• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za ofisi |
Buhigwe District Council
Buhigwe District Council

Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi Mkuu
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo Wa Utawala
    • Idara
      • Utawala Na Utumishi
      • Mipango, Takwimu Na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha Na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Secondari
      • Maji
      • Mifugo Na Uvuvi
      • Ardhi Na Maliasili
      • Maendeleo Ya Jamii Na Ustawi Wa Jamii
      • Ujenzi Na Zimamoto
      • Kilimo,Umwagiliaji Na Ushirika
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi Wa Ndani
      • Habari Na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kiutalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
      • Kuonana na Mhe.Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayotarajiwa Kufanywa
    • Miradi Inayoendelea Kufanywa
    • New Planned Project
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Other Fomu
    • MpangoKazi
    • Baraza-Madiwani
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Uzinduzi wa Baraza la Wazee Buhigwe

Posted on: August 6th, 2019

Wazee ni Hazina hivyo lazima tuwatunze, tuwalinde na tuwahudumie. Ni baraka kubwa sana kupata zawadi hii, tunaamini wazee bado wana akili na nguvu za kufanya shughuli za ujasriamali kujiingizia kipato badala ya kutegemea misaada kutoka mashirika mbalimbali kama HelAge. Hayo yamesemwa na Mhe. Mkuu wa Wilaya ya Buhigwe Col. Michael M. Ngayalina wakati akizindua Baraza la wazee leo asubuhi katika ukumbi wa Champanda ulioko wilayani hapa.

Wazee tumieni elimu ya ujasriamali mliyopewa na shirika la HelpAge International kutafuta maeneo ya kilimo, ufugaji hata kuunda vikundi vya wazee kumi ili kupata mkopo. Ni vema maeneo hayo yawe karibu ili iwe rahisi kutembelea kila siku hususani ufugaji wa nyuki kuhakikisha hakuna wadudu wanao haribu asali au kudhibiti uchomaji moto. 

Mizinga ya nyuki iwe ya kisasa ili kuepuka uharibu wa mazingira kwa kukata miti ya kuchonga mizinga, aidha napenda kuwakumbusha wazee kuwalea vijana wenu katika maadili ya kufanya kazi ili wasiwe tegemezi baadae na kusubiri kurithi mali za wazazi ambazo hawakushiriki kuzitafuta. Alisema Mhe. Ngayalina.

Mwisho nawashukuru sana shirika la HelpAge International kwa misaada mnayoendelea kuwapatia wazee wetu wa wilaya ya Buhigwe.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Baraza la Wazee mzee Wenderin Kilenza amesema sisi wazee hatutegemei misaada tu kutoka HelpAge bali tunajishughulisha na shughuli za uzalishaji mali mfano ufugaji wa nyuki ambao hauhitaji nguvu kubwa sana, kilimo cha muhogo, maharagwe, matunda kama parachichi, nanasi kwa ajili ya kuuza matunda na juisi.

Afisa ustawi wa jamii wilaya ya Buhigwe Ndg. Petro Mbwanji amesema kwa kushirikiana na shirika la HelpAge Intenational tumefanikiwa kutoa vitambulisho vya matibabu bure kwa wazee 1050 kati ya wazee 14993 wa wilaya ya Buhigwe ambapo tunaendelea kutoa vitambulisho vingine kwa wazee walio salia na tumeweka mabango yanayosema "Mpishe mzee atibiwe kwanza" katika zahanati na vituo vya afya, katika kituo cha afya Muyama na Janda tumetenga vyumba maalumu kwa ajili ya matibabu ya wazee. Alisema Mbwanji.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI - 04.07.2023 June 23, 2023
  • KILA KHERI DARASA LA SABA September 12, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA - OKTOBA 2023 October 09, 2023
  • TANZIA February 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DED BUHIGWE ATEMBELEA VITUO VYA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA.

    May 05, 2025
  • MATOKEO 2024 WALIMU NA WANAFUNZI WAPONGEZWA.

    April 17, 2025
  • BABA ASKOFU EMMANUEL BWATA AITIKIA WITO WA MKURUGENZI BUHIGWE.

    April 14, 2025
  • SHEREHE YA KUWAAGA WATUMISHI NA KUWAKARIBISHA WATUMISHI BUHIGWE YAFANA.

    April 13, 2025
  • Angalia zote

Video

Hospitali ya Wilaya ya Buhigwe kuanza kutoa huduma za Afya
Video Zaidi

Kurasa Za Karibu

  • Kuhamisha Mwanafunzi
  • Tovuti ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep Documentation
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • Wahe. Madiwani
  • BEMIS

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bunge La Tanzania
  • Ikulu
  • Bodi Ya Manunuzi na Ugavi
  • Wizara ya Ardhi
  • Wizara ya Elimu, Sayansi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Mji Mpya wa Bwega-Ofisi za Mkurugenzi

    Postal Address: P.O.Box 443 Buhigwe

    Simu Ya Mezani: 0282988460

    Simu ya mkononi: (+255) 782 500 333

    Barua Pepe: ded@buhigwedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Mwanzo

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Buhigwe. Haki zote zimehifadhiwa