• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za ofisi |
Buhigwe District Council
Buhigwe District Council

Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi Mkuu
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo Wa Utawala
    • Idara
      • Utawala Na Utumishi
      • Mipango, Takwimu Na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha Na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Secondari
      • Maji
      • Mifugo Na Uvuvi
      • Ardhi Na Maliasili
      • Maendeleo Ya Jamii Na Ustawi Wa Jamii
      • Ujenzi Na Zimamoto
      • Kilimo,Umwagiliaji Na Ushirika
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi Wa Ndani
      • Habari Na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kiutalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
      • Kuonana na Mhe.Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayotarajiwa Kufanywa
    • Miradi Inayoendelea Kufanywa
    • New Planned Project
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Other Fomu
    • MpangoKazi
    • Baraza-Madiwani
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Buhigwe yapata Milioni 993 na Laki mbili-Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia

Posted on: March 4th, 2019

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe.Prof. Joyce Ndalichako amefanya ziara yake leo Wilayani Buhigwe, ambapo alipata nafasi ya kutembelea shule ya sekondari Janda iliyoko kata ya Janda wilayani hapa.

 Akizungumza na Wananchi wa Kata hiyo,baada ya kupokea taarifa iliyosomwa na Mkuu wa Shule ya Sekondari Janda Prof. Ndalichako amesema Serikali kupitia programu ya Lipa kulingana na matokeo (EP4R) imetoa shilingi milioni 993 na laki mbili tangu mwezi Jnauri mwaka huu kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya elimu kama vile Mabweni, maabara, madarasa, nyumba za walimu na matundu ya vyoo katika shule za msingi na sekondari Wilayani Buhigwe.

Aidha Mhe. Waziri amewapongeza Mtendaji wa kata, Mhe. Diwani, wazazi na uongozi wa shule kwa jitihada wanazozionesha katika kuhakikisha watoto wanapata elimu bora. Pongezi hizo zimetolewa baada ya kuona jitihada za wananchi kujenga vyumba vya madarasa viwili, maabara na nyumba za walimu mbili, ambapo amewaunga mkono wananchi kwa kutoa ahadi ya shilingi milioni 100 kwa ajili ya ujenzi wa jengo la utawala.

“(Nawapongeza wazazi na Boodi ya Shule kwa juhudi zenu amabazo kwa asilimia kubwa zimechangia maendeleo ya Shule hii, mmekuwa waanzilishi wa shughuli za ujenzi wa miundombinu ya shule na serikali imekuwa ikisaidia umaliziaji wa pale mnapokuwa mmekwama. Kwakweli mmekuwa mfano wa kuigwa na ninaomba juhudi hizo ziendelee”) Alisema Mhe. Waziri.

Mhe. Waziri pia ameahidi kumpatia Kompyuta moja Mkuu wa shule kwa ajili ya matumizi ya kiofisi.

Mwisho Mhe. Waziri alipata fursa ya kuongea na Wanafunzi wote ambapo aliwaasa kusoma kwa bidii huku akiwahimiza zaidi watoto wa kike kwakuwa hawafanyi vizuri katika mitihani ukilinganisha na ufaulu wa wavulana.

Amesema kuwa, Serikali ya awamu ya tano inajitahidi kuangalia maeneo yenye upungufu wa Wataalam mbalimbali ili iweze kutatua changamoto mbalimbali ambapo elimu bora inahitajika katika kuwapata wataalam watakaoweza kutatua mapungufu hayo ndiyo maana inajitahidi kutoa elimu bure kwa sasa na kuendelea kuhimiza wanafunzi kusoma kwa bidii hasa wasichana ili elimu itolewayo iwe sawa kwa wote pasipo ubaguzi na kuweza kumkomboa msichana.

 

 

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Joyce Ndalichako (kulia) akimsikiliza mmoja wa wanafunzi wa Kidato cha Nne wakati wa ziara yake Janda Sekondari Machi 4, 2019.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI - 04.07.2023 June 23, 2023
  • KILA KHERI DARASA LA SABA September 12, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA - OKTOBA 2023 October 09, 2023
  • TANZIA February 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DED BUHIGWE ATEMBELEA VITUO VYA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA.

    May 05, 2025
  • MATOKEO 2024 WALIMU NA WANAFUNZI WAPONGEZWA.

    April 17, 2025
  • BABA ASKOFU EMMANUEL BWATA AITIKIA WITO WA MKURUGENZI BUHIGWE.

    April 14, 2025
  • SHEREHE YA KUWAAGA WATUMISHI NA KUWAKARIBISHA WATUMISHI BUHIGWE YAFANA.

    April 13, 2025
  • Angalia zote

Video

Hospitali ya Wilaya ya Buhigwe kuanza kutoa huduma za Afya
Video Zaidi

Kurasa Za Karibu

  • Kuhamisha Mwanafunzi
  • Tovuti ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep Documentation
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • Wahe. Madiwani
  • BEMIS

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bunge La Tanzania
  • Ikulu
  • Bodi Ya Manunuzi na Ugavi
  • Wizara ya Ardhi
  • Wizara ya Elimu, Sayansi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Mji Mpya wa Bwega-Ofisi za Mkurugenzi

    Postal Address: P.O.Box 443 Buhigwe

    Simu Ya Mezani: 0282988460

    Simu ya mkononi: (+255) 782 500 333

    Barua Pepe: ded@buhigwedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Mwanzo

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Buhigwe. Haki zote zimehifadhiwa