Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Buhigwe Kanali Michael Ngayalina ameishukuru kamati ya siasa Mkoa kwa kutenga muda wao na kuja kuitembelea Wilaya ya Buhigwe na kuahidi kuendelea kulitumikia taifa kwa Weledi pamoja na kutoa huduma bora kwa Wananchi.


Katika ziara hiyo wametembelea shule ya sekondari Kahimba ya wasichana,mradi wa maji ,ujenzi wa Barabara za lami zinazo zunguka mji wa Buhigwe,mradi wa vijana wanaojishughulisha na upasuaji wa mbao kwa mashine za kisasa zinazotokana na mkopo wa asilimia nne wa Halmashauru na zahanati ya nyamihanga.#buhigwefahariyetu
Mji Mpya wa Bwega-Ofisi za Mkurugenzi
Postal Address: P.O.Box 443 Buhigwe
Simu Ya Mezani: 0282988460
Simu ya mkononi: (+255) 782 500 333
Barua Pepe: ded@buhigwedc.go.tz