• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za ofisi |
Buhigwe District Council
Buhigwe District Council

Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi Mkuu
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo Wa Utawala
    • Idara
      • Utawala Na Utumishi
      • Mipango, Takwimu Na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha Na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Secondari
      • Maji
      • Mifugo Na Uvuvi
      • Ardhi Na Maliasili
      • Maendeleo Ya Jamii Na Ustawi Wa Jamii
      • Ujenzi Na Zimamoto
      • Kilimo,Umwagiliaji Na Ushirika
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi Wa Ndani
      • Habari Na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kiutalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
      • Kuonana na Mhe.Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayotarajiwa Kufanywa
    • Miradi Inayoendelea Kufanywa
    • New Planned Project
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Other Fomu
    • MpangoKazi
    • Baraza-Madiwani
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

DC BUHIGWE AMEWATAKA WANANCHI KUTUMIA VIZURI FURSA YA SGR.

Posted on: March 22nd, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Buhigwe Kanali Michael Ngayalina amewataka Wananchi Wilaya ya Buhigwe kutumia fursa vizuri ya ujenzi wa mradi wa reli ya kisasa inayotoka Uvinza mpaka Musongati Burundi kupitia vijiji vya Katundu na Kilelema kujinufaisha kiuchumi.

Ameyasema hayo katika mkutano alioufanya na Wananchi wa Kijijji cha Katund,Kilelema na maeneo ya jirani kikihusisha Wataalamu mbalimbali kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe,Wataalamu kutoka Shirika la reli Tanzania na Wakandarasi wanaosimamia ujenzi wa reli hiyo.

Aidha ameishukuru Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ikiongozwa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassani kwa maendeleo mbalimbali katika Wilaya ya Buhigwe na Nchi kwa ujumla ikiwemo ujenzi wa reli ya Kisasa itakayopunguza umbali wa kutoka Kigoma kwenda mikoa mingine kama Dodoma na Dar es salaam.

Kwa upande wake msimamizi wa mradi huo wa reli Mhandisi Mwita amesema kuwa mradi ni wa miaka sita hivyo Wananchi wa maeneo hayo na ya jirani kutumia fursa mbalimbali za ajira zitakazojitokeza ili kuwanufaisha wao kama Walengwa wa mradi huo.

Sambamba na hilo amewasihi Wananchi kutokubali kurubuniwa kwa kutoa rushwa au kwa njia yoyote kwa madai ya kupewa ajira.

Mr Joh ni mkandarasi wa mradi huo,kwa upande wake amesema mradi huo utahusisha ajira kwa wazawa kwa asilimia 70 hivyo kuomba kupewa ushirikiano na Wananchi hao.

Sarah Chiza na Juma Kakozi wao ni Wananchi wa kijiji cha Katundu na Kilelema wamesema wamefurahia sana kuja kwa mradi huo wa ujenzi ambao unaenda kuwa chachu ya maendeleo katika kijiji chao na Wilaya kwa ujumla na kumaliza tatizo la ukosefu wa ajira kwa miaka sita.

Wakati huo huo Mkuu wa Wilaya ya Buhigwe amekabidhi mifuko 20 ya simenti aliyoahidi kwa ajili ya ukarabati wa ofisi ya Serikali ya Kijiji iliyojengwa kwa nguvu za Wananchi.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI - 04.07.2023 June 23, 2023
  • KILA KHERI DARASA LA SABA September 12, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA - OKTOBA 2023 October 09, 2023
  • TANZIA February 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DED BUHIGWE ATEMBELEA VITUO VYA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA.

    May 05, 2025
  • MATOKEO 2024 WALIMU NA WANAFUNZI WAPONGEZWA.

    April 17, 2025
  • BABA ASKOFU EMMANUEL BWATA AITIKIA WITO WA MKURUGENZI BUHIGWE.

    April 14, 2025
  • SHEREHE YA KUWAAGA WATUMISHI NA KUWAKARIBISHA WATUMISHI BUHIGWE YAFANA.

    April 13, 2025
  • Angalia zote

Video

Hospitali ya Wilaya ya Buhigwe kuanza kutoa huduma za Afya
Video Zaidi

Kurasa Za Karibu

  • Kuhamisha Mwanafunzi
  • Tovuti ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep Documentation
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • Wahe. Madiwani
  • BEMIS

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bunge La Tanzania
  • Ikulu
  • Bodi Ya Manunuzi na Ugavi
  • Wizara ya Ardhi
  • Wizara ya Elimu, Sayansi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Mji Mpya wa Bwega-Ofisi za Mkurugenzi

    Postal Address: P.O.Box 443 Buhigwe

    Simu Ya Mezani: 0282988460

    Simu ya mkononi: (+255) 782 500 333

    Barua Pepe: ded@buhigwedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Mwanzo

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Buhigwe. Haki zote zimehifadhiwa