• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za ofisi |
Buhigwe District Council
Buhigwe District Council

Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi Mkuu
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo Wa Utawala
    • Idara
      • Utawala Na Utumishi
      • Mipango, Takwimu Na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha Na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Secondari
      • Maji
      • Mifugo Na Uvuvi
      • Ardhi Na Maliasili
      • Maendeleo Ya Jamii Na Ustawi Wa Jamii
      • Ujenzi Na Zimamoto
      • Kilimo,Umwagiliaji Na Ushirika
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi Wa Ndani
      • Habari Na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kiutalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
      • Kuonana na Mhe.Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayotarajiwa Kufanywa
    • Miradi Inayoendelea Kufanywa
    • New Planned Project
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Other Fomu
    • MpangoKazi
    • Baraza-Madiwani
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

KAPTENI MKUCHIKA AMTUA MAMA NDOO KICHWANI BUHIGWE.

Posted on: April 4th, 2025

WAZIRI wa nchi Ofisi ya Rais Ikulu (Kazi Maalum) George Mkuchika amewasihi Wananchi wa Wilaya ya Buhigwe na watanzania kwa ujumla kulinda amani,umoja na ushirikiano uliopo baina yao.

Hayo ameyasema leo tarehe 04 mwezi April 2025 wakati akizungumza na Wananchi wa Wilaya ya Buhigwe alipotembea mradi wa ujenzi wa Tenki la maji linalogharimu kiasi cha Shilingi Bil 9.7 unaotegemewa kukamilika mwaka huu 2025 June ambao tayari umeshaanza kuhudumia Wananchi katika ziara ya kikazi ambayo ameifanya katika mkoa wa Kigoma.

“Ndugu zangu wa Buhigwe,maendeleo kama haya yanafanyika kwasababu Nchi yetu ina amani,kama Nchi haina amani hatuwezi kufanya chochote,Nawaomba Watanzania wenzangu tuitunze amani tuliyonayo kwa gharama yoyote”Amesema Kapteni Mkuchika

Aidha amewasisitiza Wananchi kujitokeza kwa wingi katika vyombo vya usalama kufichua wale wote watakaoona wana nia ya kuchafua amani ya nchi yetu.

Kwa niaba ya mkoa wa Kigoma,Mkuu wa Mkoa huo Thobias Andengenye amesema kuwa kwa mkoa wa Kigoma wamepokea fedha nyingi kutoka Serikalini ambazo zimewasaidia kuboresha miundombinu mbalimbali ikiwemo Shule,Barabara,maji na Hospitali.

Wakati huo huo Mkuu wa Wilaya ya Buhigwe Kanali Michael Ngayalina amemshukuru Waziri Mkuchika kwa ujio huo pamoja na rais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania Rais Dkt Samia Suluhu Hassani kwa kutenga kiasi cha Shilingi Bilioni 9.7 kwa ajili ya ujenzi wa tenki hilo la maji ambalo litaenda kutatua changamoto ya maji kwa wakazi wa Wilaya ya Buhigwe.

Naye Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe Venus Kigwinya amesema kuwa Wanamshukuru Rais Dkt Samia Suluhu Hassani kwa kuwapatia fedha ambazo zimewawezesha kupata miradi mbalimbali ikiwemo hospitali ya Kisasa ya Wilaya ya Buhigwe.

Kwa upande wao Wananchi wamemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwapatia fedha ambazo zinajenga tenki hilo la maji na kutatua kero ya maji ambayo ilikuwa inawasumbua hasa katika kipindi cha kiangazi.

#buhigwefahariyetu

#2025kaziiendelee

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI - 04.07.2023 June 23, 2023
  • KILA KHERI DARASA LA SABA September 12, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA - OKTOBA 2023 October 09, 2023
  • TANZIA February 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DED BUHIGWE ATEMBELEA VITUO VYA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA.

    May 05, 2025
  • MATOKEO 2024 WALIMU NA WANAFUNZI WAPONGEZWA.

    April 17, 2025
  • BABA ASKOFU EMMANUEL BWATA AITIKIA WITO WA MKURUGENZI BUHIGWE.

    April 14, 2025
  • SHEREHE YA KUWAAGA WATUMISHI NA KUWAKARIBISHA WATUMISHI BUHIGWE YAFANA.

    April 13, 2025
  • Angalia zote

Video

Hospitali ya Wilaya ya Buhigwe kuanza kutoa huduma za Afya
Video Zaidi

Kurasa Za Karibu

  • Kuhamisha Mwanafunzi
  • Tovuti ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep Documentation
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • Wahe. Madiwani
  • BEMIS

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bunge La Tanzania
  • Ikulu
  • Bodi Ya Manunuzi na Ugavi
  • Wizara ya Ardhi
  • Wizara ya Elimu, Sayansi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Mji Mpya wa Bwega-Ofisi za Mkurugenzi

    Postal Address: P.O.Box 443 Buhigwe

    Simu Ya Mezani: 0282988460

    Simu ya mkononi: (+255) 782 500 333

    Barua Pepe: ded@buhigwedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Mwanzo

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Buhigwe. Haki zote zimehifadhiwa