Posted on: June 14th, 2020
Siku ya tarehe 14/6/2020 ni siku ya maadhimisho ya uchangiaji damu duniani kote, hivyo Ofisi ya mganga Mkuu wa Wilaya ya Buhigwe kupitia watumishi wake wameadhimisha sherehe hiyo kwa kukusanya d...
Posted on: May 22nd, 2020
Mkuu wa Wilaya ya Buhigwe Mhe. Col. Michael Masala Ngayalina ameshiriki ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Kimara katika kata ya Kinazi wilayani humu na kuwapongeza wananchi kwa kuamua kujenga zahanati ...
Posted on: March 18th, 2020
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Buhigwe ndugu Anosta Lazaro Nyamoga akishirikiana na Mganga mkuu wa wilaya Dkt. Julius Nyasongo wanapenda kuwatangazia wananchi wote wa wilaya ya Buhigw...