• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za ofisi |
Buhigwe District Council
Buhigwe District Council

Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi Mkuu
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo Wa Utawala
    • Idara
      • Utawala Na Utumishi
      • Mipango, Takwimu Na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha Na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Secondari
      • Maji
      • Mifugo Na Uvuvi
      • Ardhi Na Maliasili
      • Maendeleo Ya Jamii Na Ustawi Wa Jamii
      • Ujenzi Na Zimamoto
      • Kilimo,Umwagiliaji Na Ushirika
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi Wa Ndani
      • Habari Na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kiutalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
      • Kuonana na Mhe.Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayotarajiwa Kufanywa
    • Miradi Inayoendelea Kufanywa
    • New Planned Project
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Other Fomu
    • MpangoKazi
    • Baraza-Madiwani
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI YAMETAKIWA KUFUATA TARATIBU NA SHERIA ZA NCHI.

Posted on: August 1st, 2024

Aliyasema hayo jana,kaimu Mkuu wa Wilaya ya Buhigwe Kanali Isaac Mwakisu katika kongamano la uwasilishaji wa taarifa ya robo ya mwaka ya utendaji kazi wa Mashirika yasiyokuwa ya Kiserikali lililofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya hiyo.

“Mashirika yote yanatakiwa kufuata masharti,sheria na taratibu za Nchi ikiwemo kufanya kazi kwa mujibu wa Nyaraka za usajili na katiba,kuhakikisha inalinda maslahi ya Nchi,kutiii na kulinda utamaduni,kuwasilisha taarifa kwa Halmashauri,”alisema Mwakisu

Aliongezea kwa kusema kuwa Serikali haitomuonea huruma yeyote ambaye hatafuata sheria za Nchi kwa kigezo cha kuleta maendeleo na haitosita kumchukulia hatua za kisheria pale tu atakapogundulika kukiuka sheria hizo.

Sambamba na hilo aliwataka kuzingatia mila na desturi za Nchi,uwazi na uwajibikaji katika utendaji wao wa kazi.

Kwa upande wake katibu tawala wa Wilaya hiyo Bi Utefta Mahega alisema kuwa kongamano hilo limefanyika likiwa na lengo la kuongeza chachu na ushirikiano wa utendaji kazi wa mashirika hayo na serikali.

Naye Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya hiyo Bi Emmily Fwambo aliwataka watumishi wa Mashirika hayo kuweka utu mbele kuliko fedha.

“Kama watanzania tuzingatie maadili tusimame na kuwasaidia watu wetu na tusidanganywe na misaada tunayopewa na wafadhili tuwe na utu na ubinadamu”alisema Fwambo

Kongamano hilo limefanyika likiwa na Kaulimbiu inayosema “Mashirika yasiyo ya kiserikali ni wadau muhimu washirikishwe katika utawala bora”

Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe ina jumla ya Mashirika 19 yasiyokuwa ya kiserikali yanayo fanya kazi katika sekta za Elimu , Kilimo , Afya, Mazingira , Utoaji wa elimu ya Mapambano dhidi ya Ukatili.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI - 04.07.2023 June 23, 2023
  • KILA KHERI DARASA LA SABA September 12, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA - OKTOBA 2023 October 09, 2023
  • TANZIA February 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DED BUHIGWE ATEMBELEA VITUO VYA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA.

    May 05, 2025
  • MATOKEO 2024 WALIMU NA WANAFUNZI WAPONGEZWA.

    April 17, 2025
  • BABA ASKOFU EMMANUEL BWATA AITIKIA WITO WA MKURUGENZI BUHIGWE.

    April 14, 2025
  • SHEREHE YA KUWAAGA WATUMISHI NA KUWAKARIBISHA WATUMISHI BUHIGWE YAFANA.

    April 13, 2025
  • Angalia zote

Video

Hospitali ya Wilaya ya Buhigwe kuanza kutoa huduma za Afya
Video Zaidi

Kurasa Za Karibu

  • Kuhamisha Mwanafunzi
  • Tovuti ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep Documentation
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • Wahe. Madiwani
  • BEMIS

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bunge La Tanzania
  • Ikulu
  • Bodi Ya Manunuzi na Ugavi
  • Wizara ya Ardhi
  • Wizara ya Elimu, Sayansi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Mji Mpya wa Bwega-Ofisi za Mkurugenzi

    Postal Address: P.O.Box 443 Buhigwe

    Simu Ya Mezani: 0282988460

    Simu ya mkononi: (+255) 782 500 333

    Barua Pepe: ded@buhigwedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Mwanzo

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Buhigwe. Haki zote zimehifadhiwa