• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za ofisi |
Buhigwe District Council
Buhigwe District Council

Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi Mkuu
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo Wa Utawala
    • Idara
      • Utawala Na Utumishi
      • Mipango, Takwimu Na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha Na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Secondari
      • Maji
      • Mifugo Na Uvuvi
      • Ardhi Na Maliasili
      • Maendeleo Ya Jamii Na Ustawi Wa Jamii
      • Ujenzi Na Zimamoto
      • Kilimo,Umwagiliaji Na Ushirika
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi Wa Ndani
      • Habari Na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kiutalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
      • Kuonana na Mhe.Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayotarajiwa Kufanywa
    • Miradi Inayoendelea Kufanywa
    • New Planned Project
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Other Fomu
    • MpangoKazi
    • Baraza-Madiwani
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Ufunguzi wa Soko la Mpakani Nyamugali wilayani Buhigwe

Posted on: November 6th, 2017

Tarehe 31Oktoba 2017 Timu ya Wataalamu kutoka Ofis ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya ya Buhigwe ikiambatana na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ( Mhe. Venance Kigwinya) walishiriki hafla fupi ya uzinduzi wa soko la Mpakani katika kijiji cha Nyamugali, ambapo wananchi wa kijiji hicho na vijiji jirani walishiriki uzinduzi huo. Soko hilo litahusisha biashara kati ya nchi jirani ya Burundi na wananchi wa vijiji vilivyoko mpakani baina ya nchi hizi mbili yaani Tanzania na Burundi na hivyo kuongeza mapato kwa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe na Taifa kwa ujumla. Aidha soko hilo litasaidia kuinua fursa za uchumi, ujasiriamali, uwekezaji, upatikanaji wa huduma za kijamii, uhusiano mwema na kuleta maendeleo kwa mwananchi mmoja mmoja na hatimaye kupunguza wimbi la umaskini.

                                                    Soko la mpakani Nyamugali wilayani Buhigwe ambalo liko takribani umbali wa mita za mraba (400-600) kutoka mto Maragarasi ambaokimsingi ndio mpaka wa Tanzania na nchi jirani ya Burundi.

Afisa Mtendaji wa kijiji cha Nyamugali Ndg. Athumani Amani Mulinga aliwakaribisha wataalamu kutoka Ofis ya Mkurugenzi Mtendaji wilaya ya Buhigwe, Mwenyekiti wa Halmashauri, Mheshimiwa Diwani wa kata ya Nyamugali na kuanza utambulisho mbele ya wananchi wa kijiji cha Nyamugali walio hudhuria ufunguzi wa soko hilo kisha akatoa historia fupi kuhusu ujenzi wa soko hilo mpaka kukamilika kwake.


Kutoka kulia mwa picha ni Mchumi wa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe (Ndg. Said Lue) akifatiwa na Afisa Mtendaji kijiji cha Nyamugali (Ndg. Athumani Amani Mulinga), Mwenyekiti wa Halmashauri wilaya ya Buhigwe (Mhe. Venance Kigwinya), Afisa Biashara wilaya (Ndg. John Onesphory) kisha Mheshimiwa Diwani wa kata ya Nyamugali

Mwenyekiti wa Halmashauri aliwaasa wananchi wa kijiji cha Nyamugali kilichomo wilayani humo kuchangamkia fursa za biashara kwakuwa soko hilo liko mpakani mwa Tanzania na nchi jirani ya Burundi, hivyo biashara itahusisha nchi hizi mbili. Aidha wananchi hawataruhusiwa tena kupeleka mazao yao nje ya nchi na kutafuta soko kama ilivyokuwa awali badala yake watauzia bidhaa zao ndani ya nchi kwakuwa sasa soko limezinduliwa rasmi na ni halali kisheria. Mfanya biashara atakaye kamatwa amepeleka kuuza bidhaa zake nje ya nchi hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yake, mwisho alisisitiza kuhusu utunzwaji wa soko hilo kwa kufanya usafi na kulinda miundombinu yake kwa ujumla.

                                                                              Wananchi wa kijiji cha Nyamugali wakisikiliza kwa makini ujumbe kutoka kwa Mwenyekiti wa Halmashauri na jopo la wataalamu kutoka Ofis ya Mkurugenzi wa wilaya ya Buhigwe.




Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI - 04.07.2023 June 23, 2023
  • KILA KHERI DARASA LA SABA September 12, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA - OKTOBA 2023 October 09, 2023
  • TANZIA February 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DED BUHIGWE ATEMBELEA VITUO VYA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA.

    May 05, 2025
  • MATOKEO 2024 WALIMU NA WANAFUNZI WAPONGEZWA.

    April 17, 2025
  • BABA ASKOFU EMMANUEL BWATA AITIKIA WITO WA MKURUGENZI BUHIGWE.

    April 14, 2025
  • SHEREHE YA KUWAAGA WATUMISHI NA KUWAKARIBISHA WATUMISHI BUHIGWE YAFANA.

    April 13, 2025
  • Angalia zote

Video

Hospitali ya Wilaya ya Buhigwe kuanza kutoa huduma za Afya
Video Zaidi

Kurasa Za Karibu

  • Kuhamisha Mwanafunzi
  • Tovuti ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep Documentation
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • Wahe. Madiwani
  • BEMIS

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bunge La Tanzania
  • Ikulu
  • Bodi Ya Manunuzi na Ugavi
  • Wizara ya Ardhi
  • Wizara ya Elimu, Sayansi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Mji Mpya wa Bwega-Ofisi za Mkurugenzi

    Postal Address: P.O.Box 443 Buhigwe

    Simu Ya Mezani: 0282988460

    Simu ya mkononi: (+255) 782 500 333

    Barua Pepe: ded@buhigwedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Mwanzo

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Buhigwe. Haki zote zimehifadhiwa