• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za ofisi |
Buhigwe District Council
Buhigwe District Council

Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi Mkuu
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo Wa Utawala
    • Idara
      • Utawala Na Utumishi
      • Mipango, Takwimu Na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha Na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Secondari
      • Maji
      • Mifugo Na Uvuvi
      • Ardhi Na Maliasili
      • Maendeleo Ya Jamii Na Ustawi Wa Jamii
      • Ujenzi Na Zimamoto
      • Kilimo,Umwagiliaji Na Ushirika
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi Wa Ndani
      • Habari Na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kiutalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
      • Kuonana na Mhe.Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayotarajiwa Kufanywa
    • Miradi Inayoendelea Kufanywa
    • New Planned Project
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Other Fomu
    • MpangoKazi
    • Baraza-Madiwani
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

DC NGAYALINA AKABIDHI PIKIPIKI 5 KWA VIJANA WAJASIRIAMALI BUHIGWE

Posted on: May 16th, 2022

Mhe. Kanali Michael Masala Ngayalina, Mkuu wa wilaya ya Buhigwe amekabidhi leo jumla ya pikipiki 5 zenye dhamani ya Tsh 12,500,000 kwa vijana wajasiriamali wa kikundi cha Tuyajenge kinachofanya shughuli zake kwenye Kata ya Buhigwe Wilayani Buhigwe.

Kabla ya shughuli ya kuwakabidhi pikipiki hizo alipokea Taarifa kutoka kwa Afisa Maendeleo ya Jamii Wilayani humo, Ndg. Christopher Kajange ambaye alieleza kuwa Halmashauri hiyo ilitenga Jumla ya Tsh 64,858,000 kwa ajili ya Vikundi vya Vijana, wanawake na watu wenye ulemavu kwa mwaka wa Fedha 2021/2022 ambazo zote zimekwishakutolewa.

Katika taarifa hiyo ilieleza kuwa kwa mwaka wa Fedha 2021/2022 Jumla ya Kiasi cha Tsh. 111,850,000 zimekopeshwa kwenye Vikundi 18 vya Wanawake, Vijana na watu wenye ulemavu wilayani humo.

Baada ya kupokea taarifa hiyo DC Ngayalina alimpongeza Ndg. Essau Hosiana Ngoloka, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri na menejimenti yake kwa kusimamia kikamilifu utoaji wa mikopo hiyo na kuwafikia walengwa na kwa wakati:

  • Awasisitiza wajasiriamali kurejesha mikopo kwa wakati ili wengine wanufaike na mikopo hiyo
  • Awataka kutumia mikopo hiyo kwa lengo waliloombea.
  • Ameongeza kuwa mikopo hiyo ni Daraja la maendeleo hivyo ikitumika vyema italeta mabadiliko makubwa ya kimaendeleo kwenye jamii.
  • Awataka maafisa Maendeleo ya Jamii kufuatilia urejeshwaji wa mikopo ili mtaji wa mikopo wa Halmashauri ukue.
  • Amewataka vijana hao kufanya kazi kwa bidii kupitia mafunzo ya ujasiriamali waliyopata ili kujiongezea kipato.
  • Agushwa na kijana Chiza aliyeimba wimbo wa kupongeza Halmashauri na Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kazi nzuri ya kuwajali na kuwafikishia mikopo, Aahidi kumpa ‘support’ kwenye fani yake.
  • Awataka kuendesha pikipiki hizo kwa  kufuata sheria za usalama barabarani.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI - 04.07.2023 June 23, 2023
  • KILA KHERI DARASA LA SABA September 12, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA - OKTOBA 2023 October 09, 2023
  • TANZIA February 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DED BUHIGWE ATEMBELEA VITUO VYA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA.

    May 05, 2025
  • MATOKEO 2024 WALIMU NA WANAFUNZI WAPONGEZWA.

    April 17, 2025
  • BABA ASKOFU EMMANUEL BWATA AITIKIA WITO WA MKURUGENZI BUHIGWE.

    April 14, 2025
  • SHEREHE YA KUWAAGA WATUMISHI NA KUWAKARIBISHA WATUMISHI BUHIGWE YAFANA.

    April 13, 2025
  • Angalia zote

Video

Hospitali ya Wilaya ya Buhigwe kuanza kutoa huduma za Afya
Video Zaidi

Kurasa Za Karibu

  • Kuhamisha Mwanafunzi
  • Tovuti ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep Documentation
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • Wahe. Madiwani
  • BEMIS

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bunge La Tanzania
  • Ikulu
  • Bodi Ya Manunuzi na Ugavi
  • Wizara ya Ardhi
  • Wizara ya Elimu, Sayansi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Mji Mpya wa Bwega-Ofisi za Mkurugenzi

    Postal Address: P.O.Box 443 Buhigwe

    Simu Ya Mezani: 0282988460

    Simu ya mkononi: (+255) 782 500 333

    Barua Pepe: ded@buhigwedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Mwanzo

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Buhigwe. Haki zote zimehifadhiwa