• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za ofisi |
Buhigwe District Council
Buhigwe District Council

Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi Mkuu
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo Wa Utawala
    • Idara
      • Utawala Na Utumishi
      • Mipango, Takwimu Na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha Na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Secondari
      • Maji
      • Mifugo Na Uvuvi
      • Ardhi Na Maliasili
      • Maendeleo Ya Jamii Na Ustawi Wa Jamii
      • Ujenzi Na Zimamoto
      • Kilimo,Umwagiliaji Na Ushirika
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi Wa Ndani
      • Habari Na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kiutalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
      • Kuonana na Mhe.Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayotarajiwa Kufanywa
    • Miradi Inayoendelea Kufanywa
    • New Planned Project
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Other Fomu
    • MpangoKazi
    • Baraza-Madiwani
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Hatutaki Wafanya biashara Ndumila kuwili Buhigwe

Posted on: January 14th, 2019

Zoezi la ugawaji wa vitambulisho vya wafanya biashara wadogo wilayani Buhigwe, mkoani Kigoma, limeeendelea leo asubuhi ofisini kwa Mkuu wa Wilaya kwa kuwapatia wafanya biashara baadhi waliohudhuria zoezi hilo, huku wito ukitolewa kwa wafanya biashara wadogo ili wajitokeze kwa wingi kuchukua vitambulisho hivyo.


Mheshimiwa Ruteni Kanali Michael M. Ngayalina, Mkuu wa Wilaya ya Buhigwe akizungumza na wafanya biashara wadogo Wilayani hapa amesema, Serikali haitarajii kukutana na mfanya biashara Ndumila kuwili.

Wako ambao wataandikishwa kama wafanya biashara wadogo na wako walioandikishwa na TRA watakuwa na leseni toka kwa Mkurugenzi wa Halmashauri, na watakuwa wanalipa mapato TRA.
"Kwa hiyo tunagemea kupata wafanya biashara wa aina mbili ambao ni mfanya biashara mdogo na mkubwa. Hatutegemei kupata mfanya biashara aliyekatikati kama Ndumila kuwili" amesema Mhe.Mkuu wa wa Wilaya.

Ameongeza Serikali imejipanga kuelimisha wananchi kuhusu elimu ya mlipa kodi ili iweze kufikia malengo tarajiwa.
Akihamasisha wafanya biashara hao (wadogowadogo), Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe Bwana Anosta L. Nyamoga amesema, elimu ya mlipa kodi ndio itakayomweka mfanya biashara sehemu salama, hivyo fanyeni biashara zenu kwa bidii ili mitaji yenu ikue huku mkivitumia vitambulisho hivyo kwa umakini sana kwani sheria kali zitachukuliwa dhidi ya mfanya biashara atakayebainika amekiuka matumizi ya vitambulisho hivi.

"Watu wanashindana kukwepa kodi, wakati mataifa mengine yaliyoendelea yanashindana kulipa kodi..hili halikubaliki hata kidogo"alisema Nyamoga, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe.

Kwa upande wao wafanya biashara wadogo wameishukuru serikali ya awamu ya tano kwa kuwapatia vitambulisho kwakuwa wako huru sasa kufanya biashara zao.

 "Usipokuwa na elimu ya mlipa kodi kila kukicha utakuwa unailalamikia Serikali, huku ukipoteza fursa katika nafasi hiyo,

Kuna mbinu nyingi zinazotumiwa kukwepa kodi, nitakuwa mstari wa mbele kuhamasisha wafanya biashara wenzangu kwa kuwapa elimu ili walipe kodi ya Serikali na sio kukwepa".”. Alisema mmoja wa wafanya biashara hao.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI - 04.07.2023 June 23, 2023
  • KILA KHERI DARASA LA SABA September 12, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA - OKTOBA 2023 October 09, 2023
  • TANZIA February 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DED BUHIGWE ATEMBELEA VITUO VYA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA.

    May 05, 2025
  • MATOKEO 2024 WALIMU NA WANAFUNZI WAPONGEZWA.

    April 17, 2025
  • BABA ASKOFU EMMANUEL BWATA AITIKIA WITO WA MKURUGENZI BUHIGWE.

    April 14, 2025
  • SHEREHE YA KUWAAGA WATUMISHI NA KUWAKARIBISHA WATUMISHI BUHIGWE YAFANA.

    April 13, 2025
  • Angalia zote

Video

Hospitali ya Wilaya ya Buhigwe kuanza kutoa huduma za Afya
Video Zaidi

Kurasa Za Karibu

  • Kuhamisha Mwanafunzi
  • Tovuti ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep Documentation
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • Wahe. Madiwani
  • BEMIS

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bunge La Tanzania
  • Ikulu
  • Bodi Ya Manunuzi na Ugavi
  • Wizara ya Ardhi
  • Wizara ya Elimu, Sayansi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Mji Mpya wa Bwega-Ofisi za Mkurugenzi

    Postal Address: P.O.Box 443 Buhigwe

    Simu Ya Mezani: 0282988460

    Simu ya mkononi: (+255) 782 500 333

    Barua Pepe: ded@buhigwedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Mwanzo

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Buhigwe. Haki zote zimehifadhiwa