• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za ofisi |
Buhigwe District Council
Buhigwe District Council

Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi Mkuu
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo Wa Utawala
    • Idara
      • Utawala Na Utumishi
      • Mipango, Takwimu Na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha Na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Secondari
      • Maji
      • Mifugo Na Uvuvi
      • Ardhi Na Maliasili
      • Maendeleo Ya Jamii Na Ustawi Wa Jamii
      • Ujenzi Na Zimamoto
      • Kilimo,Umwagiliaji Na Ushirika
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi Wa Ndani
      • Habari Na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kiutalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
      • Kuonana na Mhe.Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayotarajiwa Kufanywa
    • Miradi Inayoendelea Kufanywa
    • New Planned Project
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Other Fomu
    • MpangoKazi
    • Baraza-Madiwani
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

MAADHIMISHO YA SIKU YA LISHE BUHIGWE YAFANA.

Posted on: November 1st, 2024


Katika kuadhimisha siku ya lishe kitaifa Wananchi wa Wilaya ya Buhigwe wamesisitizwa kutumia Vyakula vyote mchanganyiko kutoka makundi sita ya vyakula kwa ajili ya kudumisha Afya zao.

Hayo yamesemwa na Mh Mkuu wa Wilaya ya Buhigwe,Kanali Michael Ngayalina wakati akizungumza katika maadhimisho ya siku ya Lishe kitaifa ambayo kwa ngazi ya Wilaya yamefanyika katika kijiji cha Kibuye kata ya Bukuba.

Aidha ameongezea kwa kusema kuwa suala la lishe ni la watu wote na kuwasisitiza Wazazi na Walezi kuchangia chakula kwa ajili ya watoto kupata chakula wanapokuwa mashuleni na kuwaasa Wananchi kujitokeza kwa wingi kushiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa kwenda vituoni kupiga Kura mnamo tarehe 27 Novemba 2024.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe amesema kuwa shughuli za maadhimisho hayo ni kwa ajili ya kutoa Elimu na kuhamasisha suala la Lishe kwa maslahi mapana ya Wilaya na nchi kwa Ujumla na kutumia Elimu hiyo iliyotolewa na Wataalamu kwa ajili ya kuboresha afya za watoto wao na familia kwa ujumla.

Kwa upande wake Mganga Mkuu wa Wilaya ya Buhigwe Dkt Innocent Mhagama amesema kuwa Elimu ya Lishe inatolewa kwa njia mbalimbali katika jamii ikiwemo kupitia vituo vya kutolea huduma za Afya lakini pia kupitia watoa huduma kwa ngazi ya jamii.

Kwa mwaka wa 2024 Maadhimisho hayo yamebeba kauli mbiu inayosema “Mchongo ni Afya yako,Zingatia unachokula” na kwa Wilaya ya Buhigwe yameadhimishwa kwa shughuli mbalimbali ikiwemo Elimu ya Afya,utoaji wa Matone ya Vitamin A,jiko darasa la mafunzo ya kuandaa chakula bora cha watoto kwa kutumia vyakula vinavyopatikana katika maeneo ya Buhigwe,huduma za Uzazi wa mpango,Malaria na Upimaji wa hali ya lishe na Pia watoto walipata nafasi ya kulishwa chakula hicho ambacho walikifurahia sana.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI - 04.07.2023 June 23, 2023
  • KILA KHERI DARASA LA SABA September 12, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA - OKTOBA 2023 October 09, 2023
  • TANZIA February 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DED BUHIGWE ATEMBELEA VITUO VYA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA.

    May 05, 2025
  • MATOKEO 2024 WALIMU NA WANAFUNZI WAPONGEZWA.

    April 17, 2025
  • BABA ASKOFU EMMANUEL BWATA AITIKIA WITO WA MKURUGENZI BUHIGWE.

    April 14, 2025
  • SHEREHE YA KUWAAGA WATUMISHI NA KUWAKARIBISHA WATUMISHI BUHIGWE YAFANA.

    April 13, 2025
  • Angalia zote

Video

Hospitali ya Wilaya ya Buhigwe kuanza kutoa huduma za Afya
Video Zaidi

Kurasa Za Karibu

  • Kuhamisha Mwanafunzi
  • Tovuti ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep Documentation
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • Wahe. Madiwani
  • BEMIS

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bunge La Tanzania
  • Ikulu
  • Bodi Ya Manunuzi na Ugavi
  • Wizara ya Ardhi
  • Wizara ya Elimu, Sayansi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Mji Mpya wa Bwega-Ofisi za Mkurugenzi

    Postal Address: P.O.Box 443 Buhigwe

    Simu Ya Mezani: 0282988460

    Simu ya mkononi: (+255) 782 500 333

    Barua Pepe: ded@buhigwedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Mwanzo

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Buhigwe. Haki zote zimehifadhiwa