• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za ofisi |
Buhigwe District Council
Buhigwe District Council

Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi Mkuu
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo Wa Utawala
    • Idara
      • Utawala Na Utumishi
      • Mipango, Takwimu Na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha Na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Secondari
      • Maji
      • Mifugo Na Uvuvi
      • Ardhi Na Maliasili
      • Maendeleo Ya Jamii Na Ustawi Wa Jamii
      • Ujenzi Na Zimamoto
      • Kilimo,Umwagiliaji Na Ushirika
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi Wa Ndani
      • Habari Na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kiutalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
      • Kuonana na Mhe.Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayotarajiwa Kufanywa
    • Miradi Inayoendelea Kufanywa
    • New Planned Project
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Other Fomu
    • MpangoKazi
    • Baraza-Madiwani
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

DED Nyamoga azindua Mnada wa Mifugo, Bidhaa za viwandani na mashambani-BUHIGWE

Posted on: March 10th, 2021

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Buhigwe Anosta Lazaro Nyamoga amezindua rasmi mnada wa mifugo, bidhaa za viwandani na mashambani wilayani Buhigwe.

Uzinduzi huo umefanyika leo Jumatano 10-03-2021 katika kijiji cha Kavomo kilichopo kata ya Buhigwe mkoani Kigoma barabara ya Kasulu-Munanila.

Nyamoga amesema lengo la Serikali ni kuhakikisha wakulima, wafugaji na wafanyabiashara  wanalipwa fedha  na kuuza mifugo na mazao yao kwa bei nzuri hivyo anaamini Mnada  huo utasaidia wakulima na wafugaji kuuza bidhaa zao kwa bei elekezi. Hivyo nawaasa 

   -Wananchi kujituma katika kufanya kazi kwa bidii siku zote ili kujiletea maendeleo ya mtu binafsi, kaya na Taifa kwa ujumla

   - Kila mfanyabiashara kutumia busara katika kufanya biashara hapa mnadani bila kuanzisha tabia mbaya za vurugu, wizi navingine vinavyofanana na hivi ili kuinua hali ya kibiashara ambayo itatunufaisha sisi sote.

  - Kila mtu aliyefika hapa leo awe mwakilishi mzuri wa kuutangaza mnada huu ndani na nje ya Wilaya ya Buhigwe ili uendelee kukua.


Mnada utakuwa unafanyika kila Jumatano ya wiki na bidhaa mbalimbali zitauzwa na kununuliwa; Mifugo (Ng'ombe, Mbuzi, Kondoo, Kanga, Kuku wa kienyeji wapo kwa wingi), mazao (Michikichi, Mahindi, Alizeti, Mbaazi, Mtama na Ulezi), Matunda,  bidhaa mbalimbali za madukani zinapatikana  kwa uhalisia wa gharama utakayoimudu.

Kwa kuhitimisha Nyamoga alisema lengo la kuwepo kwa mnada huo ni pamoja na;


kuongeza wigo wa eneo la watu wengi kuweza kufanya biashara,
Kuweka msingi wa kuimarisha masoko ya uchumi wa viwanda utakaokuwa na bidhaa nyingi.


Faida za Kuwepo kwa Mnada huu
Kuongeza ajira katika jamii yetu kupitia kushiriki katika biashara na utoaji huduma mbalimbali,
Kuongeza kipato cha mtu mmoja mmoja na familia kwa ujumla.
Kurahisisha upatikanaji wa vyakula na huduma zingine muhimu.

Kwa ujumla wake yote haya husababisha mwananchi kujikwamua kutoka kwenye wimbi la umasikini na kujiongezea kipato


                                              Nyama choma ya Mbuzi mnadani


                           Biashara ya nguo katika mnada wa Buhigwe


                                         Vyombo mbalimbali kwa matumizi ya nyumbani

 Karibu Buhigwe, karibu Mnada Mpya wa Buhigwe kila Jumatano ya wiki.

Imetolewa na; 

Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA)

Buhigwe.


Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI - 04.07.2023 June 23, 2023
  • KILA KHERI DARASA LA SABA September 12, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA - OKTOBA 2023 October 09, 2023
  • TANZIA February 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DED BUHIGWE ATEMBELEA VITUO VYA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA.

    May 05, 2025
  • MATOKEO 2024 WALIMU NA WANAFUNZI WAPONGEZWA.

    April 17, 2025
  • BABA ASKOFU EMMANUEL BWATA AITIKIA WITO WA MKURUGENZI BUHIGWE.

    April 14, 2025
  • SHEREHE YA KUWAAGA WATUMISHI NA KUWAKARIBISHA WATUMISHI BUHIGWE YAFANA.

    April 13, 2025
  • Angalia zote

Video

Hospitali ya Wilaya ya Buhigwe kuanza kutoa huduma za Afya
Video Zaidi

Kurasa Za Karibu

  • Kuhamisha Mwanafunzi
  • Tovuti ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep Documentation
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • Wahe. Madiwani
  • BEMIS

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bunge La Tanzania
  • Ikulu
  • Bodi Ya Manunuzi na Ugavi
  • Wizara ya Ardhi
  • Wizara ya Elimu, Sayansi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Mji Mpya wa Bwega-Ofisi za Mkurugenzi

    Postal Address: P.O.Box 443 Buhigwe

    Simu Ya Mezani: 0282988460

    Simu ya mkononi: (+255) 782 500 333

    Barua Pepe: ded@buhigwedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Mwanzo

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Buhigwe. Haki zote zimehifadhiwa