• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za ofisi |
Buhigwe District Council
Buhigwe District Council

Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi Mkuu
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo Wa Utawala
    • Idara
      • Utawala Na Utumishi
      • Mipango, Takwimu Na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha Na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Secondari
      • Maji
      • Mifugo Na Uvuvi
      • Ardhi Na Maliasili
      • Maendeleo Ya Jamii Na Ustawi Wa Jamii
      • Ujenzi Na Zimamoto
      • Kilimo,Umwagiliaji Na Ushirika
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi Wa Ndani
      • Habari Na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kiutalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
      • Kuonana na Mhe.Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayotarajiwa Kufanywa
    • Miradi Inayoendelea Kufanywa
    • New Planned Project
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Other Fomu
    • MpangoKazi
    • Baraza-Madiwani
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

DC Buhigwe ashiriki ujenzi wa Zahanati-Kimara

Posted on: May 22nd, 2020

Mkuu wa Wilaya ya Buhigwe Mhe. Col. Michael Masala Ngayalina ameshiriki ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Kimara katika kata ya Kinazi wilayani humu na kuwapongeza wananchi kwa kuamua kujenga zahanati kwa nguvu zao wenyewe. Hayo yamefanyika mapema leo katika ziara yake ya kukagua miradi ya maendeleo, ambapo aliambatana na timu ya wataalam kutoka ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wilaya ya Buhigwe.

Akizungumza na wanachi wa Kata hiyo amesema" Maendeleo hayana chama hivyo nawaagiza kufanya kazi kwa ushirikiano kukamilisha ujenzi wa zahanati hii kwa wakati ilihuduma za matibabu zianze kutolewa kwa wananchi, yoyote atakayekaidi atachukuliwa hatua za kisheria". 

Aidha akijibu risala iliyosomwa na Mtendaji wa kijiji  Bi Paula Mbehoma, Mhe Mkuu wa Wilaya akishirikiana na timu ya wataalam kutoka ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wametoa shilingi 1,500,000/= ikiwa ni kuwaongezea nguvu wanachi hao, pia ameahidi kwamba yuko tayari yeye na timu yake kutoa mchango wa hali na mali kwa ajili ya kufanikisha ujenzi huo.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe Ndg. Anosta L. Nyamoga amewapongeza watendaji wa vijiji vyote viwili vilivyoko kwenye kata hiyo pamoja na viongozi wengine kwa jitihada zao na weledi katika utendaji wa kazi.

Mwisho Mganga Mkuu wa wilaya ya Buhigwe Dkt. Julius Nyasongo amesema eneo inapojengwa zahanati ni kubwa na linatosha kujengwa kituo cha Afya  au Hospitali, hivyo nawaombeni wananchi msifikirie zahanati bali kituo cha afya au hospitali.

Hitimisho lilikuwa kwa Katibu wa Mbunge wa Jimbo la Buhigwe Mhe. Albert Ntabaliba Obama ambapo alisema Ofisi yake inatoa mchango wa bundle 5 za bati kwa ajili ya kuezeka zahanati hiyo, naye  Diwani wa kata ya Kinazi Mhe. Yusufu D. Degede ametoa shilingi 50,000/=.

Zahanati ya Kimara itahudumia vijiji vinne ambavyo ni Kinazi, Kimara, Mpungwe, na Nyanzozi.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI - 04.07.2023 June 23, 2023
  • KILA KHERI DARASA LA SABA September 12, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA - OKTOBA 2023 October 09, 2023
  • TANZIA February 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DED BUHIGWE ATEMBELEA VITUO VYA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA.

    May 05, 2025
  • MATOKEO 2024 WALIMU NA WANAFUNZI WAPONGEZWA.

    April 17, 2025
  • BABA ASKOFU EMMANUEL BWATA AITIKIA WITO WA MKURUGENZI BUHIGWE.

    April 14, 2025
  • SHEREHE YA KUWAAGA WATUMISHI NA KUWAKARIBISHA WATUMISHI BUHIGWE YAFANA.

    April 13, 2025
  • Angalia zote

Video

Hospitali ya Wilaya ya Buhigwe kuanza kutoa huduma za Afya
Video Zaidi

Kurasa Za Karibu

  • Kuhamisha Mwanafunzi
  • Tovuti ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep Documentation
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • Wahe. Madiwani
  • BEMIS

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bunge La Tanzania
  • Ikulu
  • Bodi Ya Manunuzi na Ugavi
  • Wizara ya Ardhi
  • Wizara ya Elimu, Sayansi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Mji Mpya wa Bwega-Ofisi za Mkurugenzi

    Postal Address: P.O.Box 443 Buhigwe

    Simu Ya Mezani: 0282988460

    Simu ya mkononi: (+255) 782 500 333

    Barua Pepe: ded@buhigwedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Mwanzo

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Buhigwe. Haki zote zimehifadhiwa