• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za ofisi |
Buhigwe District Council
Buhigwe District Council

Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi Mkuu
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo Wa Utawala
    • Idara
      • Utawala Na Utumishi
      • Mipango, Takwimu Na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha Na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Secondari
      • Maji
      • Mifugo Na Uvuvi
      • Ardhi Na Maliasili
      • Maendeleo Ya Jamii Na Ustawi Wa Jamii
      • Ujenzi Na Zimamoto
      • Kilimo,Umwagiliaji Na Ushirika
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi Wa Ndani
      • Habari Na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kiutalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
      • Kuonana na Mhe.Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayotarajiwa Kufanywa
    • Miradi Inayoendelea Kufanywa
    • New Planned Project
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Other Fomu
    • MpangoKazi
    • Baraza-Madiwani
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

BUHIGWE YAJIVUNIA MIAKA 47 YA KUZALIWA KWA CHAMA CHA MAPINDUZI CCM

Posted on: February 5th, 2024

CHAMA Cha mapinduzi (CCM)Wilaya ya Buhigwe Mkoani Kigoma Kimeadhimisha maika 47 ya kuzaliwa kwa chama hicho huku kikijivunia mafanikio makubwa yaliyopatikana katika sekta mbali mbali za maendeleo ya kiuchumi na kijamii yanayoonekana kwa macho.

Pia kimeridhishwa na namna Ilani ya uchaguziya CCM 2020_2025 ilivyotekelezwa na serikali kuwa imeutendea haki Mkoa wa Kigoma kwa miradi ya maendeleo ya wananchi ikiwemo ya Kimkakati.

Kauli hiyo ilitolewa wilayani buhigwe na mwenyekiti wa CCM Wilaya Eng. Erneo Dyegula wakati akihutubia wananchi na wanachama wa chama hicho katika maadhimisho ya miaka 47 ya CCM Ngazi ya wilaya yaliyofanyika katika Kijiji Cha Nyakimue Kata ya Munanila tarafa ya Manyovu

Wakati maadhimisho hayo yakiendelea viongozi waliohudhuria walipata wasaa wa kusikiliza na kutatua kero mbali za wananchi walioshiriki maadhimisho hayo wilayani humo.

Akizungumzia uchaguzi wa serikali za mitaa amesema kazi kubwa kwa wana Buhigwe ni kuongeza idadi ya wanachama wakizingatia mtaji wa biashara ni faida ili kuongeza kipato na mtaji wa siasa ni wanachama,hivyo wajisajili katika daftari la kudumu la wapiga kura,kujenga uwezo wa watendaji na wanawake wajitokeze kugombea nafasi za uongozi.

 Naye Katibu wa chama hicho wilaya ya Buhigwe, Salum Hajj amesema miaka 47 bado chama cha mapinduzi  CCM kiko imara,kina mvuto na kitaendelea kuwa na mvuto kwa wananchi kutokana na kujipambanua kwa kazi nzuri zinazofanywa na kuleta maendeleo.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI - 04.07.2023 June 23, 2023
  • KILA KHERI DARASA LA SABA September 12, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA - OKTOBA 2023 October 09, 2023
  • TANZIA February 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DED BUHIGWE ATEMBELEA VITUO VYA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA.

    May 05, 2025
  • MATOKEO 2024 WALIMU NA WANAFUNZI WAPONGEZWA.

    April 17, 2025
  • BABA ASKOFU EMMANUEL BWATA AITIKIA WITO WA MKURUGENZI BUHIGWE.

    April 14, 2025
  • SHEREHE YA KUWAAGA WATUMISHI NA KUWAKARIBISHA WATUMISHI BUHIGWE YAFANA.

    April 13, 2025
  • Angalia zote

Video

Hospitali ya Wilaya ya Buhigwe kuanza kutoa huduma za Afya
Video Zaidi

Kurasa Za Karibu

  • Kuhamisha Mwanafunzi
  • Tovuti ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep Documentation
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • Wahe. Madiwani
  • BEMIS

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bunge La Tanzania
  • Ikulu
  • Bodi Ya Manunuzi na Ugavi
  • Wizara ya Ardhi
  • Wizara ya Elimu, Sayansi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Mji Mpya wa Bwega-Ofisi za Mkurugenzi

    Postal Address: P.O.Box 443 Buhigwe

    Simu Ya Mezani: 0282988460

    Simu ya mkononi: (+255) 782 500 333

    Barua Pepe: ded@buhigwedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Mwanzo

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Buhigwe. Haki zote zimehifadhiwa