• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za ofisi |
Buhigwe District Council
Buhigwe District Council

Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi Mkuu
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo Wa Utawala
    • Idara
      • Utawala Na Utumishi
      • Mipango, Takwimu Na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha Na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Secondari
      • Maji
      • Mifugo Na Uvuvi
      • Ardhi Na Maliasili
      • Maendeleo Ya Jamii Na Ustawi Wa Jamii
      • Ujenzi Na Zimamoto
      • Kilimo,Umwagiliaji Na Ushirika
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi Wa Ndani
      • Habari Na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kiutalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
      • Kuonana na Mhe.Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayotarajiwa Kufanywa
    • Miradi Inayoendelea Kufanywa
    • New Planned Project
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Other Fomu
    • MpangoKazi
    • Baraza-Madiwani
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

HALMASHAURI YA WILAYA YA WILAYA BUHIGWE KWA KUSHIRIKIANA NA SHIRIKA LA CHAKULA DUNIANI (FAO) KUBORESHA KITUO CHA RASILIMALI ZA KILIMO MIFUGO NA UVUVI KIBWIGWA

Posted on: June 7th, 2024

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Buhigwe Ndg George Emanuel Mbilinyi Leo Juni 7,2024 amekutana na viongozi wawakilisha wa Shirika la Chakula na Kilimo Duniani (FAO) ofisini kwake.

Lengo la ugeni huo ni kushirikiana kukarabati kituo Cha rasilimali za Kilimo Mifugo na Uvuvi Kata ya Kibwigwa katika Halmashauri ya Buhigwe,

Akiongea katika ukaguzi wa kituo hicho Mwakilishi wa FAO Bw. Charles Tulahi amesema kuwa Shirika linalenga kutumia kiasi Cha shiling million 35,87880 katika ukarabati wa kituo hicho.

Kituo hicho kitakapo kamilika kinatarajiwa kutoa huduma za mafunzo ya Kilimo Mifugo na Uvuvi ikiwa ni pamoja na mashamba Darasa ya Mazao mbali mbali,Malisho ya mifugo na mabwawa ya ufugaji Samaki kwa lengo la kuongeza Tija kwa wakulima na wafugaji.

Aidha katika hatua nyingine Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Buhigwe Bw. Mbilinyi Amewashukuru Shirika la FAO kwa kuboresha kituo hicho na kuleta Tija katika Halmashauri yetu na kuinua kipato Cha wakulima na wafugaji pia Amewashukuru viongozi wa Kijiji Cha Kibwigwa kwa kutenga eneo kwaajili ya uwekezaji huo.

Wakati hayo yakiendelea pia Shirika la FAO limetoa mafunzo ya Kilimo hifadhi na lishe kwa wataalam wa kilimo 17, wakulima 647 na kugawa vitendea kazi mbali mbali ikiwemo computer mpakato, overall, bomba la kunyunyiza dawa na mashine za kurahisisha upandaji mimea mbali mbali.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI - 04.07.2023 June 23, 2023
  • KILA KHERI DARASA LA SABA September 12, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA - OKTOBA 2023 October 09, 2023
  • TANZIA February 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DED BUHIGWE ATEMBELEA VITUO VYA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA.

    May 05, 2025
  • MATOKEO 2024 WALIMU NA WANAFUNZI WAPONGEZWA.

    April 17, 2025
  • BABA ASKOFU EMMANUEL BWATA AITIKIA WITO WA MKURUGENZI BUHIGWE.

    April 14, 2025
  • SHEREHE YA KUWAAGA WATUMISHI NA KUWAKARIBISHA WATUMISHI BUHIGWE YAFANA.

    April 13, 2025
  • Angalia zote

Video

Hospitali ya Wilaya ya Buhigwe kuanza kutoa huduma za Afya
Video Zaidi

Kurasa Za Karibu

  • Kuhamisha Mwanafunzi
  • Tovuti ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep Documentation
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • Wahe. Madiwani
  • BEMIS

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bunge La Tanzania
  • Ikulu
  • Bodi Ya Manunuzi na Ugavi
  • Wizara ya Ardhi
  • Wizara ya Elimu, Sayansi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Mji Mpya wa Bwega-Ofisi za Mkurugenzi

    Postal Address: P.O.Box 443 Buhigwe

    Simu Ya Mezani: 0282988460

    Simu ya mkononi: (+255) 782 500 333

    Barua Pepe: ded@buhigwedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Mwanzo

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Buhigwe. Haki zote zimehifadhiwa