• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za ofisi |
Buhigwe District Council
Buhigwe District Council

Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi Mkuu
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo Wa Utawala
    • Idara
      • Utawala Na Utumishi
      • Mipango, Takwimu Na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha Na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Secondari
      • Maji
      • Mifugo Na Uvuvi
      • Ardhi Na Maliasili
      • Maendeleo Ya Jamii Na Ustawi Wa Jamii
      • Ujenzi Na Zimamoto
      • Kilimo,Umwagiliaji Na Ushirika
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi Wa Ndani
      • Habari Na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kiutalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
      • Kuonana na Mhe.Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayotarajiwa Kufanywa
    • Miradi Inayoendelea Kufanywa
    • New Planned Project
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Other Fomu
    • MpangoKazi
    • Baraza-Madiwani
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Mbio za Mwenge wa Uhuru wilayani Buhigwe 2017

Posted on: September 23rd, 2017

 Mbio za mwenge wa uhuru wilaya  ya Buhigwe kwa mwaka 2017 zilifanyika tarehe   27-28/07/2017   wilayani hapa, ambapo Jumla ya miradi saba (7) yenye thamani ya shilingi.1,946,132,975 imetembelewa na mwenge wa uhuru mwaka huu 2017 na kuzinduliwa/kuweka jiwe la msingi.

Aidha, Serikali kuu imechangia shilingi 1,819,532,975 sawa na 94% Halmashauri shilingi 14,200,000 sawa na 1%, Wahisani shilingi 87,000,000 sawana 4% na Wananchi shilingi 25,400,000 sawa na 1% katika kufanikisha uzinduliwaji wa miradi hiyo.


Mbali na uzinduzi wa miradi hiyo, mbio za mwenge kwa mwaka 2017 zilibeba jumbe nne (4) kuu kuwafikishia wananchi



  • "MADAWA YA KULEVYA" Mapambano dhidi ya madawa ya kulevya, tuwajali na kuwasikilize watoto na vijana.
  • "RUSHWA" Tuungane kwa pamoja dhidi ya rushwa kwa maendeleo, amani na usalama wa Taifa letu.
  • "UKIMWI" Tanzania bila maambukizi mapya, unyanyapaa na vifo vitokanavyo na UKIMWI inawezekana ifikapo mwaka 20130
  • "MALARIA" Shiriki kutokomeza Malaria kabisa kwa manufaa ya jamii.

Miradi ambayo mwenge wa uhuru kwa mwaka 2017 ilizindua wilayani Buhigwe ni kama ifuatavyo:

  1. Mradi  wa maji Katika kijiji cha Kirungu. Ujenzi wa miundo mbinu ya Majiya  bomba katika Kijiji cha Kirunguunaendelea kujengwa na  Mkandarasimjenzi  KAM / JUVE CONSTRUCTION LTD, ukisimamiwa na wataalamu wa maji toka ofisiya mhandisi wa maji Wilaya ya Kasulu na Buhigwe. Lengo kuu la Mradi ni kuwapatia wananchi wa Kirungu  huduma ya maji safi na salama na ya kutoshakwa umbali  usiozidi mita  400 toka majumbani mwao kwa kuzingatia seraya maji ya mwaka 2002, kwa kufanya hivyo wananchi  watapata muda wa ziada wa kufanya kazinyingine za uzalishaji  mali na kujileteamaendeleo. Katika  mradi huu kazi zifuatazo  zimefanyika; ujenzi wa chanzo cha majiumekamilika kwa asilimia 95 , ujenzi wa tenki la kuhifadhia maji lenye  mita za ujazo 150m3 unaendelea na umefikiaasilimia 85, njia kuu ya bomba(4,081m)  imekamilika kwa  asilimia 85,njia za mitawanyo kijijini(5,709m) imekamilika kwa  asilimia  90 na Vituo vya kutekea maji 15 (doubletype taps) vimejengwa na kukamilika kwa  asilimia  80. Mradi wa maji wa Kijiji chaKirungu utakapokamilika utagharimu kiasi cha Tshs 504,788,762 (Wananchi Tsh3,200,000/=, Halmashauri Tsh 4,000,000/=na Serikali kuu Tsh 497,588,762)mpaka kufika hatua hii mkandarasiameishalipwa kiasi cha Tshs 412,839,702.20 na chanzo cha fedha hii  niserikali kuu.

Ndg Amour Hamad Amour akiweka jiwe la msingi katika mradi wa maji kijiji cha KIRUNGU


Soma zaidi:

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI - 04.07.2023 June 23, 2023
  • KILA KHERI DARASA LA SABA September 12, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA - OKTOBA 2023 October 09, 2023
  • TANZIA February 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • BUHIGWE DC YAPATA HATI SAFI KWA MIAKA 4 MFULULIZO.

    June 20, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI.

    June 12, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE

    June 12, 2025
  • RASMI ZOEZI LA UGAWAJI VYANDARUA LAZINDULIWA BUHIGWE.

    June 10, 2025
  • Angalia zote

Video

Hospitali ya Wilaya ya Buhigwe kuanza kutoa huduma za Afya
Video Zaidi

Kurasa Za Karibu

  • Kuhamisha Mwanafunzi
  • Tovuti ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep Documentation
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • Wahe. Madiwani
  • BEMIS

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bunge La Tanzania
  • Ikulu
  • Bodi Ya Manunuzi na Ugavi
  • Wizara ya Ardhi
  • Wizara ya Elimu, Sayansi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Mji Mpya wa Bwega-Ofisi za Mkurugenzi

    Postal Address: P.O.Box 443 Buhigwe

    Simu Ya Mezani: 0282988460

    Simu ya mkononi: (+255) 782 500 333

    Barua Pepe: ded@buhigwedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Mwanzo

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Buhigwe. Haki zote zimehifadhiwa