• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za ofisi |
Buhigwe District Council
Buhigwe District Council

Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi Mkuu
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo Wa Utawala
    • Idara
      • Utawala Na Utumishi
      • Mipango, Takwimu Na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha Na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Secondari
      • Maji
      • Mifugo Na Uvuvi
      • Ardhi Na Maliasili
      • Maendeleo Ya Jamii Na Ustawi Wa Jamii
      • Ujenzi Na Zimamoto
      • Kilimo,Umwagiliaji Na Ushirika
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi Wa Ndani
      • Habari Na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kiutalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
      • Kuonana na Mhe.Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayotarajiwa Kufanywa
    • Miradi Inayoendelea Kufanywa
    • New Planned Project
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Other Fomu
    • MpangoKazi
    • Baraza-Madiwani
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

MAAFISA USTAWI WA JAMII WAKATAZWA KUSULUHISHA KESI YOYOTE YA UBAKAJI.

Posted on: August 1st, 2024

Akizungumza Mwakilishi wa katibu tawala mkoa na msimamizi wa Serikali za mitaa Bi Dorothea Lugwangara katika kikao jumuishi cha Ziara ya Wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa Mwanamke na Mtoto(MTAKUWWA)ngazi ya Mkoa kufuatilia utekelezaji wa Mpango kazi wa Taifa wa kutokomeza Vitendo vya Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto katika Halmashauri ya Wilaya Buhigwe.

Alielekeza kuwa, kesi zote zinazofika ofisi za Ustawi wa Jamii na madawati ya jinsia yanayohusu matukio ya ubakaji hayatakiwi kusuluhishwa kwa namna yoyote.

Naye polisi kitengo cha dawati la jinsia na watoto ngazi mkoa Inspekta Michael Mjema ameipongeza ofisi ya Ustawi wa Jamii,Dawati la Jinsia Wilaya ya Buhigwe kwa taarifa iliyotolewa pamoja na utendaji  kazi wao mzuri na ushirikiano uliopo baina yao.

“Niwapongeze kwa kazi mnazozifanya ambazo ni kubwa na nzuri pamoja na ushirikiano mzuri uliopo baina yenu ambao unawawezesha kutimiza wajibu na pia msife moyo katika kuwasaidia wananchi”Alisisitiza Mjema.

Katika taarifa iliyotolewa na Clement Ndangika Afisa ustawi wa jamii Wilaya ya Buhigwe alisema kuwa Halmashauri ya Wilaya Buhigwe ni miongoni mwa Halmashauri nane za mkoa wa Kigoma zinazosimamia na kutekeleza viashiria vya ulinzi na usalama wa mwanamke na mtoto dhidi ya vitendo vya ukatili.

Aidha alielezea juu ya uwepo wa vitendo vya ukatili na kisha kuongeza kuwa,eneo la kukemea ukatili lapaswa kuwa la kila mmoja katika jamii ili kuhakikisha tunazuia isitokee lakini pia ikitokea tutoe taarifa mapema ili kumtia hatiani mtenda na kumsaidia manusura wa ukatili kupata huduma (mfano,dawa kinga) na msaada wa kisaikolojia kabla ya madhara makubwa yanayoweza kujitokeza baada ya tukio

Na kuongezea kuwa Utekelezaji huo ni sehemu ya mpango kazi wa Taifa wa kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na watoto (MTAKUWWA) wa mwaka 2017/2018-2021/2022.

Naye Honorina Herman (Familia ya kuaminika)  alisema kuwa ana upendo wa dhati kwa watoto wote na hiyo ndiyo sababu ya yeye kujitolea kuwahudumia watoto ambao wametendewa vitendo vya ukatili wa kijinsia.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI - 04.07.2023 June 23, 2023
  • KILA KHERI DARASA LA SABA September 12, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA - OKTOBA 2023 October 09, 2023
  • TANZIA February 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • BUHIGWE DC YAPATA HATI SAFI KWA MIAKA 4 MFULULIZO.

    June 20, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI.

    June 12, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE

    June 12, 2025
  • RASMI ZOEZI LA UGAWAJI VYANDARUA LAZINDULIWA BUHIGWE.

    June 10, 2025
  • Angalia zote

Video

Hospitali ya Wilaya ya Buhigwe kuanza kutoa huduma za Afya
Video Zaidi

Kurasa Za Karibu

  • Kuhamisha Mwanafunzi
  • Tovuti ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep Documentation
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • Wahe. Madiwani
  • BEMIS

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bunge La Tanzania
  • Ikulu
  • Bodi Ya Manunuzi na Ugavi
  • Wizara ya Ardhi
  • Wizara ya Elimu, Sayansi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Mji Mpya wa Bwega-Ofisi za Mkurugenzi

    Postal Address: P.O.Box 443 Buhigwe

    Simu Ya Mezani: 0282988460

    Simu ya mkononi: (+255) 782 500 333

    Barua Pepe: ded@buhigwedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Mwanzo

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Buhigwe. Haki zote zimehifadhiwa