• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za ofisi |
Buhigwe District Council
Buhigwe District Council

Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi Mkuu
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo Wa Utawala
    • Idara
      • Utawala Na Utumishi
      • Mipango, Takwimu Na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha Na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Secondari
      • Maji
      • Mifugo Na Uvuvi
      • Ardhi Na Maliasili
      • Maendeleo Ya Jamii Na Ustawi Wa Jamii
      • Ujenzi Na Zimamoto
      • Kilimo,Umwagiliaji Na Ushirika
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi Wa Ndani
      • Habari Na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kiutalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
      • Kuonana na Mhe.Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayotarajiwa Kufanywa
    • Miradi Inayoendelea Kufanywa
    • New Planned Project
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Other Fomu
    • MpangoKazi
    • Baraza-Madiwani
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

BUHIGWE YAANZA UJENZI VYUMBA 37 VYA MADARASA YA POCHI LA MAMA

Posted on: October 12th, 2022

Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe leo Oktoba 12, 2022 kupitia Mhe. Kanali Michael Ngayalina, Mkuu wa Wilaya ya Buhigwe amekiri  Halmashauri yake kupokea Tsh. 740,000,000 kwa ajili ya Ujenzi wa Vyumba 37 vya Madarasa. Pamoja na mapokezi hayo Mhe. Ngayalina amepozindua Rasmi ujenzi wa madarasa hayo 37 kwa wilaya nzima

Mapokezi na Uzinduzi huo umefanyika katika Shule ya Sekondari Buyenzi ambapo Viongozi wa Kisiasa, Wakuu wa Idara, Watendaji wa Kata na Vijiji pamoja na Waratibu Elimu Kata wameshiriki kusomba matofali kusogeza eneo shule hiyo inakojenga Madarasa matano miongoni mwa 37 yaliyoidhinishiwa pesa na Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

  • Pamoja na mengine amemshukuru Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Awataka watendaji kufanya kazi kwa kasi na kwa uadilifu
  • Aonya juu ya matumizi mabaya ya Fedha hizo
  • Ataka kazi yenye viwango na Ubora
  • Asisitiza kazi kukamilika kwa wakati

Akizungumza kwa upande wa Utendaji Ndg. Essau Hosiana Ngoloka, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe ameendelea kumshukuru Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa juhudi zake za kuona elimu inayotolewa inakuwa ni Bora.

Ndg Ngoloka alisisitiza kuwa kwa upande wa watendaji wamejipanga kuhakikisha kuwa zoezi hilo linakamilika kabla au ifikapo Novemba 25, mwaka huu ambapo ni siku 5 kabla ya Siku ya mwisho kwa ngazi ya Mkoa na siku 20 kabla ya siku ya mwisho kitaifa ambayo ni Desemba 15.

Mwaka jana Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe ilipokea Jumla ya Tsh 1,060,000 kwa ajili ya Vyumba 53 vya Madarasa ambavyo kwa kiasi kikubwa vimepunguza msongamano madarasani.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI - 04.07.2023 June 23, 2023
  • KILA KHERI DARASA LA SABA September 12, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA - OKTOBA 2023 October 09, 2023
  • TANZIA February 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • BUHIGWE DC YAPATA HATI SAFI KWA MIAKA 4 MFULULIZO.

    June 20, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI.

    June 12, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE

    June 12, 2025
  • RASMI ZOEZI LA UGAWAJI VYANDARUA LAZINDULIWA BUHIGWE.

    June 10, 2025
  • Angalia zote

Video

Hospitali ya Wilaya ya Buhigwe kuanza kutoa huduma za Afya
Video Zaidi

Kurasa Za Karibu

  • Kuhamisha Mwanafunzi
  • Tovuti ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep Documentation
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • Wahe. Madiwani
  • BEMIS

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bunge La Tanzania
  • Ikulu
  • Bodi Ya Manunuzi na Ugavi
  • Wizara ya Ardhi
  • Wizara ya Elimu, Sayansi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Mji Mpya wa Bwega-Ofisi za Mkurugenzi

    Postal Address: P.O.Box 443 Buhigwe

    Simu Ya Mezani: 0282988460

    Simu ya mkononi: (+255) 782 500 333

    Barua Pepe: ded@buhigwedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Mwanzo

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Buhigwe. Haki zote zimehifadhiwa