• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za ofisi |
Buhigwe District Council
Buhigwe District Council

Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi Mkuu
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo Wa Utawala
    • Idara
      • Utawala Na Utumishi
      • Mipango, Takwimu Na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha Na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Secondari
      • Maji
      • Mifugo Na Uvuvi
      • Ardhi Na Maliasili
      • Maendeleo Ya Jamii Na Ustawi Wa Jamii
      • Ujenzi Na Zimamoto
      • Kilimo,Umwagiliaji Na Ushirika
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi Wa Ndani
      • Habari Na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kiutalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
      • Kuonana na Mhe.Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayotarajiwa Kufanywa
    • Miradi Inayoendelea Kufanywa
    • New Planned Project
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Other Fomu
    • MpangoKazi
    • Baraza-Madiwani
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

WAANDISHI WA HABARI MKOANI KIGOMA KUHAMASIAHA ELIMU BORA

Posted on: January 16th, 2023

Wamiliki wa vyombo vya habari na waandishi wa habari mkoani kigoma wametakiwa kushirikiana na jamii katika kukuza Kiwango vya elimu mkoani hapo.


Kikao hicho kilihisisha wamiliki wavyombo vya habari, maafisa mawasiliano serikalini, maafsa elimu ngazi ya mkoa na waandishi wa habari waliop mkoani hapo.

Wadau hao wa habari wametakiwa na katibu tawala msaidizi idara ya elimu mkoa wa kigoma bi paulina ndigeza akimuwakilisha katibu tawala wa mkoa huo katika kikao kilichofanyakia katikaukumbii wa groness  hotel uliopo halimashauri ya kasulu mji

Katika kikao hicho kiongozi huyo aliwataka wadau wa vyombo vya habari kuendelea kutoa taarifa na elimu kwa umma juu ya mradi inayotekelezwa mkoani hapo ikiwamo mradi wa shule borapia amewataka kuelimisha jamii kushiriki kwa kuzifanya shule ziwajibike na kuongeza uelewa wa jamii kuhusu umuhimu wa kila watoto wenye ulemavu kuwaandikishana khudhuria shuleni

Aidha amesema tayari maafisa mawasiliano serikalini kwa ngazi ya mkoa na halimashauri inayotekeleza mradi wa shule bora wamefanya vikao na kuweka maazimio namna watakavyofanya kazi na wamiliki wa vyombo vya habari pamoja na waandishi wa habari katika kuboresha utoaji wa taarifa za mafanikio.

Hata hivyo katika utekelezaji wa mradi wa shule bora wajibu wa wamiliki w avyombo vya habari na waandishi wa habari ni kuibua changamoto na uelimishaji wa jamii katika maeneo yanotekelezwa na mradi ikiwemo suala la ufundishaji mazingira salama ya kujifunzia , elimu jumushi ufaulu na mdondoko wa wanafunzi

Kama mkuu wa kitengo cha mawasiliano serikalini ofisi ya raisi tamisem ndugu fred kibano aliwataka waandishi wa habari kutumia kanuni zao kufikisha ujumbe kwa jamii kupitia uandishi wa habari makala uandaaji wa vipindi kupitia vyombo vya habari ikiwemo magazeti radio televisheni na mitandao ya kijamii ili kufikisha ujumbe kwa makundi mbalimbali

Mradi wa shule bora unatekelezwa katika mikoa tisa nchini Tanzania ukihusisha halimashauri sitini na saba na shule elfu tano mia saba hamsini na saba (5757) na unatarajia kunufaisha wanafunzi zaidi ya milioni tatu laki nane (3,800,000)na walimu zaidi ya elifu hamsini na nne (54,000)

Mikoa inayotekeza mradi wa shule bora ni pamoja na mkoa wa kigoma, katavi, Dodoma,mara, pwani, rukwa, simiyu, singida, na mkoa wa mkoa wa tanga

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI - 04.07.2023 June 23, 2023
  • KILA KHERI DARASA LA SABA September 12, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA - OKTOBA 2023 October 09, 2023
  • TANZIA February 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DED BUHIGWE ATEMBELEA VITUO VYA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA.

    May 05, 2025
  • MATOKEO 2024 WALIMU NA WANAFUNZI WAPONGEZWA.

    April 17, 2025
  • BABA ASKOFU EMMANUEL BWATA AITIKIA WITO WA MKURUGENZI BUHIGWE.

    April 14, 2025
  • SHEREHE YA KUWAAGA WATUMISHI NA KUWAKARIBISHA WATUMISHI BUHIGWE YAFANA.

    April 13, 2025
  • Angalia zote

Video

Hospitali ya Wilaya ya Buhigwe kuanza kutoa huduma za Afya
Video Zaidi

Kurasa Za Karibu

  • Kuhamisha Mwanafunzi
  • Tovuti ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep Documentation
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • Wahe. Madiwani
  • BEMIS

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bunge La Tanzania
  • Ikulu
  • Bodi Ya Manunuzi na Ugavi
  • Wizara ya Ardhi
  • Wizara ya Elimu, Sayansi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Mji Mpya wa Bwega-Ofisi za Mkurugenzi

    Postal Address: P.O.Box 443 Buhigwe

    Simu Ya Mezani: 0282988460

    Simu ya mkononi: (+255) 782 500 333

    Barua Pepe: ded@buhigwedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Mwanzo

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Buhigwe. Haki zote zimehifadhiwa