• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za ofisi |
Buhigwe District Council
Buhigwe District Council

Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi Mkuu
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo Wa Utawala
    • Idara
      • Utawala Na Utumishi
      • Mipango, Takwimu Na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha Na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Secondari
      • Maji
      • Mifugo Na Uvuvi
      • Ardhi Na Maliasili
      • Maendeleo Ya Jamii Na Ustawi Wa Jamii
      • Ujenzi Na Zimamoto
      • Kilimo,Umwagiliaji Na Ushirika
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi Wa Ndani
      • Habari Na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kiutalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
      • Kuonana na Mhe.Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayotarajiwa Kufanywa
    • Miradi Inayoendelea Kufanywa
    • New Planned Project
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Other Fomu
    • MpangoKazi
    • Baraza-Madiwani
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

MKURUGENZI AKAGUA UJENZI KAHIMBA SEKONDARI.

Posted on: December 24th, 2024

Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe Ndg. George Emmanuel Mbilinyi atembelea na kukagua mradi wa umaliziaji wa shule mpya ya Sekondari ya wasichana Kahimba iliyopo kata ya Kajana kijiji cha Kasumo

Mradi huu ulipokea kiasi cha Shilingi Million mia tisa na sitini (960,000,000) tarehe 08.10.2024 toka Serikali Kuu kupitia Mradi wa kuboresha Elimu ya Sekondari (SEQUIP).

Hata hivyo mradi umepokea vifaa vyenye thamani ya Tsh milioni 100 kutoka Bank ya NMB na kufanya shule kupokea jumla ya Tsh. Billion 1 na million 60

Mradi huu umelenga kukamilisha Mabweni mawili nyumba moja ya mwalimu (2in 1), nyumba ya kulala wagonjwa (sickbay), maabara ya kemia na biolojia, vyumba 12 vya madarasa, matundu 22 ya vyoo na jengo la utawala. Shule ya sekondari Kahimba itafunguliwa Januari 2025 na tayari imekwishapangiwa wanafunzi 80 wa kidato cha kwanza.

Shukrani za pekee ziende kwa Mhe.Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa maono haya ya kujenga shule za wasichana nchini na kutufikia Buhigwe.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI - 04.07.2023 June 23, 2023
  • KILA KHERI DARASA LA SABA September 12, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA - OKTOBA 2023 October 09, 2023
  • TANZIA February 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • BUHIGWE DC YAPATA HATI SAFI KWA MIAKA 4 MFULULIZO.

    June 20, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI.

    June 12, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE

    June 12, 2025
  • RASMI ZOEZI LA UGAWAJI VYANDARUA LAZINDULIWA BUHIGWE.

    June 10, 2025
  • Angalia zote

Video

Hospitali ya Wilaya ya Buhigwe kuanza kutoa huduma za Afya
Video Zaidi

Kurasa Za Karibu

  • Kuhamisha Mwanafunzi
  • Tovuti ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep Documentation
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • Wahe. Madiwani
  • BEMIS

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bunge La Tanzania
  • Ikulu
  • Bodi Ya Manunuzi na Ugavi
  • Wizara ya Ardhi
  • Wizara ya Elimu, Sayansi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Mji Mpya wa Bwega-Ofisi za Mkurugenzi

    Postal Address: P.O.Box 443 Buhigwe

    Simu Ya Mezani: 0282988460

    Simu ya mkononi: (+255) 782 500 333

    Barua Pepe: ded@buhigwedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Mwanzo

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Buhigwe. Haki zote zimehifadhiwa