• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za ofisi |
Buhigwe District Council
Buhigwe District Council

Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi Mkuu
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo Wa Utawala
    • Idara
      • Utawala Na Utumishi
      • Mipango, Takwimu Na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha Na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Secondari
      • Maji
      • Mifugo Na Uvuvi
      • Ardhi Na Maliasili
      • Maendeleo Ya Jamii Na Ustawi Wa Jamii
      • Ujenzi Na Zimamoto
      • Kilimo,Umwagiliaji Na Ushirika
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi Wa Ndani
      • Habari Na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kiutalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
      • Kuonana na Mhe.Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayotarajiwa Kufanywa
    • Miradi Inayoendelea Kufanywa
    • New Planned Project
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Other Fomu
    • MpangoKazi
    • Baraza-Madiwani
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

KWA BUHIGWE, HAACHWI MTU – DC NGAYALINA

Posted on: September 11th, 2023

Buhigwe, Kigoma: Septemba 11, 2023

Mhe. Col. Michael Masala Ngayalina, Mkuu wa Wilaya ya Buhigwe leo Septemba  11, 2023 ameyasema hayo wakati wa Kikao kazi cha Wajumbe wa Kamati ya Afya Msingi cha kupanga Mikakati ya kuwafikia Watoto 105,000 wenye umri chini ya Miaka Nane kwa ajili ya  Chanjo ya POLIO inayotarajiwa kuanza ALHAMISI ya Tarehe 21.09.2023 hadi JUMAPILI ya Septemba 24, 2023

Akizungumza wakati wa Ufunguzi wa kikao kazi hicho Mhe. Ngayalina amesisitiza wajumbe hao kutoa elimu juu ya Chanjo hiyo na kusisitiza kutumia majukwaa na nafasi zao kuondoa uvumi wowote wenye nia ovu ya kukwamisha zoezi

Ameongeza kuwa kuna umuhimu wa Jamii kuambiwa ukweli juu ya madhara yatokanyo na Ugonjwa huo na kuwekwa wazi kuwa HAUTIBIKI bali kujaribu kukabiliana na adhari zake baada ya mtu kupatwa na Ugonjwa huo unaoshambulia hasa mishipa ya Fahamu

“Hakuna mtoto, kaya, kitingoji, Kijiji wala kata itakayoachwa kufikiwa kwenye zoezi hili la Chanjo kwa wilaya ya Buhigwe, mimi mwenyewe ninazunguka sana kupitia na kuona changamoto na kuzitatua kwa wakati ili kufikia malengo” alisisitiza DC Ngayalina


Baadae Mganga mkuu wa Wilaya hiyo DKT. Innocent Mhagama aliendelea kutoa uelewa na kujadili mikakati kabambe iliyowekwa ili kufikia Watoto wote walengwa ambao ni wenye umri chini ya miaka Nane.

“Ugonjwa wa POLIO huambukizwa na Virusi vya Polio na hauna tiba na unaweza kusababisha kupooza kwa ghafla, kubaki na ulemavu wa kudumu au kifo

Dalili za ugonjwa POLIO ni Pamoja na Ulemavu wa ghafla wa viungo, Homa, Mafua na maumivu ya mwili, kichwa na shingo na kuongeza kuwa watu walio hatarini Zaidi ni Watoto chini ya miaka 15 ingawa unaweza kuwapata watu wa rika zote

Athari za Uginjwa wa Polio ni ulemavu wa kudumu wa miguu, mikono au kifo

Kumbuka: “Kila tone la chanjo ya polio, humkinga mtoto dhidi ya ulemavu na kifo, Mpeleke Mtoto Apate chanjo”. Alimaliza DKT. Mhagama.

Utekelezaji wa zoezi la chanjo kwa wilaya ya Buhigwe linatekelezwa kwa Nyumba kwa Nyumba kwa tarehe 21-24.09.2023 kwa Watoto wenye Umri chini ya Mikaka 8 chini ya Kauli ya:-

                                         “Mpe Matone………….Okoa Maisha”


Silas, J

Afisa Mawasiliano Serikalini

Buhigwe

Buhigwe

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI - 04.07.2023 June 23, 2023
  • KILA KHERI DARASA LA SABA September 12, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA - OKTOBA 2023 October 09, 2023
  • TANZIA February 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DED BUHIGWE ATEMBELEA VITUO VYA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA.

    May 05, 2025
  • MATOKEO 2024 WALIMU NA WANAFUNZI WAPONGEZWA.

    April 17, 2025
  • BABA ASKOFU EMMANUEL BWATA AITIKIA WITO WA MKURUGENZI BUHIGWE.

    April 14, 2025
  • SHEREHE YA KUWAAGA WATUMISHI NA KUWAKARIBISHA WATUMISHI BUHIGWE YAFANA.

    April 13, 2025
  • Angalia zote

Video

Hospitali ya Wilaya ya Buhigwe kuanza kutoa huduma za Afya
Video Zaidi

Kurasa Za Karibu

  • Kuhamisha Mwanafunzi
  • Tovuti ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep Documentation
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • Wahe. Madiwani
  • BEMIS

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bunge La Tanzania
  • Ikulu
  • Bodi Ya Manunuzi na Ugavi
  • Wizara ya Ardhi
  • Wizara ya Elimu, Sayansi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Mji Mpya wa Bwega-Ofisi za Mkurugenzi

    Postal Address: P.O.Box 443 Buhigwe

    Simu Ya Mezani: 0282988460

    Simu ya mkononi: (+255) 782 500 333

    Barua Pepe: ded@buhigwedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Mwanzo

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Buhigwe. Haki zote zimehifadhiwa