• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za ofisi |
Buhigwe District Council
Buhigwe District Council

Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi Mkuu
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo Wa Utawala
    • Idara
      • Utawala Na Utumishi
      • Mipango, Takwimu Na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha Na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Secondari
      • Maji
      • Mifugo Na Uvuvi
      • Ardhi Na Maliasili
      • Maendeleo Ya Jamii Na Ustawi Wa Jamii
      • Ujenzi Na Zimamoto
      • Kilimo,Umwagiliaji Na Ushirika
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi Wa Ndani
      • Habari Na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kiutalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
      • Kuonana na Mhe.Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayotarajiwa Kufanywa
    • Miradi Inayoendelea Kufanywa
    • New Planned Project
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Other Fomu
    • MpangoKazi
    • Baraza-Madiwani
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

WAHANGA WA KIMBUNGA BUHIGWE WAFUTWA MACHOZI

Posted on: January 17th, 2023

Mhe. Col. Michael Nhayalina, Mkuu wa wilaya ya Buhigwe ametoa msaada wa chakula na blanketi kwa wahanga wa kimbunga katika vijiji viwili ambavyo ni kitambuka na kibwigwa ambapo kaya zipatazo 16 zimepata maaf aya kuezuliwa na kuboka kwa nyumba kumia na sita zilizosababishwa na kimbuga kilichoambatana na upepo mkali na mvua kubwa

Maafa hayo yalitoke siku ya ijumaa tarehe 13/01/2023 muda wa saa saba mchana katika tarafa ya manyovu kata ya mkatanga kijiji kitambuka na kata ya kibigwa ambapo mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali na kuathiri makazi ya wananchi wa vijiji hivyo hali iliyosababisha hara kubwa kwa jamii hizo ikiwemo baadhi yao nyumba kuezuliwa na kubomoka kabsa na kusababisha kukosa makazi ya kuishi licha ya wasamalia wema kujitolea kuwapa makzi kwa sasa

Aidha mkuu walaya ya buhigwe akiongea na wahanga hao katika uwanja wa shule ya sekondari kitambuka amewapa pole pia salamu za pole kutoka kwa mh. Dr samia suluhu hassani raisi wa jamhuri wa muungano wa Tanzania na kuwomba wahnaga hao kupokea hicho kidogo ambacho amabcho anaenda kukiwasilisha kwao

Pia amewaasa kusema kwa pamopja matatizo waliyonayo wanajitahidi watoto wote waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza waende shule kwa muda uliopangwa na sekali asiwepo hata mmoja ambambaye hataenda shule hatua kali zitachukuliwa na serikali kuhusu suala hilo

Baada ya hayo yote mkuu wa wilaya ya buhigwe pamoja na timu yake yote aliyoambatana nayo akishilikiana na kamati ya ulinzi na usalama ya wilayani buhigwe,waheshimiwa madiwani ,wenyeviti na viongozi mbalimbali wa kata  wamekabidhi unga wa sembe kg 25,mifuko 16,blanketi 16, maharage kg 70 kwa wahanga wa tukio hilo

Hata hivyo baada ya makabidhiano mkuu wa wilaya alitembelea nyumba zote zilizopata matatizoili kujionea uharibifu uliofanyika katika kaya hizo. Pia viongozi wa viji na wananchi waliogiswa na matukio hilo pia walitoa michango yao kusaidia wahanga hao ambapo kamati za maafa za vijiji hivyo walichangia kiasi kiasi cha shilingi laki mbili na elfu tisini mia tano kwa kijiji cha kitambuka ambapo miasaada yote hiyo imeshakabidhiwa kwa waathirika

Shukurani za dhati ziende kwa Mhe dr Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mungu azidishe pale alipotoa pia awe na moyo huohuo wa kusaidia watu wote wenye matatizo hayo ni maneno kutoka kwa wahanga.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI - 04.07.2023 June 23, 2023
  • KILA KHERI DARASA LA SABA September 12, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA - OKTOBA 2023 October 09, 2023
  • TANZIA February 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DED BUHIGWE ATEMBELEA VITUO VYA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA.

    May 05, 2025
  • MATOKEO 2024 WALIMU NA WANAFUNZI WAPONGEZWA.

    April 17, 2025
  • BABA ASKOFU EMMANUEL BWATA AITIKIA WITO WA MKURUGENZI BUHIGWE.

    April 14, 2025
  • SHEREHE YA KUWAAGA WATUMISHI NA KUWAKARIBISHA WATUMISHI BUHIGWE YAFANA.

    April 13, 2025
  • Angalia zote

Video

Hospitali ya Wilaya ya Buhigwe kuanza kutoa huduma za Afya
Video Zaidi

Kurasa Za Karibu

  • Kuhamisha Mwanafunzi
  • Tovuti ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep Documentation
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • Wahe. Madiwani
  • BEMIS

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bunge La Tanzania
  • Ikulu
  • Bodi Ya Manunuzi na Ugavi
  • Wizara ya Ardhi
  • Wizara ya Elimu, Sayansi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Mji Mpya wa Bwega-Ofisi za Mkurugenzi

    Postal Address: P.O.Box 443 Buhigwe

    Simu Ya Mezani: 0282988460

    Simu ya mkononi: (+255) 782 500 333

    Barua Pepe: ded@buhigwedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Mwanzo

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Buhigwe. Haki zote zimehifadhiwa