Posted on: January 18th, 2025
Klabu ya Michezo ya Wilaya ya Buhigwe Sports Club rasmi imefunguliwa leo tarehe 18 mwezi Januari mwaka 2025 kwa mchezo wa mbio fupi maarufu kama jogging.
Klabu hiyo ikijumuisha michezo mbalimba...
Posted on: January 16th, 2025
Kikao cha Kamati ya Lishe Wilaya ya Buhigwe kwa kipindi cha Oktoba-Disemba 2024 kimefanyika leo Tarehe 16/01/2025 kikiwa na maadhimio yafuatayo.
1.Kufanya tafiti za hali ya lishe kwa w...
Posted on: January 14th, 2025
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe Ndug George Emmanuel Mbilinyi tarehe 13 mwezi Januari 2025 ametembelea Shule mbalimbali za Sekondari na Msingi katika Wilaya ya Buhigwe ikiwemo ...