• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za ofisi |
Buhigwe District Council
Buhigwe District Council

Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi Mkuu
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo Wa Utawala
    • Idara
      • Utawala Na Utumishi
      • Mipango, Takwimu Na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha Na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Secondari
      • Maji
      • Mifugo Na Uvuvi
      • Ardhi Na Maliasili
      • Maendeleo Ya Jamii Na Ustawi Wa Jamii
      • Ujenzi Na Zimamoto
      • Kilimo,Umwagiliaji Na Ushirika
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi Wa Ndani
      • Habari Na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kiutalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
      • Kuonana na Mhe.Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayotarajiwa Kufanywa
    • Miradi Inayoendelea Kufanywa
    • New Planned Project
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Other Fomu
    • MpangoKazi
    • Baraza-Madiwani
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WILAYANI BUHIGWE YAFANYA UKAGUZI WA MIRADI YA BOOST KABLA SHULE HAZIJAFUNGULIWA

Posted on: January 3rd, 2024

Kamati Ulinzi na Usalama ya wilaya ya buhigwe imefanya ziara leo 03.01.2024 ya kukagua miradi ya boost inayotekelezwa katika kata za Bukuba, Janda Munzeze, Mwayaya, Muhinda, Kibwigwa na Buhigwe

Akizungumza katika ziara hiyo Mh.Mkuu wa Wilaya amesema kuwa kuna baadhi ya shule wamesimamia vizuri miradi yao na kukamilisha kwa asilimia zote na viwango vinavyotakiwa na kuna wengine ambao wameonesha uzembe katika kusimamia miradi yao na haijakamilika kwa kiwango kinachotakiwa huku fedha ikiwa imemalizika.

Aidha, kamati imemwagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Buhingwe kuchunguza na kuhakikisha anawachukulia hatua sitahiki wale wote walionyesha uzembe katika miradi yao ili kuwa mfano kwa wengine wenye miradi ya kusimamia kutoleta uzembe tena na kufanya kazi katika viwango vinavyotakiwa na kwa muda uliopangwa.

Hata hivyo, maelekezo ya serikali ni kuwa kila darasa linatakiwa kuwa na dawati 15 jamba ambalo wengine. Pamoja na hayo pia kuna miradi mingine imekamilishwa kwa asilimia zote kwa viwango vya juu ambayo iko tayari kutumika januari hii shule zitakapofunguliwa madawati meza madarasa miundombinu yote iko sawa na wanatamani shule zifunguliwe haraka ili wanafunzi waanze kutumia miundombinu hiyo.

Kamati hiyo imetoa maelekezo ya jumla katika ziara hiyo hususani kuwa makini katika kusimamia na kuzingatia matumizi mazuri ya rasilimali zinazoletwa kwaajili ya kuikuza elimu na kutimiza malengo ya serkali yetu pia waende na mpango wa matumizi kama unavyoletwa wasifanye kinyume kwa nia ya kujinufaisha na nafsi zao.

Wakati hayo yakiendelea mwalimu mmoja amepata zawadi kwa kusimamia vizuri ujenzi wa darasa la awali viti na meza za Watoto sehemu ya michoze ya Watoto maarufu kama bembea na nyumba ya mwalimu two in one kwa viwango vyote vinavyotakiwa.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI - 04.07.2023 June 23, 2023
  • KILA KHERI DARASA LA SABA September 12, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA - OKTOBA 2023 October 09, 2023
  • TANZIA February 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DED BUHIGWE ATEMBELEA VITUO VYA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA.

    May 05, 2025
  • MATOKEO 2024 WALIMU NA WANAFUNZI WAPONGEZWA.

    April 17, 2025
  • BABA ASKOFU EMMANUEL BWATA AITIKIA WITO WA MKURUGENZI BUHIGWE.

    April 14, 2025
  • SHEREHE YA KUWAAGA WATUMISHI NA KUWAKARIBISHA WATUMISHI BUHIGWE YAFANA.

    April 13, 2025
  • Angalia zote

Video

Hospitali ya Wilaya ya Buhigwe kuanza kutoa huduma za Afya
Video Zaidi

Kurasa Za Karibu

  • Kuhamisha Mwanafunzi
  • Tovuti ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep Documentation
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • Wahe. Madiwani
  • BEMIS

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bunge La Tanzania
  • Ikulu
  • Bodi Ya Manunuzi na Ugavi
  • Wizara ya Ardhi
  • Wizara ya Elimu, Sayansi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Mji Mpya wa Bwega-Ofisi za Mkurugenzi

    Postal Address: P.O.Box 443 Buhigwe

    Simu Ya Mezani: 0282988460

    Simu ya mkononi: (+255) 782 500 333

    Barua Pepe: ded@buhigwedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Mwanzo

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Buhigwe. Haki zote zimehifadhiwa