• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za ofisi |
Buhigwe District Council
Buhigwe District Council

Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi Mkuu
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo Wa Utawala
    • Idara
      • Utawala Na Utumishi
      • Mipango, Takwimu Na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha Na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Secondari
      • Maji
      • Mifugo Na Uvuvi
      • Ardhi Na Maliasili
      • Maendeleo Ya Jamii Na Ustawi Wa Jamii
      • Ujenzi Na Zimamoto
      • Kilimo,Umwagiliaji Na Ushirika
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi Wa Ndani
      • Habari Na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kiutalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
      • Kuonana na Mhe.Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayotarajiwa Kufanywa
    • Miradi Inayoendelea Kufanywa
    • New Planned Project
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Other Fomu
    • MpangoKazi
    • Baraza-Madiwani
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

SHIKAMOOO!!!DC NGAYALINA WANAWAKE WOTE DUNIANI

Posted on: March 5th, 2024

Mhe Mkuu wa Wilaya ya Buhigwe Col Michael Masala Justine Ngayalina akiwa kwenye Maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani yaliyoadhimishwa katika kata ya Mkatanga wilayani humo ikiwa ni maadhimisho kiwilaya yaliyofanyika Tarehe 05/03/2023 Ametoa heshima kubwa sana ya dhati kwa wanawake wote Duniani kwani licha ya kuwa ni Jeshi kubwa pia ni nguzo kubwa katika Dunia

Ikumbukwe kuwa kauli mbiu ya siku ya wanawake Dunia mwaka 2024 Isemayo WEKEZA KWA WANAWAKE KUHARAKISHA MAENDELEO YA TAIFA KWA USTAWI WA JAMII Inatukumbusha kuwapa kipaumbele kikubwa wanawake katika uwekezaji ukizingati ndio mtaji mkubwa kwa jamii. Hatahivyo mhe DC amewatoa hofu wanawake  wajasiriamali wote kuendelea kuchapa kazi kwani serikali ya mama SAMIA SULUHU HASSAN inapambana kwa juhudi zote ili kuwawezesha wanawake katika sekta zote za kiuchumi Kwani wanawake sasa ni viongozi wakubwa na ukizingatia Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania naye ni mama shupavu kweli kweli

Wakiwasilishwa taarifa yao kwa mhe DC wanawake wajasiriamali Wameomba serikali kuendelea kuwawezesha katika shughuli zao za ujasiriamali kwa kuwapatia mitaji na mafunzo ilihali hawajasahau kuomba kurejeshewa mikopo ya asilimia 4 ya wanawake ili kuendelea kukuza mitaji yao na kujipatia kipato .

Itoshe kusema kwa niaba ya Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Afisa Maendeleo ya Jami Ndug Christopher Kajange Ametoa shukurani zake za Dhati kwa wanawake wote kwa ushirikiano wao wa dhati waliouonesha kufanikisha zoezi hili na kuahidi kufanya zaidi na zaidi ili kuendelea kuthamini mchango wa wanawake katika jamii na ametoa shime kwa juhudi zao wanawake katika kulijenga Taifa La  Tanzania



Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI - 04.07.2023 June 23, 2023
  • KILA KHERI DARASA LA SABA September 12, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA - OKTOBA 2023 October 09, 2023
  • TANZIA February 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DED BUHIGWE ATEMBELEA VITUO VYA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA.

    May 05, 2025
  • MATOKEO 2024 WALIMU NA WANAFUNZI WAPONGEZWA.

    April 17, 2025
  • BABA ASKOFU EMMANUEL BWATA AITIKIA WITO WA MKURUGENZI BUHIGWE.

    April 14, 2025
  • SHEREHE YA KUWAAGA WATUMISHI NA KUWAKARIBISHA WATUMISHI BUHIGWE YAFANA.

    April 13, 2025
  • Angalia zote

Video

Hospitali ya Wilaya ya Buhigwe kuanza kutoa huduma za Afya
Video Zaidi

Kurasa Za Karibu

  • Kuhamisha Mwanafunzi
  • Tovuti ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep Documentation
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • Wahe. Madiwani
  • BEMIS

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bunge La Tanzania
  • Ikulu
  • Bodi Ya Manunuzi na Ugavi
  • Wizara ya Ardhi
  • Wizara ya Elimu, Sayansi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Mji Mpya wa Bwega-Ofisi za Mkurugenzi

    Postal Address: P.O.Box 443 Buhigwe

    Simu Ya Mezani: 0282988460

    Simu ya mkononi: (+255) 782 500 333

    Barua Pepe: ded@buhigwedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Mwanzo

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Buhigwe. Haki zote zimehifadhiwa