Posted on: February 24th, 2025
Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe chini ya Idara ya Elimu Msingi kwa kushirikiana na Program ya shule bora imefanya mafunzo ya somo la hisabati kwa walimu Mahili wa somo la hilo kwa shule za msingi.
...
Posted on: February 23rd, 2025
Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango Buhigwe (FUM) yafanya ziara ya ukaguzi wa miradi mbalimbali ikiwemo ujenzi wa shule ya Sekondari ya Buhigwe unaogharimu kiasi cha Shilingi Mil 603,Ujenzi wa nyumba y...
Posted on: February 23rd, 2025
Kwa niaba ya Katibu tawala Wilaya ya Buhigwe Ndug David Mwanri ambaye ni Afisa Vijana amefungua rasmi kambi ya mafunzo ya vijana wa Wilaya ya Buhigwe kutoka katika shule za msingi na sekondari iliyofa...