• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za ofisi |
Buhigwe District Council
Buhigwe District Council

Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi Mkuu
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo Wa Utawala
    • Idara
      • Utawala Na Utumishi
      • Mipango, Takwimu Na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha Na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Secondari
      • Maji
      • Mifugo Na Uvuvi
      • Ardhi Na Maliasili
      • Maendeleo Ya Jamii Na Ustawi Wa Jamii
      • Ujenzi Na Zimamoto
      • Kilimo,Umwagiliaji Na Ushirika
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi Wa Ndani
      • Habari Na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kiutalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
      • Kuonana na Mhe.Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayotarajiwa Kufanywa
    • Miradi Inayoendelea Kufanywa
    • New Planned Project
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Other Fomu
    • MpangoKazi
    • Baraza-Madiwani
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

"Maendeleo ya watu huletwa na watu wenyewe wa eneo husika"-DC

Posted on: September 14th, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Buhigwe, Luteni Kanal. Michael Masala Ngayalina. Amefanya ziara yake ya kwanza katika kutekeleza na kusikiliza kero za wananchi katika ngazi za Kata na Vijiji. Katika ziara hii alizungumzi maendelo ya wananchi katika nyanja mbali mbali. Alizungumzia huduma bora kwa wananchi wa kata ya Munzeze. Miongoni mwa maendeleo hayo ni pamoja na huduma bora kwa wananchi upande wa maji safi na salama, Afya kwa mama na mtoto, Huduma ya afya kwa wazee wenye umri wa miaka 60. Barabara pamoja Bima ya afya. Kwakutambulisha Kuku wawili matibabu ya afya kwa mwaka mzima na kwa familia yako na kutibiwa hadi kwenye ngazi ya mkoa.

"Hakikia ziara hii imetia moyo juu wa watu wengi walio itikia katika ziara hii yangu ya kwanza katika kata yenu, naomba niwaambie kuwa maaendeleo ya eneo husika huletwa na watu wa eneo husika, namimi naona kuwa mpo tayari kwaaji ya maendeleo yenu. Niwapongeze kwa hilo"

Katika ziara hiyo, Mhe. Mkuu wa Wilaya aliongozana na wakuu wa idara/ Vitengo kwaajili ya kujibu hoja mbali mbali. Miongoni mwa hoja zilikuwa pamoja na migogoro ya ardhi. ambapo mwanasheria wa Halmshauri pamoja na  mpima ardhi wa Halmashauri walifafanua na kutoa utatibu wa kufanikwa kufikia muafaka wa migogo hiyo.


Mhe. Mkuu wa Wilaya, pia laifanikiwa kufanya ziara katika kituo cha afya Janda ambacho kipo katika kata ya Janda, nakuagiza kituo hicho kinatakiwa kuisha ndani ya mwezi wa kumi mwaka huu.

"Mkanga mkuu kwa kushirikiana na Afisa Manunuzi na Dmo hakikisheni jengo hili linakamilika kwa wakati tuliio kubaliana, ili hudma hii tunayoitarajia tuipate kwa wananchi wetu".


Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI - 04.07.2023 June 23, 2023
  • KILA KHERI DARASA LA SABA September 12, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA - OKTOBA 2023 October 09, 2023
  • TANZIA February 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DED BUHIGWE ATEMBELEA VITUO VYA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA.

    May 05, 2025
  • MATOKEO 2024 WALIMU NA WANAFUNZI WAPONGEZWA.

    April 17, 2025
  • BABA ASKOFU EMMANUEL BWATA AITIKIA WITO WA MKURUGENZI BUHIGWE.

    April 14, 2025
  • SHEREHE YA KUWAAGA WATUMISHI NA KUWAKARIBISHA WATUMISHI BUHIGWE YAFANA.

    April 13, 2025
  • Angalia zote

Video

Hospitali ya Wilaya ya Buhigwe kuanza kutoa huduma za Afya
Video Zaidi

Kurasa Za Karibu

  • Kuhamisha Mwanafunzi
  • Tovuti ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep Documentation
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • Wahe. Madiwani
  • BEMIS

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bunge La Tanzania
  • Ikulu
  • Bodi Ya Manunuzi na Ugavi
  • Wizara ya Ardhi
  • Wizara ya Elimu, Sayansi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Mji Mpya wa Bwega-Ofisi za Mkurugenzi

    Postal Address: P.O.Box 443 Buhigwe

    Simu Ya Mezani: 0282988460

    Simu ya mkononi: (+255) 782 500 333

    Barua Pepe: ded@buhigwedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Mwanzo

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Buhigwe. Haki zote zimehifadhiwa