• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za ofisi |
Buhigwe District Council
Buhigwe District Council

Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi Mkuu
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo Wa Utawala
    • Idara
      • Utawala Na Utumishi
      • Mipango, Takwimu Na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha Na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Secondari
      • Maji
      • Mifugo Na Uvuvi
      • Ardhi Na Maliasili
      • Maendeleo Ya Jamii Na Ustawi Wa Jamii
      • Ujenzi Na Zimamoto
      • Kilimo,Umwagiliaji Na Ushirika
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi Wa Ndani
      • Habari Na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kiutalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
      • Kuonana na Mhe.Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayotarajiwa Kufanywa
    • Miradi Inayoendelea Kufanywa
    • New Planned Project
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Other Fomu
    • MpangoKazi
    • Baraza-Madiwani
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

‘CHANJENI MBWA MPONE’-DC NGAYALINA

Posted on: September 28th, 2023

Katika kuadhimisha Siku ya Kichaa cha Mbwa Duhiani hii leo Septemba 28, 2023 Wilayani Buhigwe imefanyika katika kata ya Kibwigwa amabapo Mgeni Rasmi alikuwa Mhe. Col. Michael Ngayalina ambaye Pamoja na kuwaasa Wafugaji na wananchi kuhakikisha wanawachanja mbwa wao ili kuutokomeza ugonjwa wa Kichaa cha Mbwa lakini alishiriki kuchanja Mbwa dhidi ya Kichaa na Kushiriki kutoa uzazi kwa Mbwa.

Awali akisoma Taarifa ya Kichaa cha Mbwa Wilayani Hapo Ndg. Leonard, Mganga wa magonjwa ya Wanyama alieleza kuwa kwa Mwaka 2022 Mtu mmoja alifariki kwa kuumwa na Mbwa mwenye Kichaa na kuwaeleza wananchi juu ya madhara na dalili za Kichaa cha mbwa

Akizungumza katika maadhimisho hayo Col. Ngayalina amewataka wananchi kuondoa dhana kuwa waganga wa Kienyeji wanaweza kuponya ugonjwa wa kichaa cha mbwa kwa kunyonya kidonda cha Mwadhirika bali njia bora ya kupambana na kichaa cha mbwa ni kuhakikisha mbwa wanapata chanjo kwa wakati



Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Ndg. Alphonce Haule amewataka wananchi kutopuuzia chanjo na utunzaji wa Wanyama hao ambao ameeleza kuwa wamekuwa wakisaidia si kwa shughuli za ulinzi na uwindaji bali wamekuwa wakitumika kama mapambo pale wanapotunzwa vyema na kuongeza kuwa Tanzania na Dunia inatumia gharama kubwa kukabiliana na ugonjwa huo ambapo kwa kutokomezwa gharama hizo zinaweza kuokolewa na kufanya shughuli nyingine zenye tija.

Jumla ya Mbwa 128 wamepatiwa chanjo bure katika siku hiyo Katika kata ya Kibwigwa ambapo wataalam wa Halmashauri hiyo wamepiga kambi kwa siku nzima Mkuu wa Wilaya ameongoza Uchanjaji huo.

Mwisho Mhe. Ngayalina alishukuru Serikali inayoongozwa na Mhe. DKT Samia Suluhu Hassa ambayo kwa upekee imeona ni vyema kutoa huduma hiyo kwa wananchi ili kuondokana na ugonjwa huo wenye madhara hasi kwa Jamii.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI - 04.07.2023 June 23, 2023
  • KILA KHERI DARASA LA SABA September 12, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA - OKTOBA 2023 October 09, 2023
  • TANZIA February 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DED BUHIGWE ATEMBELEA VITUO VYA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA.

    May 05, 2025
  • MATOKEO 2024 WALIMU NA WANAFUNZI WAPONGEZWA.

    April 17, 2025
  • BABA ASKOFU EMMANUEL BWATA AITIKIA WITO WA MKURUGENZI BUHIGWE.

    April 14, 2025
  • SHEREHE YA KUWAAGA WATUMISHI NA KUWAKARIBISHA WATUMISHI BUHIGWE YAFANA.

    April 13, 2025
  • Angalia zote

Video

Hospitali ya Wilaya ya Buhigwe kuanza kutoa huduma za Afya
Video Zaidi

Kurasa Za Karibu

  • Kuhamisha Mwanafunzi
  • Tovuti ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep Documentation
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • Wahe. Madiwani
  • BEMIS

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bunge La Tanzania
  • Ikulu
  • Bodi Ya Manunuzi na Ugavi
  • Wizara ya Ardhi
  • Wizara ya Elimu, Sayansi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Mji Mpya wa Bwega-Ofisi za Mkurugenzi

    Postal Address: P.O.Box 443 Buhigwe

    Simu Ya Mezani: 0282988460

    Simu ya mkononi: (+255) 782 500 333

    Barua Pepe: ded@buhigwedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Mwanzo

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Buhigwe. Haki zote zimehifadhiwa