• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za ofisi |
Buhigwe District Council
Buhigwe District Council

Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi Mkuu
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo Wa Utawala
    • Idara
      • Utawala Na Utumishi
      • Mipango, Takwimu Na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha Na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Secondari
      • Maji
      • Mifugo Na Uvuvi
      • Ardhi Na Maliasili
      • Maendeleo Ya Jamii Na Ustawi Wa Jamii
      • Ujenzi Na Zimamoto
      • Kilimo,Umwagiliaji Na Ushirika
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi Wa Ndani
      • Habari Na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kiutalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
      • Kuonana na Mhe.Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayotarajiwa Kufanywa
    • Miradi Inayoendelea Kufanywa
    • New Planned Project
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Other Fomu
    • MpangoKazi
    • Baraza-Madiwani
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

UJENZI WA MADARASA SEKONDARI - MKUU WA WILAYA ASISITIZA UBORA

Posted on: November 3rd, 2021

Akizungumza katika kikao cha maelekezo kwa wakuu wa shule za zote za SEKONDARI kilichoitishwa na Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Buhigwe juu ya usimamizi wa mradi wa ujenzi wa madarasa unaoendelea Buhigwe, Mkuu wa wawilaya hiyo(Buhigwe) Kanali Michael Ngayalina amewataka wakuu wa Shule kuwa na umakini wa hata zaidi ya asilimia mia ili kuwezesha kukamilisha miradi hiyo kwa ubora na ufanisi. Pamoja na hayo

  • Asisitiza kukamilika madarasa yote 53 kabla au ifikapo 15.12.2021 kaitka Ubora unaokubalika
  • Awataka wakuu wa Shule kudhamini madaraka waliyopewa ili wadhamini kazi na heshima zao kusalia katika jamii
  • Awataka kuwasimamia na kuwakagua mafundi vyema.
  • Awataka kwa ambao hawajaanza kuanza mara moja na msingi wa madarasa iwe tayari kufikia mwisho wa wiki
  • Asisitiza umakini wa hali ya juu katika miradi hii ya madarasa
  • Amewataka kukwepa rushwa na kuwa waadilifu
  • Awataka ofisi ya Fedha kutokukwamisha malipo katika miradi hii. Amng’akia afisa ugavi pia kusimamia manunuzi na mikataba
  • Awataka wakuu wa shule kuwatumia wataalamu wa halamsahrui ipasavyo vizuri.
  • Mwisho aendelea kupongeza juhudi za Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania kwa kuboresha mindombinu


Pia mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Buhigwe Ndg. Venance Kigwinya amesisitiza UBORA katika ujenzi huo ili kukwepa sura chafu ya halmashauri ambayo ilikuwepo hapo awali kwa sababu ya ujenzi wa baadhi ya miradi chini ya kiwango.

Mwanzoni akifungua kikao hicho mkurugenzi mtendaji Bwana Essau Ngoloka ametoa maelkezo na mwongozo utakaofuatwa katika kukamilisha ujenzi huo wa madarasa

Halmashauri ya wilaya ya Buhigwe ilipata jumla Tsh 1,060,000,000 kwa ajili ujenzi wa jumla ya madarasa 53

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI - 04.07.2023 June 23, 2023
  • KILA KHERI DARASA LA SABA September 12, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA - OKTOBA 2023 October 09, 2023
  • TANZIA February 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DED BUHIGWE ATEMBELEA VITUO VYA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA.

    May 05, 2025
  • MATOKEO 2024 WALIMU NA WANAFUNZI WAPONGEZWA.

    April 17, 2025
  • BABA ASKOFU EMMANUEL BWATA AITIKIA WITO WA MKURUGENZI BUHIGWE.

    April 14, 2025
  • SHEREHE YA KUWAAGA WATUMISHI NA KUWAKARIBISHA WATUMISHI BUHIGWE YAFANA.

    April 13, 2025
  • Angalia zote

Video

Hospitali ya Wilaya ya Buhigwe kuanza kutoa huduma za Afya
Video Zaidi

Kurasa Za Karibu

  • Kuhamisha Mwanafunzi
  • Tovuti ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep Documentation
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • Wahe. Madiwani
  • BEMIS

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bunge La Tanzania
  • Ikulu
  • Bodi Ya Manunuzi na Ugavi
  • Wizara ya Ardhi
  • Wizara ya Elimu, Sayansi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Mji Mpya wa Bwega-Ofisi za Mkurugenzi

    Postal Address: P.O.Box 443 Buhigwe

    Simu Ya Mezani: 0282988460

    Simu ya mkononi: (+255) 782 500 333

    Barua Pepe: ded@buhigwedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Mwanzo

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Buhigwe. Haki zote zimehifadhiwa