashuari ya Wilaya ya Buhigwe ndug George Emmanuel Mbilinyi ameyashukuru mashirika hayo ambayo yamekuwa yakiisadia Serikali kuleta maendeleo kwa jamii kwa kujenga miundombinu na kuleta miradi mbalimbali ambayo yana matokeo chanya kwa jamii.

Ameongezea kwa kuwasihi wananchi wanaoishi mipakani kudumisha Amani na upendo iliopo baina ya wao na wanaotoka nchi za jirani ikiwemo Burundi na maeneo mengine.


Andrew Chingole ambae ni mwakilishi wa UNHCR, amewaasa kuenzi na kuheshimu juhudi za serikali na mashirika hayo kwa kutunza miundombinu mbalimbali ya soko hilo.

Kwa upande wake mwakilishi wa baraza la Wakimbizi (DRC) Ally Mnari amemshukuru Mkurugenzi Mtendaji kwa kutoa ushirikiano wa hali na mali kufanikisha ujenzi wa soko hilo.

Kwa niaba ya wananchi wa kata ya Kibande ndug Elia ameishukuru Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuendelea kuleta maendeleo katika kata hiyo na Wilaya kwa ujumla.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI - 04.07.2023 June 23, 2023
  • KILA KHERI DARASA LA SABA September 12, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA - OKTOBA 2023 October 09, 2023
  • TANZIA February 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WANANCHI PIGENI KAZI, DC KANALI MWAKISU.

    November 26, 2025
  • WANANCHI PIGENI KAZI, DC KANALI MWAKISU.

    November 26, 2025
  • BUHIGWE YAADHIMISHWA WIKI YA MAGONJWA YASIYO YA KUAMBUKIZA.

    November 14, 2025
  • ZOEZI LA UPIMAJI UDONGO BUHIGWE LAANZA.

    November 13, 2025
  • Angalia zote

Video

Hospitali ya Wilaya ya Buhigwe kuanza kutoa huduma za Afya
Video Zaidi

Kurasa Za Karibu

  • Kuhamisha Mwanafunzi
  • Tovuti ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep Documentation
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • Wahe. Madiwani
  • BEMIS

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bunge La Tanzania
  • Ikulu
  • Bodi Ya Manunuzi na Ugavi
  • Wizara ya Ardhi
  • Wizara ya Elimu, Sayansi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Mji Mpya wa Bwega-Ofisi za Mkurugenzi

    Postal Address: P.O.Box 443 Buhigwe

    Simu Ya Mezani: 0282988460

    Simu ya mkononi: (+255) 782 500 333

    Barua Pepe: ded@buhigwedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Mwanzo

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Buhigwe. Haki zote zimehifadhiwa