• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za ofisi |
Buhigwe District Council
Buhigwe District Council

Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi Mkuu
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo Wa Utawala
    • Idara
      • Utawala Na Utumishi
      • Mipango, Takwimu Na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha Na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Secondari
      • Maji
      • Mifugo Na Uvuvi
      • Ardhi Na Maliasili
      • Maendeleo Ya Jamii Na Ustawi Wa Jamii
      • Ujenzi Na Zimamoto
      • Kilimo,Umwagiliaji Na Ushirika
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi Wa Ndani
      • Habari Na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kiutalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
      • Kuonana na Mhe.Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayotarajiwa Kufanywa
    • Miradi Inayoendelea Kufanywa
    • New Planned Project
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Other Fomu
    • MpangoKazi
    • Baraza-Madiwani
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

MICHE 1,400,000 YA KAHAWA YA RUZUKU YAGAIWA BURE KWA WANANCHI BUHIGWE.

Posted on: November 10th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Buhigwe Kanali Michael Justin Ngayalina leo tarehe 10 Novemba 2025 ameongoza zoezi la ugawaji wa Miche takribani 1,400,000 bure kwa Wakulima wa kata ya Kibwigwa, Mwayaya na Mkatanga iliyozalishwa na Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe kupitia kampuni ya B - PLUS.

Akizungumza na Wananchi hao, Mkuu wa Wilaya amewasihi kuilea na kuitunza vizuri miche hiyo ili kupata mavuno yatakayo wakwamua kiuchumi kwa kila mkulima lakini pia kuiendeleza Nchi kupitia sekta ya kilimo.

Aidha ameongezea kwa kuishukuru Serikali ya Jamhuri ya Muungano, Makampuni yanayojihusisha na kilimo na Wataalamu kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe ikiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji Ndug George Emmanuel Mbilinyi kwa uamuzi wa kuzalisha miche hiyo katika maeneo ya Halmashauri.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji amesema kuwa katika wilaya ya Buhigwe wakulima wanaolima kahawa na waliosajiliwa ni 6,128 na eneo linalolimwa zao LA Kahawa ni Ekari 11,820, hivyo kupitia ugawaji wa miche hiyo itaongeza idadi ya Wakulima na eneo linalolimwa katika Wilaya ya Buhigwe.

Naye Alphonce I. Haule ambae ni Mkuu wa Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi Wilaya ya Buhigwe amesema kuwa miche hiyo ya ruzuku inagawiwa bure kwa Wananchi ili kuhakikisha kila Mwananchi anapata kulingana na mahitaji ya shamba lake.

Kwa kumalizia Msimamizi wa kampuni ya B - PLUS amewapongeza AMCOS ya Kibwigwa ambao walitoa eneo hilo la ardhi kwa ajili ya kupandia miche hiyo na wote waliojitokeza kwa wingi kuja kupokea miche hiyo.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI - 04.07.2023 June 23, 2023
  • KILA KHERI DARASA LA SABA September 12, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA - OKTOBA 2023 October 09, 2023
  • TANZIA February 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WANANCHI PIGENI KAZI, DC KANALI MWAKISU.

    November 26, 2025
  • WANANCHI PIGENI KAZI, DC KANALI MWAKISU.

    November 26, 2025
  • BUHIGWE YAADHIMISHWA WIKI YA MAGONJWA YASIYO YA KUAMBUKIZA.

    November 14, 2025
  • ZOEZI LA UPIMAJI UDONGO BUHIGWE LAANZA.

    November 13, 2025
  • Angalia zote

Video

Hospitali ya Wilaya ya Buhigwe kuanza kutoa huduma za Afya
Video Zaidi

Kurasa Za Karibu

  • Kuhamisha Mwanafunzi
  • Tovuti ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep Documentation
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • Wahe. Madiwani
  • BEMIS

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bunge La Tanzania
  • Ikulu
  • Bodi Ya Manunuzi na Ugavi
  • Wizara ya Ardhi
  • Wizara ya Elimu, Sayansi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Mji Mpya wa Bwega-Ofisi za Mkurugenzi

    Postal Address: P.O.Box 443 Buhigwe

    Simu Ya Mezani: 0282988460

    Simu ya mkononi: (+255) 782 500 333

    Barua Pepe: ded@buhigwedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Mwanzo

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Buhigwe. Haki zote zimehifadhiwa