• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za ofisi |
Buhigwe District Council
Buhigwe District Council

Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi Mkuu
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo Wa Utawala
    • Idara
      • Utawala Na Utumishi
      • Mipango, Takwimu Na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha Na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Secondari
      • Maji
      • Mifugo Na Uvuvi
      • Ardhi Na Maliasili
      • Maendeleo Ya Jamii Na Ustawi Wa Jamii
      • Ujenzi Na Zimamoto
      • Kilimo,Umwagiliaji Na Ushirika
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi Wa Ndani
      • Habari Na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kiutalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
      • Kuonana na Mhe.Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayotarajiwa Kufanywa
    • Miradi Inayoendelea Kufanywa
    • New Planned Project
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Other Fomu
    • MpangoKazi
    • Baraza-Madiwani
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Wananchi Buhigwe wajitokeza kwa wingi kumlaki Waziri Mkuu

Posted on: July 30th, 2018

Wananchi wa wilaya ya Buhigwe mkoani Kigoma, wamejitokeza kwa wingi kumlaki Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kassim Majaliwa (MB) na kuiomba Serikali ya awamu ya tano kusaidia kutatua changamoto za kilimo hasa kwa mazao ya Kahawa, Tangawizi na Michikichi ili waweze kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya nchi lakini pia kujiajiri katika sekta ya kilimo na kuchangia ukuaji wa Tanzania ya Viwanda.

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Wilaya ya Buhigwe Mheshimiwa Brig. Generali Marco E. Gaguti kwa niaba ya wananchi wakati akisoma taarifa ya wilaya mbele ya Waziri Mkuu wakati wa ukaribisho wa ziara yake ya kikazi ya siku moja wilayani hapa.

Akijibu taarifa hiyo Mheshimiwa Waziri Mkuu amemuagiza Waziri wa Kilimo, Ushirika na Umwagiliaji kutatua changamoto hiyo.

“Nakuagiza Waziri wa Kilimo simamia tozo zote ambazo hazina tija katika mazao haya ili kuwasidia Wananchi na nipate majibu haraka.”Alisema Waziri Mkuu.

Mhe.Kassim Majaliwa alitumia fursa hiyo kuhamasisha kilimo cha zao la Michikichi  huku akiwaagiza Maafisa Elimu Msingi na Sekondari, Afisa Kilimo pamoja na Mkurugenzi Mtendaji kuhakikisha miche ya michikichi inaoteshwa kwenye vitalu na kupandwa shuleni, kila mwananchi na kando ya barabara ikiwa kuna udongo wenye  rutuba.

Pia Mhe. Waziri Mkuu ameweka jiwe la Msingi katika Hospitali ya Wilaya ya Buhigwe.

Aidha Waziri Mkuu, ametoa rai kwa vyombo vya ulinzi na usalama kuhakikisha mipaka yote ya wilaya inalindwa ili kudhibiti wahamiaji haramu.

“Wilaya ya Buhigwe iko mpakani mwa nchi jirani ya Burundi, hivyo jeshi la Polisi hakikisheni mipaka yote ya Halmashauri inalindwa, na kila mhamiaji lazima afuate utaratibu.” Aliongeza Mhe. Kassim Majaliwa.

Mwisho aliushukuru uongozi wa Wilaya ya Buhigwe na Wananchi wake kwa mapokezi na ushirikiano mzuri waliouonyesha wakati wa ziara yake Wilayani hapa.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI - 04.07.2023 June 23, 2023
  • KILA KHERI DARASA LA SABA September 12, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA - OKTOBA 2023 October 09, 2023
  • TANZIA February 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DED BUHIGWE ATEMBELEA VITUO VYA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA.

    May 05, 2025
  • MATOKEO 2024 WALIMU NA WANAFUNZI WAPONGEZWA.

    April 17, 2025
  • BABA ASKOFU EMMANUEL BWATA AITIKIA WITO WA MKURUGENZI BUHIGWE.

    April 14, 2025
  • SHEREHE YA KUWAAGA WATUMISHI NA KUWAKARIBISHA WATUMISHI BUHIGWE YAFANA.

    April 13, 2025
  • Angalia zote

Video

Hospitali ya Wilaya ya Buhigwe kuanza kutoa huduma za Afya
Video Zaidi

Kurasa Za Karibu

  • Kuhamisha Mwanafunzi
  • Tovuti ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep Documentation
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • Wahe. Madiwani
  • BEMIS

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bunge La Tanzania
  • Ikulu
  • Bodi Ya Manunuzi na Ugavi
  • Wizara ya Ardhi
  • Wizara ya Elimu, Sayansi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Mji Mpya wa Bwega-Ofisi za Mkurugenzi

    Postal Address: P.O.Box 443 Buhigwe

    Simu Ya Mezani: 0282988460

    Simu ya mkononi: (+255) 782 500 333

    Barua Pepe: ded@buhigwedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Mwanzo

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Buhigwe. Haki zote zimehifadhiwa