• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za ofisi |
Buhigwe District Council
Buhigwe District Council

Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi Mkuu
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo Wa Utawala
    • Idara
      • Utawala Na Utumishi
      • Mipango, Takwimu Na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha Na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Secondari
      • Maji
      • Mifugo Na Uvuvi
      • Ardhi Na Maliasili
      • Maendeleo Ya Jamii Na Ustawi Wa Jamii
      • Ujenzi Na Zimamoto
      • Kilimo,Umwagiliaji Na Ushirika
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi Wa Ndani
      • Habari Na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kiutalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
      • Kuonana na Mhe.Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayotarajiwa Kufanywa
    • Miradi Inayoendelea Kufanywa
    • New Planned Project
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Other Fomu
    • MpangoKazi
    • Baraza-Madiwani
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

BUHIGWE YAPOKEA GARI KWA AJILI YA UFUATILIAJI KILIMO.

Posted on: August 19th, 2024


Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mh Tobias Andengenye amewaasa watumishi wa umma kutunza vifaa kazi wanavyopewa na Serikali kwa malengo yaliyokusudiwa.

Ameyasema hayo leo wakati akizungumza katika hafla fupi ya kukabidhi vitendea kazi ikiwemo magari mawili kwa ajili ya usimamizi wa mazao ambayo yametolewa kwa ofisi ya Mkoa wa Kigoma na Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe iliyofanyika katika ofisi za Mkoa huo.

Aidha amesema kuwa mpango wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kuona kuwa Tanzania inakuwa ghala la chakula na hivyo kuifanya kuwa fursa ya kulisha Afrika na dunia kwa ujumla. 


Kwa upande wake Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe Ndugu George E Mbilinyi ameishukuru Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ikiongozwa na Mh Rais Samia Suluhu Hassani kwa kuwapatia vitendea kazi pamoja na kuahidi kuvitunza vifaa hivyo.

“Tumepokea gari hili ambalo tunaenda kulitumia kwenye idara ya Kilimo ufuatiliaji, na kwa nafasi ya pekee sana tunamshukuru Mh Rais kwa hiki ambacho amekifanya,ametuongeza nguvu ya kufuatilia na kuwahudumia wakulima wake wa Buhigwe na kwa namna ya pekee tumepokea maelekezo kwa Mkuu wa Mkoa na Katibu tawala utunzaji na matumizi ya gari yaweze kwenda sahihi kwa malengo yaliyokusudiwa”Alieleza Mbilinyi

Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe imepokea gari hilo kwa awamu ya kwanza ikiwemo taarifa ya kuwa Halmashauri nyingine kupata kwa awamu ya inayofuata kutoka Wizara ya Kilimo kwa ajili ya Usimamizi wa Mazao chini ya Ajenda 10/30 ya Kilimo ni biashara

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI - 04.07.2023 June 23, 2023
  • KILA KHERI DARASA LA SABA September 12, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA - OKTOBA 2023 October 09, 2023
  • TANZIA February 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DED BUHIGWE ATEMBELEA VITUO VYA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA.

    May 05, 2025
  • MATOKEO 2024 WALIMU NA WANAFUNZI WAPONGEZWA.

    April 17, 2025
  • BABA ASKOFU EMMANUEL BWATA AITIKIA WITO WA MKURUGENZI BUHIGWE.

    April 14, 2025
  • SHEREHE YA KUWAAGA WATUMISHI NA KUWAKARIBISHA WATUMISHI BUHIGWE YAFANA.

    April 13, 2025
  • Angalia zote

Video

Hospitali ya Wilaya ya Buhigwe kuanza kutoa huduma za Afya
Video Zaidi

Kurasa Za Karibu

  • Kuhamisha Mwanafunzi
  • Tovuti ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep Documentation
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • Wahe. Madiwani
  • BEMIS

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bunge La Tanzania
  • Ikulu
  • Bodi Ya Manunuzi na Ugavi
  • Wizara ya Ardhi
  • Wizara ya Elimu, Sayansi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Mji Mpya wa Bwega-Ofisi za Mkurugenzi

    Postal Address: P.O.Box 443 Buhigwe

    Simu Ya Mezani: 0282988460

    Simu ya mkononi: (+255) 782 500 333

    Barua Pepe: ded@buhigwedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Mwanzo

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Buhigwe. Haki zote zimehifadhiwa