• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za ofisi |
Buhigwe District Council
Buhigwe District Council

Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi Mkuu
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo Wa Utawala
    • Idara
      • Utawala Na Utumishi
      • Mipango, Takwimu Na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha Na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Secondari
      • Maji
      • Mifugo Na Uvuvi
      • Ardhi Na Maliasili
      • Maendeleo Ya Jamii Na Ustawi Wa Jamii
      • Ujenzi Na Zimamoto
      • Kilimo,Umwagiliaji Na Ushirika
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi Wa Ndani
      • Habari Na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kiutalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
      • Kuonana na Mhe.Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayotarajiwa Kufanywa
    • Miradi Inayoendelea Kufanywa
    • New Planned Project
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Other Fomu
    • MpangoKazi
    • Baraza-Madiwani
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Maafisa Ugani wakabidhiwa Pikipiki

Posted on: December 5th, 2018

Maafisa Ugani kutoka kata za Kibwigwa, Mugera, Biharu, Muyama na Munyegera Wilayani Buhigwe wameaswa kutumia Pikipiki hizo kwa ajili ya kuwasaidia Wananchi ili kuinua sekta ya kilimo kwa kutoa elimu kwa vitendo juu ya kilimo cha kisasa, hivyo wametakiwa kutumia Pikipiki hizo kwa weledi mkubwa, kwa kuzingatia sheria za barabarani na kuleta matokeo chanya kwa wakulima katika kata zao.

Mkuu wa Wilaya ya Buhigwe Mhe. Luteni Canal Michael Masala Ngayalina amesema hayo leo katika zoezi la ugawaji wa pikipiki lililofanyika mbele ya Ofisi yake ambapo amewataka maafisa ugani hao kutumia pikipiki hizo kwa malengo yaliyokusudiwa na si vinginevyo.

“Nawataka mtambue kuwa nyie ndio mabalozi wa Kilimo katika kata zenu, na balozi mzuri ni yule anayezingatia weledi na kutimiza wajibu wake kwa kufuata misingi ya Sheria, Kanuni na Taratibu akitambua yeye ni kioo cha wale anaowahudumia. Ukiona wewe huwezi kutimiza wajibu wako kwa kufuata maadili basi serikalini sio sehemu sahihi kwako ni vyema ukatafuta pahali pengine” alisema Ngayalina.

Ngayalina aliongeza kuwa utofauti wao na watu wengine uonekane katika maadili yao ya kiutendaji ikiwemo uwajibikaji, kujali muda, kuwasaidia wananchi, kuanzisha shamba darasa, ,ubunifu, kuwasikiliza wakulima na kuheshimu Sheria ili wale wanaowahudumia watamani kufanya kazi ya kilimo.

Kwa upande wao maafisa ugani hao waliishukuru msaada huo wa kupatiwa usafiri kuweza kuwafikia wakulima mara kwa mara jambo linalochangia kutoa nafasi ya kujadili changamoto zilizopo na kuzipatia ufumbuzi wa pamoja ili kuendelea kutoa huduma bora kwa wadau wa kilimo na kwa manufaa ya Taifa.

“Kwa kweli mimi binafsi nimefaidika na mambo mengi ambayo Mhe. Mkuu wa Wilaya ametuasa katika hafla hii ambapo naamini mimi na wenzangu tutaendelea kujituma kwa kuzingatia misingi katika utendaji wetu, hasa kwa kuanzisha mashamba darasa maana ni kama ulivyosema sekta ya kilimo inatoa huduma na elimu kwani wakulima wengi tunaowahudumia ni vijana na wazee wanaotuangalia utendaji wetu, endapo tutafanya kinyume cha maadili yetu hata wao watakosa maadili na ari ya kufanya shughuli za kilimo” alichangia mmoja wa maafisa ugani.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI - 04.07.2023 June 23, 2023
  • KILA KHERI DARASA LA SABA September 12, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA - OKTOBA 2023 October 09, 2023
  • TANZIA February 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DED BUHIGWE ATEMBELEA VITUO VYA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA.

    May 05, 2025
  • MATOKEO 2024 WALIMU NA WANAFUNZI WAPONGEZWA.

    April 17, 2025
  • BABA ASKOFU EMMANUEL BWATA AITIKIA WITO WA MKURUGENZI BUHIGWE.

    April 14, 2025
  • SHEREHE YA KUWAAGA WATUMISHI NA KUWAKARIBISHA WATUMISHI BUHIGWE YAFANA.

    April 13, 2025
  • Angalia zote

Video

Hospitali ya Wilaya ya Buhigwe kuanza kutoa huduma za Afya
Video Zaidi

Kurasa Za Karibu

  • Kuhamisha Mwanafunzi
  • Tovuti ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep Documentation
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • Wahe. Madiwani
  • BEMIS

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bunge La Tanzania
  • Ikulu
  • Bodi Ya Manunuzi na Ugavi
  • Wizara ya Ardhi
  • Wizara ya Elimu, Sayansi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Mji Mpya wa Bwega-Ofisi za Mkurugenzi

    Postal Address: P.O.Box 443 Buhigwe

    Simu Ya Mezani: 0282988460

    Simu ya mkononi: (+255) 782 500 333

    Barua Pepe: ded@buhigwedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Mwanzo

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Buhigwe. Haki zote zimehifadhiwa