• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za ofisi |
Buhigwe District Council
Buhigwe District Council

Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi Mkuu
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo Wa Utawala
    • Idara
      • Utawala Na Utumishi
      • Mipango, Takwimu Na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha Na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Secondari
      • Maji
      • Mifugo Na Uvuvi
      • Ardhi Na Maliasili
      • Maendeleo Ya Jamii Na Ustawi Wa Jamii
      • Ujenzi Na Zimamoto
      • Kilimo,Umwagiliaji Na Ushirika
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi Wa Ndani
      • Habari Na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kiutalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
      • Kuonana na Mhe.Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayotarajiwa Kufanywa
    • Miradi Inayoendelea Kufanywa
    • New Planned Project
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Other Fomu
    • MpangoKazi
    • Baraza-Madiwani
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

RASMI ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA LAZINDULIWA.

Posted on: July 20th, 2024

WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Kassim Majaliwa Kassim(MB) leo tarehe 20 Julai 2024 amezindua rasmi uboreshaji wa daftari la wapiga kura lililofanyika katika viwanja vya Kakawa mkoani Kigoma na kuwataka watanzania wote kutimiza wajibu wao kwa kushiriki kikamilifu katika zoezi la uboreshaji wa daftari la wapiga kura linaloendelea nchini.

Akizungumza katika uzinduzi huo amesema kuwa kila mtanzania ana wajibu wa kushiriki kikamilifu katika zoezi hilo ili kutimiza wajibu wa mtanzania mzalendo. Sambamba na hilo ametoa rai kwa watendaji kutumia lugha nzuri na maelekezo  thabiti kwa wananchi katika utekelezaji wa zoezi la uboreshaji ili kuhakikisha kila mtanzania mwenye sifa anapata nafasi ya kushiriki katika zoezi hilo.

Naye mwenyekiti wa tume huru ya taifa ya uchaguzi Jaji Mwambegele amesema kuwa uboreshaji wa daftari la wapiga kura umeanza kwa  awamu ya kwanza ambao utahusisha mizunguko 13 na kwa mikoa mitatu  ambayo ni Kigoma,Tabora na Katavi.

Ameongezea kwa kusema kuwa Tume ina wajibu wa kuboresha daftari la kudumu la wapiga kuramara mbili katika kipindi kinachoanza baada  ya uchaguzi mkuu.

Aidha amesema kuwa kwa upande wa Zanzibar zoezi hili litafanyika kuanzia 7 mpaka 13 octoba 2024 Jumla ya vituo 40126 vitatumika katika zoezi la uboreshaji wa daftari na kati ya hivyo 39709 vipo Tanzania bara na vituo 417 vipo Tanzania Zanzibar ikiwa ni ongezeko la vituo 2312 zaidi ikiliinganishwa na vituo 37814 vilivyotumika katika zoezi la uandikishaji 2019/2020.

Sambamba na hilo amesema kuwa Tume imehuisha mifumo ya uandikishaji wa wapiga kura na kwa uboreshaji unaoanza leo kwa wananchi waliomo kwenye daftari wanaweza kuanzisha mchakato wa kuboresha au kuhamisha taarifa zao wakiwa nje ya kituo kwa njia ya kielectronic kwa kutumia simu ndogo maarufu kama kiswaswadu.



Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI - 04.07.2023 June 23, 2023
  • KILA KHERI DARASA LA SABA September 12, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA - OKTOBA 2023 October 09, 2023
  • TANZIA February 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DED BUHIGWE ATEMBELEA VITUO VYA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA.

    May 05, 2025
  • MATOKEO 2024 WALIMU NA WANAFUNZI WAPONGEZWA.

    April 17, 2025
  • BABA ASKOFU EMMANUEL BWATA AITIKIA WITO WA MKURUGENZI BUHIGWE.

    April 14, 2025
  • SHEREHE YA KUWAAGA WATUMISHI NA KUWAKARIBISHA WATUMISHI BUHIGWE YAFANA.

    April 13, 2025
  • Angalia zote

Video

Hospitali ya Wilaya ya Buhigwe kuanza kutoa huduma za Afya
Video Zaidi

Kurasa Za Karibu

  • Kuhamisha Mwanafunzi
  • Tovuti ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep Documentation
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • Wahe. Madiwani
  • BEMIS

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bunge La Tanzania
  • Ikulu
  • Bodi Ya Manunuzi na Ugavi
  • Wizara ya Ardhi
  • Wizara ya Elimu, Sayansi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Mji Mpya wa Bwega-Ofisi za Mkurugenzi

    Postal Address: P.O.Box 443 Buhigwe

    Simu Ya Mezani: 0282988460

    Simu ya mkononi: (+255) 782 500 333

    Barua Pepe: ded@buhigwedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Mwanzo

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Buhigwe. Haki zote zimehifadhiwa