• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za ofisi |
Buhigwe District Council
Buhigwe District Council

Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi Mkuu
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo Wa Utawala
    • Idara
      • Utawala Na Utumishi
      • Mipango, Takwimu Na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha Na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Secondari
      • Maji
      • Mifugo Na Uvuvi
      • Ardhi Na Maliasili
      • Maendeleo Ya Jamii Na Ustawi Wa Jamii
      • Ujenzi Na Zimamoto
      • Kilimo,Umwagiliaji Na Ushirika
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi Wa Ndani
      • Habari Na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kiutalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
      • Kuonana na Mhe.Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayotarajiwa Kufanywa
    • Miradi Inayoendelea Kufanywa
    • New Planned Project
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Other Fomu
    • MpangoKazi
    • Baraza-Madiwani
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

WANANCHI WA TARAFA YA MUYAMA KATA YA KAJANA KIJIJI CHA KASUMO WAISHUKURU SERIKALI KWA KUWASOGEZEA HUDUMA ZA MATIBABU KARIBU.

Posted on: March 1st, 2024

Shukurani hizo zimetolewa katika mwendelezo wa ziara ya Mhe Katibu Tawala Mkoa wa iKgoma kwa Wilaya ya Buhigwe.

Hata hivyo hayo yamesemwa na baadhi ya wagonjwa walioenda kupata huduma za matibabu katika Zahanati ya LEMBA ambayo imefunguliwa rasimi Leo 01/03/2024 na kuanza kutoa huduma hiyo kwa wananchi hao.

Akizungumza mmoja wa wagonjwa hao amesema kuwa upatikanaji wa huduma za matibabu katika Zahanati hiyo kutapunguza usumbufu  waliokuwa wakiupata hapo awali kwa kutembea mwendo mrefu Sana kufuata matibabu hayo.

Pia wamesisitiza jamii kuachana na Imani potofu za kishirikna na badala yake waende katika vituo vya kutolea huduma za Afya na kupata vipimo na matibabu yaliyosahihi.

Pamoja na hayo wamesema utakuta mtu anasumbuliwa na tezi dume hususani kwa wazee wa zaidi ya miaka 60 lakini hataki kwenda hospital kupatiwa matibabu na ikitoa akaaga Dunia wanasema ameuliwa kwa Imani za kishirikna.

Wakati hayo yakiendelea wamemshukuru Mh Rais Dkt; SAMIA SULUHU HASSAN kwa kuwajali na kuwakumbuka kwa kutoa Fedha za miradi mingi Sana inayotekezwa Wilayani Buhigwe Mwenyezi Mungu azidi kumbariki.zaidi na zaid

Mhe.Msovera amewakata timu ya menejimenti kusimamia miradi ipasavyo na Ile ambayo walitoa ahadi ya kuikamilisha ikamilike kwa muda waliosema na kuanza kutoa huduma mara Moja.

Miradi iliyokaguliwa ni Zahanati ya LEMBA kasumo kituo Cha Afya kajana hospital ya wilaya nyumba ya mkurugenzi na uzio wa Halmashauri.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI - 04.07.2023 June 23, 2023
  • KILA KHERI DARASA LA SABA September 12, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA - OKTOBA 2023 October 09, 2023
  • TANZIA February 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DED BUHIGWE ATEMBELEA VITUO VYA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA.

    May 05, 2025
  • MATOKEO 2024 WALIMU NA WANAFUNZI WAPONGEZWA.

    April 17, 2025
  • BABA ASKOFU EMMANUEL BWATA AITIKIA WITO WA MKURUGENZI BUHIGWE.

    April 14, 2025
  • SHEREHE YA KUWAAGA WATUMISHI NA KUWAKARIBISHA WATUMISHI BUHIGWE YAFANA.

    April 13, 2025
  • Angalia zote

Video

Hospitali ya Wilaya ya Buhigwe kuanza kutoa huduma za Afya
Video Zaidi

Kurasa Za Karibu

  • Kuhamisha Mwanafunzi
  • Tovuti ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep Documentation
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • Wahe. Madiwani
  • BEMIS

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bunge La Tanzania
  • Ikulu
  • Bodi Ya Manunuzi na Ugavi
  • Wizara ya Ardhi
  • Wizara ya Elimu, Sayansi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Mji Mpya wa Bwega-Ofisi za Mkurugenzi

    Postal Address: P.O.Box 443 Buhigwe

    Simu Ya Mezani: 0282988460

    Simu ya mkononi: (+255) 782 500 333

    Barua Pepe: ded@buhigwedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Mwanzo

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Buhigwe. Haki zote zimehifadhiwa