• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za ofisi |
Buhigwe District Council
Buhigwe District Council

Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi Mkuu
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo Wa Utawala
    • Idara
      • Utawala Na Utumishi
      • Mipango, Takwimu Na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha Na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Secondari
      • Maji
      • Mifugo Na Uvuvi
      • Ardhi Na Maliasili
      • Maendeleo Ya Jamii Na Ustawi Wa Jamii
      • Ujenzi Na Zimamoto
      • Kilimo,Umwagiliaji Na Ushirika
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi Wa Ndani
      • Habari Na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kiutalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
      • Kuonana na Mhe.Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayotarajiwa Kufanywa
    • Miradi Inayoendelea Kufanywa
    • New Planned Project
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Other Fomu
    • MpangoKazi
    • Baraza-Madiwani
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Kikao cha Baraza la Madiwani la kufunga mwaka

Posted on: October 26th, 2017

Kikao cha baraza la Madiwani kilianza kwa kamati kukutana kwaajili ya  kuvunja kamati hizo. Kwakuwa hiki ni kikao cha mwisho wa mwaka na kutokana na kanunu na sharia Kabla ya kuunda baraza jipya pamoja na kuteua Mwenyekiti Mwengine kwa mwaka wa fedha 2017/18 kamati hizo zinatakiwa zivunje ili kuteua kamati mpya pamoja na wenyeviti wake.

Kikao hiki kilikuwa na Agenda kuu zifuatazo.

  • Kufungua kikao.
  • Taarifa ya utekelezaji ya Mwaka 2016/17.
  • Ratiba ya vikaa vya kisheria vya Halmashauri.
  • Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti.
  • Mengineyo.
  • Kufunga kikao.

Baada ya kuwasilishwa kwa Agenda tajwa hapo juu, Makamu mwenyekiti Mh. Diwani Luzibila kutoka kata Munzeze alifungua kikao kwa kusoma Dua ya kikao hicho kwa kikiombea amani na Busara iwaongeza katika kufanya maamuzi kwaajili ya Halmashauri.

Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri akisoma Dua ya Kufungua kikao.


Agenda ya pili iliwasilishwa na Afisa Mipango wa Wilaya Ndg. Charles Mduma, Taarifa hiyo ilipokelewa na kujadiliwa na Waheshimiwa Madiwani.

Afisa Mipango akiwasilisha taarifa ya utendaji wa Halmashauri ya mwaka mzima

Agenda ya tatu ni kupitisha ratiba ya Vikao vya kisharia vya Halmashauri, Hoja ya Waheshimiwa Waliomba Menajimenti  kuhakikisha ratiba hiyo inafuatwa kikamilifu na kama kuna dharura basi wapewe taarifa mapema ili nawao waweze kupanga ratiba nyengine.

Agenda ya Nne ilikuwa agenda ya kufanya uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Wake. Agenda hii ndio agenda ambayo ilikuwa ikisubiriwa kwa hamu kuona  nani atachukua nafasi hizo mbili. 

Waheshimiwa Madiwani Walimtaka Mkurugenzi awaongeze katika kanuni na taratibu zitakazo tumika katika kufanikisha uchaguzi huo pamoja na muundo wa kamati baada ya uchuguzi. Aidha mkurugenzi alimtaka Afisa utumishi afafanue kanuni na sharia ambazo zitawaongoza.

Afisa Utumishi Akifafanua kanuni na sheria za Uchaguzi kwenye Baraza la Madiwani

Majina ya Wagombea ni kama ifuatavyo:-

MWENYEKITI WA HALMASHAURI:-

Mh. VINANCE KIGWINYA:

Mh. MOSHI BUKEBUKE:  

MAKAMU MWENYEKITI:-

Mh. HAMIS LUKANKA:

Mh. PASCAL NKEYEMBA:  

Waheshimiwa Madiwani Wagombea katika nafasi ya Makamu Mwenyekiti, Mh. Hamis Lukanka(Kushoto) na Mh. Pascal Nkeyemba(Kulia)


Baadaya ya uchaguzi matokeo ya kura yalikuwa kama ifuatavyo:-

UPANDE WA MWENYEKITI:

JUMLA YA KURA: 27

KURA ILIYOHARIBIKA: 1

Mh. VINANCE KIGWINYA: Alipata kura 16

Mh. MOSHI BUKEBUKE:  Alipata kura 10

UPANDE WA MAKAMU MWENYEKITI:

JUMLA YA KURA: 27

KURA ILIYOHARIBIKA: 1

Mh. HAMIS LUKANKA: Alipata kura 16

Mh. PASCAL NKEYEMBA:  Alipata kura 10

Baada ya matakeo hayo Mwenyekiti alimtanga Mh. Venance Kigwinya ambaye ni Diwani wa kata ya Buhigwe (Kulia Mwa picha) kuwa ni Mwenyekiti Mpya wa Halmashauri ya Wilaya Buhigwe.

Aidha kwa upande kwa Makamu Mwenyekiti, Mh. Hamis Lukanka (Kushoto mwa picha) ndio makamu mwenyekiti kwa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe.

Baada ya Uchaguzi huu Waheshimiwa Waliteu Kamati Mbali mbali.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI - 04.07.2023 June 23, 2023
  • KILA KHERI DARASA LA SABA September 12, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA - OKTOBA 2023 October 09, 2023
  • TANZIA February 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DED BUHIGWE ATEMBELEA VITUO VYA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA.

    May 05, 2025
  • MATOKEO 2024 WALIMU NA WANAFUNZI WAPONGEZWA.

    April 17, 2025
  • BABA ASKOFU EMMANUEL BWATA AITIKIA WITO WA MKURUGENZI BUHIGWE.

    April 14, 2025
  • SHEREHE YA KUWAAGA WATUMISHI NA KUWAKARIBISHA WATUMISHI BUHIGWE YAFANA.

    April 13, 2025
  • Angalia zote

Video

Hospitali ya Wilaya ya Buhigwe kuanza kutoa huduma za Afya
Video Zaidi

Kurasa Za Karibu

  • Kuhamisha Mwanafunzi
  • Tovuti ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep Documentation
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • Wahe. Madiwani
  • BEMIS

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bunge La Tanzania
  • Ikulu
  • Bodi Ya Manunuzi na Ugavi
  • Wizara ya Ardhi
  • Wizara ya Elimu, Sayansi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Mji Mpya wa Bwega-Ofisi za Mkurugenzi

    Postal Address: P.O.Box 443 Buhigwe

    Simu Ya Mezani: 0282988460

    Simu ya mkononi: (+255) 782 500 333

    Barua Pepe: ded@buhigwedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Mwanzo

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Buhigwe. Haki zote zimehifadhiwa