• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za ofisi |
Buhigwe District Council
Buhigwe District Council

Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi Mkuu
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo Wa Utawala
    • Idara
      • Utawala Na Utumishi
      • Mipango, Takwimu Na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha Na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Secondari
      • Maji
      • Mifugo Na Uvuvi
      • Ardhi Na Maliasili
      • Maendeleo Ya Jamii Na Ustawi Wa Jamii
      • Ujenzi Na Zimamoto
      • Kilimo,Umwagiliaji Na Ushirika
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi Wa Ndani
      • Habari Na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kiutalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
      • Kuonana na Mhe.Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayotarajiwa Kufanywa
    • Miradi Inayoendelea Kufanywa
    • New Planned Project
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Other Fomu
    • MpangoKazi
    • Baraza-Madiwani
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

“MEI MOS KIGOMA YAFANA”

Posted on: May 1st, 2024


Awali ya yote Akizingumuza na wafanya kazi wa vyama vyote mgeni Rasmi Mhe. Cgf (Mst.) Thobias Andengenye amesema’’napenda kwanza niitumie fursa hii kuwashukuru kwa dhati, Viongozi wa Vyama huru vya Wafanyakazi chini ya uratibu wa TUCTA kwa uamuzi wao wa kunialika kuja kushiriki nanyi kama mgeni rasmi kwenye maadhimisho ya siku ya Wafanyakazi au Mei Mosi, tukio ambalo husherehekewa kila mwaka katika kila Mkoa hapa nchini na ulimwenguni kote.  Ninawashukuru na kuwapongeza sana  kwa kunitunukia heshima hii ya pekee”

 Akitoa pongezi na shukurani za dhati amesema”Kwa dhati ya moyo wangu napenda kuchukua fursa hii kumpongeza sana Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa juhudi kubwa ambazo amezifanya na anazoendelea kuzichukua katika kuondoa kero mbalimbali za wafanyakazi nchini Tanzania. Hii inadhihirisha dhamira na nia njema ya Rais wetu katika kuthamini mchango wa wafanyakazi katika maendeleo ya Taifa letu

.

Aidha Kauli mbiu ya Maadhimisho ya Mei Mosi mwaka huu ni “Nyongeza ya Mishahara ni Msingi wa Mafao  Bora na Kinga dhidi ya Hali Ngumu ya Maisha” kauli mbiu hii inaakisi kabisa chimbuko na historia ya sikukuu ya Mei Mosi.

Akieleza kuhusu changamoto zilizowasilisha kwenye risala amesema” Katika risala yenu mmegusia kero mbalimbali zinazowahusu wafanyakazi wa Serikali, Mashirika, na wale wa sekta binafsi hasa tatizo la mikataba.  Napenda kuwahakikishia kuwa Serikali itaendelea kutoa ushirikiano unaostahili kwa vyama vya wafanyakazi na wadau wengine wanaoshughulikia haki za wafanyakazi katika kuhakikisha kuwa sheria mpya za kazi Na. 6 na Na.7 zinatekelezwa ipasavyo. Kwa kufanya hivyo matatizo mengi yatapungua kama sio kumalizika kabisa. Napenda kuchukua fursa hii kuwaasa waajiri wanaowanyanyasa na kuwakandamiza wafanyakazi wao kwa namna yoyote ile waache kufanya hivyo.  Nawataka wafuate sheria mpya za kazi katika kuajiri na kutekeleza haki na wajibu wa wafanyakazi.  Aidha vyama vya wafanyakazi visaidie kuwabaini waajiri wa namna hii ili wapelekwe kwenye mkondo wa sheria.  Hata hivyo kama nilivyosema hapo awali wafanyakazi nao wanapaswa kutekeleza wajibu wao ipasavyo mahali popote pa kazi.” 


Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI - 04.07.2023 June 23, 2023
  • KILA KHERI DARASA LA SABA September 12, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA - OKTOBA 2023 October 09, 2023
  • TANZIA February 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DED BUHIGWE ATEMBELEA VITUO VYA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA.

    May 05, 2025
  • MATOKEO 2024 WALIMU NA WANAFUNZI WAPONGEZWA.

    April 17, 2025
  • BABA ASKOFU EMMANUEL BWATA AITIKIA WITO WA MKURUGENZI BUHIGWE.

    April 14, 2025
  • SHEREHE YA KUWAAGA WATUMISHI NA KUWAKARIBISHA WATUMISHI BUHIGWE YAFANA.

    April 13, 2025
  • Angalia zote

Video

Hospitali ya Wilaya ya Buhigwe kuanza kutoa huduma za Afya
Video Zaidi

Kurasa Za Karibu

  • Kuhamisha Mwanafunzi
  • Tovuti ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep Documentation
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • Wahe. Madiwani
  • BEMIS

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bunge La Tanzania
  • Ikulu
  • Bodi Ya Manunuzi na Ugavi
  • Wizara ya Ardhi
  • Wizara ya Elimu, Sayansi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Mji Mpya wa Bwega-Ofisi za Mkurugenzi

    Postal Address: P.O.Box 443 Buhigwe

    Simu Ya Mezani: 0282988460

    Simu ya mkononi: (+255) 782 500 333

    Barua Pepe: ded@buhigwedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Mwanzo

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Buhigwe. Haki zote zimehifadhiwa