Mkurugenzi Mtendaji ameitisha kikao hicho baada ya mradi huo kusuasua na kutofanyika kwa muda uliopangwa kwenye mkataba.Mradi huo ni ujenzi wa block mbili wenye vyumba vinne vya madarasa,Nyumba ya Walimu two in one,Mabweni mawili na vyoo matundu 10 ukigharimu kiasi cha Shilingi Milioni 508,000,000.00
Mji Mpya wa Bwega-Ofisi za Mkurugenzi
Postal Address: P.O.Box 443 Buhigwe
Simu Ya Mezani: 0282988460
Simu ya mkononi: (+255) 782 500 333
Barua Pepe: ded@buhigwedc.go.tz