• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za ofisi |
Buhigwe District Council
Buhigwe District Council

Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi Mkuu
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo Wa Utawala
    • Idara
      • Utawala Na Utumishi
      • Mipango, Takwimu Na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha Na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Secondari
      • Maji
      • Mifugo Na Uvuvi
      • Ardhi Na Maliasili
      • Maendeleo Ya Jamii Na Ustawi Wa Jamii
      • Ujenzi Na Zimamoto
      • Kilimo,Umwagiliaji Na Ushirika
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi Wa Ndani
      • Habari Na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kiutalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Wah. Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
      • Kuonana na Mhe.Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayotarajiwa Kufanywa
    • Miradi Inayoendelea Kufanywa
    • New Planned Project
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Other Fomu
    • MpangoKazi
    • Baraza-Madiwani
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

BANK YA NMB YAFADHILI MCHEZO WA MPIRA WA MIGUU KWA AJILI YA UHAMASISHAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA.

Posted on: July 21st, 2024

Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe iliandaa mchezo wa uhamasishaji wa uandikishaji wa daftari la kudumu la wapiga kura.

Mchezo huo ulichezwa katika uwanja wa Shule ya msingi Buhigwe ukizikutanisha timu mbili ambazo ni  Buhigwe football Club na Munzeze football Club.

Akizungumza na Wananchi waliohuduria kushuhudia mchezo huo Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri hiyo Ndugu George Mbilinyi alisema kuwa waliandaa mchezo huo maalumu kwa ajili ya kuhamasisha Wananchi kujitokeza kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura.

“Tuliandaa mchezo huu maalum kwa ajili ya kuhamasisha kujitokeza kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura lakini pia  Serikali iliandaa mpango ili kufikia wakati wa uchaguzi kila mwenye sifa ya kupiga kura apate kupiga kura”alisema Mbilinyi.

Aidha aliwaasa kuendelea kujitokeza kwa wingi ili kupata vitambulisho vitakavyowawezesha kushiriki katika uchaguzi

“Kuanzia jana huduma ilishaanza katika vituo mbalimbali kwahyo tunatoa hamasa kwa wanamichezo wote tujitokeze kujiandikisha,Kupiga kura ni haki ya kila mtanzania kwa kila mwenye sifa ya kupiga kura na kitambulisho hicho pia kitakusaidia katika shughuli za kiserikali kama utambulisho wako”ameeleza Mbilinyi.

Naye meneja wa bank ya Nmb tawi la Buhigwe Pendo aliwahimiza Wananchi wote kujihusisha katika michezo sambamba na kuwasihi kujiandikisha katika uboreshaji wa daftari la wapiga kura.

“Niwape motisha vijana wote kujihusisha na michezo lakini ikiwa sambamba na ujumbe ambao tumekuja nao,tujiandikishe katika daftari la wapiga kura,vijana wote ni chachu,ndo viongozi wa sasa,kesho na siku zijazo hivyo hakikisha unajali haki yako ya msingi”amesema Pendo.

Mchezo huo ulimalizika kwa timu ya Munzeze kuibuka kidedea kwa goli moja bila na kupokea zawadi ya  fedha taslimu sh 50,000 na mpira wa miguu mpya na mshindi wa pili kupokea fedha taslim sh 100,000 ,zawadi zote zikitolewa na bank ya NMB wilaya ya buhigwe.

MWISHO.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI - 04.07.2023 June 23, 2023
  • KILA KHERI DARASA LA SABA September 12, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA - OKTOBA 2023 October 09, 2023
  • TANZIA February 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DED BUHIGWE ATEMBELEA VITUO VYA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA.

    May 05, 2025
  • MATOKEO 2024 WALIMU NA WANAFUNZI WAPONGEZWA.

    April 17, 2025
  • BABA ASKOFU EMMANUEL BWATA AITIKIA WITO WA MKURUGENZI BUHIGWE.

    April 14, 2025
  • SHEREHE YA KUWAAGA WATUMISHI NA KUWAKARIBISHA WATUMISHI BUHIGWE YAFANA.

    April 13, 2025
  • Angalia zote

Video

Hospitali ya Wilaya ya Buhigwe kuanza kutoa huduma za Afya
Video Zaidi

Kurasa Za Karibu

  • Kuhamisha Mwanafunzi
  • Tovuti ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • FFARS USER GUIDE
  • PlanRep Documentation
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • Kata Zetu
  • Wahe. Madiwani
  • BEMIS

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Bunge La Tanzania
  • Ikulu
  • Bodi Ya Manunuzi na Ugavi
  • Wizara ya Ardhi
  • Wizara ya Elimu, Sayansi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Mji Mpya wa Bwega-Ofisi za Mkurugenzi

    Postal Address: P.O.Box 443 Buhigwe

    Simu Ya Mezani: 0282988460

    Simu ya mkononi: (+255) 782 500 333

    Barua Pepe: ded@buhigwedc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Mwanzo

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Buhigwe. Haki zote zimehifadhiwa