• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za ofisi |
Buhigwe District Council
Buhigwe District Council

Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi Mkuu
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo Wa Utawala
    • Idara
      • Utawala Na Utumishi
      • Mipango, Takwimu Na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha Na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Secondari
      • Maji
      • Mifugo Na Uvuvi
      • Ardhi Na Maliasili
      • Maendeleo Ya Jamii Na Ustawi Wa Jamii
      • Ujenzi Na Zimamoto
      • Kilimo,Umwagiliaji Na Ushirika
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi Wa Ndani
      • Habari Na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kiutalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
      • Kuonana na Mhe.Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayotarajiwa Kufanywa
    • Miradi Inayoendelea Kufanywa
    • New Planned Project
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Other Fomu
    • MpangoKazi
    • Baraza-Madiwani
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

RASMI ZOEZI LA UGAWAJI VYANDARUA LAZINDULIWA BUHIGWE.

Posted on: June 10th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Buhigwe Kanali Michael Ngayalina leo tarehe 10 mwezi Juni 2025 amezindua rasmi zoezi la ugawaji wa vyandarua vyenye dawa bila malipo katika Wilaya ya Buhigwe

Akizungumza katika hafla fupi ya uzinduzi iliyofanyika katika kijiji cha Munyegera kata ya Munyegera amesihi Wananchi wote kutumia vyandarua hivyo kwa lengo lililokusudiwa.

“Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mama yetu Samia Suluhu Hassani anatupenda na kutujali na ndo mana akatuletea vyandarua vilivyotiwa dawa hivyo niwasihi Wananchi wenzangu tukatumie vyandarua hivi kwa lengo lililokusudiwa la kumaliza tatizo la maambukizi ya ugonjwa wa Malaria,na kwa namna ya pekee tunamshukuru Rais wetu kwa kuangazia sekta ya Afya na kuiimarisha zaidi”Amesema Kanali Michael Ngayalina

Katibu Tawala Wilaya ya Buhigwe Utefta Mahega amewaasa wakina mama hasa Wajawazito kuhakikisha kila siku wanalala katika vyandarua vyenye dawa ili kumaliza tatizo la ugonjwa wa Maralia.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe Ndug George Emmanuel Mbilinyi amesema kuwa Serikali ya Awamu ya sita inawapenda na kuwajali Wananchi wake na ndo mana inahakikisha inatatua changamoto zinazowakumba Wananchi ikiwemo wa Munyegera kwa kuwaletea miradi mbalimbali ikiwemo ujenzi wa Shule na Zahanati.

 Mganga Mkuu wa Wilaya ya Buhigwe Dkt Innocent Mhagama amesema jumla ya Kaya 51,828 zinatarajiwa kunufaika na mpango wa ugawaji wa vyandarua 168,353 vilivyotolewa na Serikali kupitia Ofisi ya Rais TAMISEMI kwa kushirikiana na Wizara ya Afya ikiwa ni utekelezaji Mpango wa Taifa wa kudhibiti Maralia(NMCP).

Kwa upande wao wananchi wakiongozwa na Diwani wa Kata ya hiyo Tito Fumawicha wameishukuru Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwakuwaletea vyandarua vitakavyowasaidia kujikinga dhidi ya mbu waenezao ugonjwa wa maralia sambamba na kuwataka wananchi wenzao kutumia vyandarua wanavyogawiwa kwa matumizi sahihi yaliyokusudiwa.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI - 04.07.2023 June 23, 2023
  • KILA KHERI DARASA LA SABA September 12, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA - OKTOBA 2023 October 09, 2023
  • TANZIA February 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • BUHIGWE DC YAPATA HATI SAFI KWA MIAKA 4 MFULULIZO.

    June 20, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI.

    June 12, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE

    June 12, 2025
  • RASMI ZOEZI LA UGAWAJI VYANDARUA LAZINDULIWA BUHIGWE.

    June 10, 2025
  • Angalia zote

Video

Hospitali ya Wilaya ya Buhigwe kuanza kutoa huduma za Afya
Video Zaidi

Kurasa Za Karibu

  • Kuhamisha Mwanafunzi
  • Tovuti ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep Documentation
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • Wahe. Madiwani
  • BEMIS

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bunge La Tanzania
  • Ikulu
  • Bodi Ya Manunuzi na Ugavi
  • Wizara ya Ardhi
  • Wizara ya Elimu, Sayansi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Mji Mpya wa Bwega-Ofisi za Mkurugenzi

    Postal Address: P.O.Box 443 Buhigwe

    Simu Ya Mezani: 0282988460

    Simu ya mkononi: (+255) 782 500 333

    Barua Pepe: ded@buhigwedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Mwanzo

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Buhigwe. Haki zote zimehifadhiwa