• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za ofisi |
Buhigwe District Council
Buhigwe District Council

Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi Mkuu
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo Wa Utawala
    • Idara
      • Utawala Na Utumishi
      • Mipango, Takwimu Na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha Na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Secondari
      • Maji
      • Mifugo Na Uvuvi
      • Ardhi Na Maliasili
      • Maendeleo Ya Jamii Na Ustawi Wa Jamii
      • Ujenzi Na Zimamoto
      • Kilimo,Umwagiliaji Na Ushirika
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi Wa Ndani
      • Habari Na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kiutalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
      • Kuonana na Mhe.Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayotarajiwa Kufanywa
    • Miradi Inayoendelea Kufanywa
    • New Planned Project
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Other Fomu
    • MpangoKazi
    • Baraza-Madiwani
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Mwenge wazindua na kutembelea Miradi ya zaidi ya milioni mias sita sabini Wilayani Buhigwe

Posted on: April 21st, 2018

Jumla ya miradi nane (8) yenye thamani ya shilingi 672,790,000 imetembelewa na mwenge wa uhuru mwaka huu 2018. Aidha, Serikali kuu imechangia shilingi 533,290,000 sawa na 79%, Halmashauri shilingi 17,500,000 sawa na 3%, Wahisani shilingi 50,000,000 sawa na  7% na Wananchi shilingi 72,000,000 sawa na 11%. 

Miradi miwili  (02) ya yenye thamani ya shilingi  452,000,000  imewekewa mawe ya Msingi. Miradi hiyo ni  Ukarabati Mkubwa wa Kituo cha Afya Janda   na Ujenzi wa kituo cha Biashara


Miradi  sita (06) yenye thamani ya shilingi  220,790,000  ilizinduliwa wakati wa Mwenge wa Uhuru mwaka 2018. Miradi hiyo ni ujenzi wa barabara ya Munzenze - Kigogwe, Ujenzi wa Madarasa 4 na vyoo matundu 10  Shule ya Msingi Kishanga, Mradi wa Klabu ya wapinga  Rushwa  Shule ya Sekondari Janda,  Klabu ya Kupinga  dawa za kulevya Shule ya  Sekondari Yanza na Ujenzi wa Nyumba ya Kulala Wageni Muyama,


NA

JINA LA MRADI

SEKTA

KIJIJI

SHUGHULI

UCHANGIAJI NA THAMANI YA MRADI

WANANCHI

HALMASHAURI

S/KUU

WAHISANI

JUMLA

1

Matengenezo  ya barabara ya Munzeze –Kigogwe

Ujenzi

Kigogwe

Ufunguzi

0

0

46,690,000

0

46,690,000

2

Ujenzi wa  Madarasa 4 na vyoo Shule ya Msingi Kishanga

Elimu

Kishanga

Ufunguzi

15,000,000

4,000,000

86,600,000

0

105,600,000

3

Klabu ya Wapinga  rushwa  -Shule ya Sekondari Janda

Utawala

Janda

Uzinduzi

0

0

0

0

0

4

Ujenzi wa Kituo cha Afya Janda (Ujenzi wa Wodi, Jengo la upasuaji, Maabara na Nyumba ya Mtumishi)

Afya

Janda

Jiwe la Msingi

0

0

400,000,000

0

400,000,000

5

Ujenzi wa Kituo cha Biashara Wilaya  Buhigwe.

Biashara

Buhigwe

Jiwe la Msingi

0

2,000,000

0

50,000,000

52,000,000

6

Klabu ya Wapinga Madawa ya Kulevya  -Shule ya Msingi Biharu

Ustawi wa Jamii

Muyama

Ufunguzi

0

0

0

0

0

7

Ujenzi wa Nyumba   bora  Kijiji cha Muyama

Ardhi

Muyama

Ufunguzi

57,000,000

0

0

0

57,000,000

8

Uwezeshaji wa vikundi vya Vijana na Wanawake

M/Jamii

Muyama

Ufunguzi

0

11,500,000

0

0

11,500,000


JUMLA   KUU




72,000,000

17,500,000

533,290,000

50,000,000

672,790,000

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI - 04.07.2023 June 23, 2023
  • KILA KHERI DARASA LA SABA September 12, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA - OKTOBA 2023 October 09, 2023
  • TANZIA February 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DED BUHIGWE ATEMBELEA VITUO VYA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA.

    May 05, 2025
  • MATOKEO 2024 WALIMU NA WANAFUNZI WAPONGEZWA.

    April 17, 2025
  • BABA ASKOFU EMMANUEL BWATA AITIKIA WITO WA MKURUGENZI BUHIGWE.

    April 14, 2025
  • SHEREHE YA KUWAAGA WATUMISHI NA KUWAKARIBISHA WATUMISHI BUHIGWE YAFANA.

    April 13, 2025
  • Angalia zote

Video

Hospitali ya Wilaya ya Buhigwe kuanza kutoa huduma za Afya
Video Zaidi

Kurasa Za Karibu

  • Kuhamisha Mwanafunzi
  • Tovuti ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep Documentation
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • Wahe. Madiwani
  • BEMIS

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bunge La Tanzania
  • Ikulu
  • Bodi Ya Manunuzi na Ugavi
  • Wizara ya Ardhi
  • Wizara ya Elimu, Sayansi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Mji Mpya wa Bwega-Ofisi za Mkurugenzi

    Postal Address: P.O.Box 443 Buhigwe

    Simu Ya Mezani: 0282988460

    Simu ya mkononi: (+255) 782 500 333

    Barua Pepe: ded@buhigwedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Mwanzo

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Buhigwe. Haki zote zimehifadhiwa