• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za ofisi |
Buhigwe District Council
Buhigwe District Council

Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi Mkuu
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo Wa Utawala
    • Idara
      • Utawala Na Utumishi
      • Mipango, Takwimu Na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha Na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Secondari
      • Maji
      • Mifugo Na Uvuvi
      • Ardhi Na Maliasili
      • Maendeleo Ya Jamii Na Ustawi Wa Jamii
      • Ujenzi Na Zimamoto
      • Kilimo,Umwagiliaji Na Ushirika
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi Wa Ndani
      • Habari Na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kiutalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
      • Kuonana na Mhe.Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayotarajiwa Kufanywa
    • Miradi Inayoendelea Kufanywa
    • New Planned Project
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Other Fomu
    • MpangoKazi
    • Baraza-Madiwani
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

BARAZA LA MADIWANI LA HALIMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE LAPITISHA RASIMU YA BAJETI YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025 TSH.BILIONI 32.7

Posted on: February 2nd, 2024

Akizungumuza wakati wa kikao maalamu cha baraza hilo katika Ukumbi wa Halimashauri ya Wilaya ya Buhigwe Mh Venance S Kigwinya Mwenyekiti wa Halimashauri hiyo amesema rasimu hiyo ya bajeti ya kiasi cha shilingi Bilioni 32.7 itasaidia na kuwaletea wananchi maendeleo ikiwa pamoja na kuongeza na kuboresha miundombinu ya huduma za kijamii kama vile huduma za Sekta ya Elimu, huduma za Afya, maendeleo ya jamii, mazingira, ambapo katika rasimu hiyo kiasi cha shilingi. Bilioni 10,6 zimetengwa kwa ajili ya kutekeleza shughuli za miradi ya maendeleo.

Hata hivyo baraza hilo la madiwani limepokea na kuidhinisha taarifa ya rasimu ya bajeti ya taasisi ya TARURA kiasi cha shilingi billion 3.9 ikiwa lengo ni kuboresha na kupendekeza miradi ya barabara itakayotekelezwa na taasisi hiyo katika halmashauri yetu. Pia baraza hilo limeishukuru taasisi hiyo kwa kuona ni vema baraza kutoa baraka katika rasimu ya bajeti hiyo na kuwaomba endepo bajeti hiyo itaidhishwa rasmi kwa matumizi basi miradi pendekezwa itekelezwa kwa ukamilifu

Mhe, Venance S Kigwinya ameeleza kwamba Baraza la Madiwani halitokuwa tayari kumvumilia Kiongozi ama mfanyabiashara yeyote atakayesababisha na kuleta ukwamishaji katika suala la Ukusanyaji wa Mapato kwa kuzingatia kuwa kipaumbele cha Halmashauri ya Wilaya ya buhigwe ni Kuboresha usimamizi wa vyanzo vya mapato ya ndani na kuibua vyanzo vipya kwa lengo la kuwaletea maendeleo Wananchi wa Wilaya hiyo.

Bi, Utefta Mahega katibu tawala wa wilaya hiyo amesema kwamba Baraza la Madiwani lina wajibu wa kusimamia mapato ya ndani kwa bidi kwa maslahi mapana ya Wananchi na kuhakikisha kutokutoa mwanya wa upotevu wa mapato kwa namna yeyote ile na kuwataka Watendaji wa Kata kuendelea kusimamia na kutumia kikamilifu fedha za Miradi ya Maendeleo katika Kata zao vizuri,

Awali akiwasilisha rasimu ya Bajeti ya mwaka 2024/2025 Afisa Mipango Bw.Bryton Pomo kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya buhigwe amefafanua kwamba katika rasimu hiyo ya Bajeti kiasi cha Bilioni 1.5 ni fedha zitokanazo na vyanzo vya Mapato ya ndani ya Halmashauri ,kiasi cha shilingi. Bilioni 19.7 ni fedha ya mishahara ya Watumishi,kiasi cha shilingi Bilioni 1.07 ni ruzuku ya uendeshaji wa ofisi ( OC) na kiasi cha Bilioni 10.6 ni kwa ajili ya kutekeleza Miradi ya Maendeleo na fedha zote ni kutoka Serikali kuu.

Naye Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Ndg Alphonce I Haule  amesema Bajeti hii ya mwaka wa fedha 2024/2025 ni lazima itatekelezwe kwa kuchukua hatua madhubuti katika ukusanyaji wa mapato ya ndani pamoja na fedha zitakazotoka Serikali kuu kwa  ajili ya  Miradi mbalimbali ya maendeleo, zitasimamiwa vizuri kwa maslahi mapana ya Wananchi.


Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI - 04.07.2023 June 23, 2023
  • KILA KHERI DARASA LA SABA September 12, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA - OKTOBA 2023 October 09, 2023
  • TANZIA February 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DED BUHIGWE ATEMBELEA VITUO VYA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA.

    May 05, 2025
  • MATOKEO 2024 WALIMU NA WANAFUNZI WAPONGEZWA.

    April 17, 2025
  • BABA ASKOFU EMMANUEL BWATA AITIKIA WITO WA MKURUGENZI BUHIGWE.

    April 14, 2025
  • SHEREHE YA KUWAAGA WATUMISHI NA KUWAKARIBISHA WATUMISHI BUHIGWE YAFANA.

    April 13, 2025
  • Angalia zote

Video

Hospitali ya Wilaya ya Buhigwe kuanza kutoa huduma za Afya
Video Zaidi

Kurasa Za Karibu

  • Kuhamisha Mwanafunzi
  • Tovuti ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep Documentation
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • Wahe. Madiwani
  • BEMIS

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bunge La Tanzania
  • Ikulu
  • Bodi Ya Manunuzi na Ugavi
  • Wizara ya Ardhi
  • Wizara ya Elimu, Sayansi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Mji Mpya wa Bwega-Ofisi za Mkurugenzi

    Postal Address: P.O.Box 443 Buhigwe

    Simu Ya Mezani: 0282988460

    Simu ya mkononi: (+255) 782 500 333

    Barua Pepe: ded@buhigwedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Mwanzo

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Buhigwe. Haki zote zimehifadhiwa