• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za ofisi |
Buhigwe District Council
Buhigwe District Council

Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi Mkuu
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo Wa Utawala
    • Idara
      • Utawala Na Utumishi
      • Mipango, Takwimu Na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha Na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Secondari
      • Maji
      • Mifugo Na Uvuvi
      • Ardhi Na Maliasili
      • Maendeleo Ya Jamii Na Ustawi Wa Jamii
      • Ujenzi Na Zimamoto
      • Kilimo,Umwagiliaji Na Ushirika
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi Wa Ndani
      • Habari Na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kiutalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
      • Kuonana na Mhe.Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayotarajiwa Kufanywa
    • Miradi Inayoendelea Kufanywa
    • New Planned Project
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Other Fomu
    • MpangoKazi
    • Baraza-Madiwani
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

BUHIGWE DC YAPATA HATI SAFI KWA MIAKA 4 MFULULIZO.

Posted on: June 20th, 2025

Kwa muda wa miaka minne mfululizo Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe iliopo katika mkoa wa Kigoma yafikia lengo la Mkoa kwa kupata hati safi na hoja saba pekee.

Akizungumza katika kikao maalum cha Baraza la Madiwani kupitia na kujadili hoja za CAG kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri Kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kanali Michael Ngayalina ambae ni Mkuu wa Wilaya ya Buhigwe amewapongeza viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe kwa kupata hati safi pamoja na hoja chache.

“Nimpongeze Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe Venance Kigwinya,Mkurugenzi Mtendaji Ndug George Emmanuel Mbilinyi,Wataalam wote na madiwani kwa usimamisi mzuri hadi kuwa na hoja chache ambayo inafikia lengo la mkoa la kuwa na hoja chache kwa idadi ya tarakimu moja”alisema Mh Kanali Michael

Kwa upande wake Katibu tawala Mkoa wa Kigoma Mhe.Hassani Rugwa amewapongeza kwa kuendelea kuvunja rekodi kwa kuwa na hati safi na kuendelea kuwa na hoja chache Zaidi kwa kila mwaka .

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe amemshukuru Katibu Tawala Mkoa wa Kigoma kwa uongozi mwema wenye mchango mzuri wa kuiendeleza Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe pamoja na Mkoa kwa ujumla.

Akisoma taarifa kwa niaba ya Mkurugenzi,Mkaguzi wa ndani wa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe Erasto Andrew amesema kuwa kuhusu hati iliyotolewa na CAG kwa mwaka wa fedha 2023/2024 Halmashauri imepata hati safi ikiwa ni muendelezo wa miaka minne mfululizo.

Naye Mkaguzi Mkuu wa Nje Honest Muya ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe kwa kutoa ushirikiano mzuri kwa wakaguzi na kurahisisha zoezi la ukaguzi.

Kwa niaba ya Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe Mh Robison Mzimya  amempongeza Mkuu wa Wilaya ya Buhigwe,Mkurugenzi Mtendaji,Wataalam na viongozi wote kwa uongozi wao imara kwa muda wa miaka mitano ambayo wamekuwa madarakani.

Baada ya kikao hicho Mkurugenzi alitangaza kuvunja rasmi baraza la madiwani lilodumu kwa miaka mitano kufuatia maagizo ya Waziri wa Nchi,ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe.Mohammed Mchengerwa kuhakikisha mpaka kufikia tarehe 20 Juni 2025 mabaraza yote ya madiwani kuvunjwa.


Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI - 04.07.2023 June 23, 2023
  • KILA KHERI DARASA LA SABA September 12, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA - OKTOBA 2023 October 09, 2023
  • TANZIA February 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • BUHIGWE DC YAPATA HATI SAFI KWA MIAKA 4 MFULULIZO.

    June 20, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI.

    June 12, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE

    June 12, 2025
  • RASMI ZOEZI LA UGAWAJI VYANDARUA LAZINDULIWA BUHIGWE.

    June 10, 2025
  • Angalia zote

Video

Hospitali ya Wilaya ya Buhigwe kuanza kutoa huduma za Afya
Video Zaidi

Kurasa Za Karibu

  • Kuhamisha Mwanafunzi
  • Tovuti ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep Documentation
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • Wahe. Madiwani
  • BEMIS

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bunge La Tanzania
  • Ikulu
  • Bodi Ya Manunuzi na Ugavi
  • Wizara ya Ardhi
  • Wizara ya Elimu, Sayansi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Mji Mpya wa Bwega-Ofisi za Mkurugenzi

    Postal Address: P.O.Box 443 Buhigwe

    Simu Ya Mezani: 0282988460

    Simu ya mkononi: (+255) 782 500 333

    Barua Pepe: ded@buhigwedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Mwanzo

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Buhigwe. Haki zote zimehifadhiwa