• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za ofisi |
Buhigwe District Council
Buhigwe District Council

Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi Mkuu
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo Wa Utawala
    • Idara
      • Utawala Na Utumishi
      • Mipango, Takwimu Na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha Na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Secondari
      • Maji
      • Mifugo Na Uvuvi
      • Ardhi Na Maliasili
      • Maendeleo Ya Jamii Na Ustawi Wa Jamii
      • Ujenzi Na Zimamoto
      • Kilimo,Umwagiliaji Na Ushirika
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi Wa Ndani
      • Habari Na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kiutalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
      • Kuonana na Mhe.Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayotarajiwa Kufanywa
    • Miradi Inayoendelea Kufanywa
    • New Planned Project
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Other Fomu
    • MpangoKazi
    • Baraza-Madiwani
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

WAJUMBE WA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA H/W BUHIGWEWAMEFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI INAYOTEKELEZWA KATIKIA H/W HIYO

Posted on: December 28th, 2022
  • Mkuu wa wilya ya buhigwe Mhe. KANALI MICHAEL MASALA JUSTIN NGAYALINA akiongozana na wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama wamekagua miradi ambayo inatekelezwa kwa force account
  • Miradi iliyokaguliwa ni soko la kimkakati mnanila, kituo cha afya mwayaya, kituo cha afya kajana, shule ya wasichana kahimba, bweni la watoto wenye mahitaji maalumu shule ya msingi muyama,shule ya sekondari katundu, hospitali ya wilaya ,ukumbi wa halimashauri, nyumba kumi za wakuu wa idara, na mgahawa
  • Aidha ujenzi wa soko la kimkakati la mnanila linalenga kuiongezea halimashauri mapato na pia kuwanufaisha wanachi wote kwa kuwa na maeneo mazuri na bora ya biashara amabapo ujenzi huo unagharimu kiasi cha tsh 600,000,000/= mpaka kukamilika
  • Hata hivyo kwa upande wa afya majengo hayo yanalenga kuboresha huduma za afya kwa wanachi pia kupunguza vifo vya akina mama na watoto wakati wa kujifunga na huduma bora za upasuaji na magojwa mangineyo
  • Katika kuhakikisha suala la elimu linapewa kipaumbele wilaya ya buhigwe imepata fedha za kuboresha na kujenga madarasa ili kusaidia watoto kupata elimu katika mazingira bora kwa afya zao
  • Upande wa shule za sekondari halimashauri ya wilaya ya buhigwe imepata fedha za kujenga shule ya wasichana ya kidato cha tano na sita ambayo iko hatua mbalimbali za umaliziaji wa madarasa mabweni vyoo nyumba za walimu, bwalo, na upandaji wa miti, matarajio shule hiyo ianze kupokea wanafunzi july 2023
  • Wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama imepongeza jitihada za wasimamizi wa miradi na kuwataka waongeze kasi zaidi ili kukamilisha miradi kwa muda uliopagwa na matumizi yake yaanze mara moja




Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI - 04.07.2023 June 23, 2023
  • KILA KHERI DARASA LA SABA September 12, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA - OKTOBA 2023 October 09, 2023
  • TANZIA February 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DED BUHIGWE ATEMBELEA VITUO VYA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA.

    May 05, 2025
  • MATOKEO 2024 WALIMU NA WANAFUNZI WAPONGEZWA.

    April 17, 2025
  • BABA ASKOFU EMMANUEL BWATA AITIKIA WITO WA MKURUGENZI BUHIGWE.

    April 14, 2025
  • SHEREHE YA KUWAAGA WATUMISHI NA KUWAKARIBISHA WATUMISHI BUHIGWE YAFANA.

    April 13, 2025
  • Angalia zote

Video

Hospitali ya Wilaya ya Buhigwe kuanza kutoa huduma za Afya
Video Zaidi

Kurasa Za Karibu

  • Kuhamisha Mwanafunzi
  • Tovuti ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep Documentation
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • Wahe. Madiwani
  • BEMIS

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bunge La Tanzania
  • Ikulu
  • Bodi Ya Manunuzi na Ugavi
  • Wizara ya Ardhi
  • Wizara ya Elimu, Sayansi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Mji Mpya wa Bwega-Ofisi za Mkurugenzi

    Postal Address: P.O.Box 443 Buhigwe

    Simu Ya Mezani: 0282988460

    Simu ya mkononi: (+255) 782 500 333

    Barua Pepe: ded@buhigwedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Mwanzo

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Buhigwe. Haki zote zimehifadhiwa