Posted on: March 30th, 2021
Leo Rais Samia Suluhu Hassan amewasilisha mapendekezo ya jina lake kuwa makamu wa Rais katika kikao maalumu cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na baadaye jina hilo...
Posted on: March 18th, 2021
Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya wilaya ya Buhigwe amepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za kifo cha Mpendwa wetu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.
K...
Posted on: March 10th, 2021
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Buhigwe Anosta Lazaro Nyamoga amezindua rasmi mnada wa mifugo, bidhaa za viwandani na mashambani wilayani Buhigwe.
Uzinduzi huo umefanyika leo Jumata...